jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
to be honest makamanda wanatuchanganya kabisaaaaaaaaaa
Tumia kanuni ya magazijuto, usichanganyikiwe kwa hesabu ndogo namna hii.
to be honest makamanda wanatuchanganya kabisaaaaaaaaaa
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kuwa kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kusaini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Katiba ya mwaka 2011, kimekiuka makubaliano yao, hivyo kimeamua kususia mchakato mzima wa kuratibu maoni kwa ajili ya kupata Katiba Mpya kwa kutumia sheria hiyo. Kaimu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa hatua hiyo imefikiwa ili kuonyesha kutoridhishwa na namna kiongozi huyo wa nchi, alivyowachezea akili.
"Kitendo cha Rais Kikwete kuusaini muswada huo bila ya kuupitia ni kinyume na makubaliano, jambo ambalo linatufanya tususie mchakato mzima wa kuuratibu maoni ya kwa ajili ya Katiba Mpya kupitia sheria ailiyoisaini,"alisema Mnyika na kuendelea: Tumeamua kujitoa kwenye mchakato mzima wa kuratibu Marekebisho ya Muswada wa Sheria ya Katiba kutokana na Rais kukiuka makubaliano yetu Ikulu yaliyomtaka aupitie kwanza kabla ya kuusaini.
Mnyika aliendelea kueleza kuwa Chadema iliwasilisha waraka wa mapendekezo sita kwa Rais ikiwa ni pamoja na kumtaka asiusaini muswada huo kutokana na wananchi kutoshirikishwa ipasavyo kwenye mchakato wa ukusanyaji wa maoni.
Zaidi: Chadema: Rais ametuuza
Kweli wewe mbu hata tabia zako pumba tupu.
Mnyika ndo katuuza. Katika makubaliano aliyotia saini pale Ikulu wakati anapiga ile 'tea', hakuna hata moja lilosema kuwa mmekubaliana rais asisaini muswada kuwa sheria kabla ya marekebisho. Ni afadhali muheshimiwa Mnyika akae kimya na atuombe radhi kwa kutokutafakari makubalianao kabla ya kusaini. Ni sawa kabisa na wale wanaoingia mikataba mibovu.
Hivi katika makubaliano aliyosaini Mnyika kulikuwa na kipengele kwamba Rais asisaini mswada? Au ile haikuwa sahihi ya Mnyika? Mnyika rejea hati uliyosaini wewe na Nchimbi na kama ni ya kughushi utuambie ila kama ni yako kwako wewe ndio inakiuka makubaliano. Vinginevyo useme ulisaini kitu ambacho hukukijua (kitu ambacho siamini). Ukiwa kama Mbunnge wangu mimi binafsi nakuamini sana.
Mkuu, nnamisi sana jamvini, namisi pointi zako za nguvu....True.
...Niliposikia Kikwete atakutana na Chadema nikapata wasiwasi, kwani hao jamaa walijua fika Rais hawezi kugeuka nyuma. Walichofanya ni kwenda kuhalalisha matendo yao ya baada.
...And lets not kid ourselves, Serikali haina mwonekano mzuri siku hizi. Tena Kikwete ndio zaidi. Chochote watakachoongea Chadema juu ya hili kitaaminiwa tu.
...I smell lots of trouble.
Mnyika ndo katuuza. Katika makubaliano aliyotia saini pale Ikulu wakati anapiga ile 'tea', hakuna hata moja lilosema kuwa mmekubaliana rais asisaini muswada kuwa sheria kabla ya marekebisho. Ni afadhali muheshimiwa Mnyika akae kimya na atuombe radhi kwa kutokutafakari makubalianao kabla ya kusaini. Ni sawa kabisa na wale wanaoingia mikataba mibovu.
Chadema kama kawaida yao kulalamika.
Ifike mahala CHADEMA wajiulize kama matamshi, kauli, hatua na vitendo vyao mara kwa mara wanatumwa na WANACHAMA wao au wafuasi wa chama chao? CHADEMA inataka kuwa himaya ya VIONGOZI pekee? Wanapoibana serikali ya JK izingatie maoni ya wananchi wao wanalifanya hili kwenye maamuzi yao mbalimbali? CHADEMA isiwasemee WATANZANIA kwa ujumla wao kwani hata CCM si ya WATANZANIA wote.
Ifike mahala CHADEMA wajiulize kama matamshi, kauli, hatua na vitendo vyao mara kwa mara wanatumwa na WANACHAMA wao au wafuasi wa chama chao? CHADEMA inataka kuwa himaya ya VIONGOZI pekee? Wanapoibana serikali ya JK izingatie maoni ya wananchi wao wanalifanya hili kwenye maamuzi yao mbalimbali? CHADEMA isiwasemee WATANZANIA kwa ujumla wao kwani hata CCM si ya WATANZANIA wote.
Yale makubaliano sio by law mkuu, ni utashi tu kisiasa uliokuwa unahitajika, hakuna upande wowote ambao unaweza kumshitaki mwenzake kisheria kwa kukiuka makubaliano yale.Hivi katika makubaliano aliyosaini Mnyika kulikuwa na kipengele kwamba Rais asisaini mswada? Au ile haikuwa sahihi ya Mnyika? Mnyika rejea hati uliyosaini wewe na Nchimbi na kama ni ya kughushi utuambie ila kama ni yako kwako wewe ndio inakiuka makubaliano. Vinginevyo useme ulisaini kitu ambacho hukukijua (kitu ambacho siamini). Ukiwa kama Mbunnge wangu mimi binafsi nakuamini sana.
WanaJF
Hakika Mhe. Zitto ni kichwa. Nina uhakika kama Mhe. Zitto angekuwepo, hicho wanachoita "makubaliano na Mhe. Rais" asingeweza kukikubali. Mhe. Rais kusaini huo Muswaada ni sawa, kwa sababu "makubaliaono" hayakuwa na chochote kitakacho mzuia asiusaini.
Mhe. Rais kwa mujibu ya Sheria hii, atateua TUME ya kukusanya maoni na kuratibu zoezi zima la uundwaji wa Katiba Mpya. Nina amini, Mhe. Mnyika, Mhe. Mrema, Mhe. Cheyo, Mhe. Kafulila ni miongoni mwa watakaoteuliwa kuwa kwenye hiyo Tume. CDM mkisusia hilo zoezi, bado maoni yatakusanya...na Katiba Mpya itaundwa.
Wito wangu: Kubalini kuwa HESABU zenu hazikwenda sawa.....kuanzia siku ile mnatoka nje ya ukumbi wa Bunge....mkisusia kuchangia kwenye Muswaada ambao sasa ni Sheria......tena kali sana!