CHADEMA Yajitoa mchakato wa Katiba; Yadai Rais kawauza!

Mtazamo,

..kile kikaratasi kinaonyesha dharau ya serikali/JK kwa CDM.

..sasa ili haki itendeke lazima kwanza tuwaulize serikali, kwanini wamewadharau CDM kiasi kil?

..vilevile tuwaulize CDM, kwanini walikubali kudharauliwa kwa kusainishwa kile kikaratasi?
Natumia simu sijaona kitufe cha like!
 
Chadema maelezo ni HAFIFU SANA, kwamba mlipa Rais Mapendekezo Sita ayapitie kabla ya Kusaini Muswaada! I mean under what guarantees by Laws of our Land kwamba Rais angepitia na kuwafahamisha kwamba ameshapitia, sasa hivi akisema alipitia then What? Something is not right na the whole story! - William
 
Mtazamo,

..kile kikaratasi kinaonyesha dharau ya serikali/JK kwa CDM.

..sasa ili haki itendeke lazima kwanza tuwaulize serikali, kwanini wamewadharau CDM kiasi kil?

..vilevile tuwaulize CDM, kwanini walikubali kudharauliwa kwa kusainishwa kile kikaratasi?
Mkuu naomba nijibu swali langu, tusipotezeane muda tasavali.
 
Kwa hili Chadema mmekosea,onyesha kuwajibika kwa kuomba radhi na mjipange upya,wafuasi wenu watawaelewa.Kuendelea kutoa misimamo yenye kupingana kila kukicha,wananchi wataanza kuona kumbe jana(CCM) ni afadhali ya leo(CHADEMA).
 
Mtazamo,

..kile kikaratasi kinaonyesha dharau ya serikali/JK kwa CDM.

..sasa ili haki itendeke lazima kwanza tuwaulize serikali, kwanini wamewadharau CDM kiasi kil?

..vilevile tuwaulize CDM, kwanini walikubali kudharauliwa kwa kusainishwa kile kikaratasi?

You can ask serikali as much as you want, but don't expect an answer
 
Hawa CHADEMA nao kama hawaeleweki eleweki vile...
Tokea enzi hizo hawaeleweki, sio leo tu. Fikiria mfano wa MB. Kwenye vikao vya bunge anakotakiwa awepo, yeye anatoka nje 'anasusa' halafu badala yake anajipeleka mwenyewe gerezani eti 'anahamunapo,' anakaa siku chache panaonekana hapamfai. Wanalazimisha kumtoa bila kufuata utaratibu eti kwa kuwa alienda kwa hiari yake. Kisha anaitwa 'shujaa' mpiganaji hodari eeenh? Kama ze comedy vile. Ujinga mtupu.
 
Mtazamo,

..mswada ndiyo umeshakuwa sheria hivyo.

..sasa kila mmoja wetu ajiulize kama ameridhishwa na ana matumaini ni sheria iliyopitishwa.

..personally nina mashaka sana kwamba tutapatiwa katiba ya hovyo-hovyo tu come 2014.
 
Mnadhani move hii ni kosa limefanywa na cdm, hasha! jaribio kutokukidhi matarajio hakuifanyi ccm kuwa imefanya vema, imeuanika ubaya wa ccm, imetafsiri utawala wa hila wa dubu ccm, imeonyesha wazi kuwa ukiwasikiliza ccm wao watadai umewaruhusu wakuamulie hatima yako, niwaambie! ccm imezidi kuwa mbaya!!!!!!!!

Tuzidi kutafakari..
 
Kwa makubaliano yale na JK ambayo yalisainiwa na Mnyika na Nchimbi hakuna hata moja lililosema kuwa Rais asisaini Muswada kabla ya marekebisho. Ila nakumbuka la kwanza lilikuwa linasema "Pamoja na sheria hiyo kupitishwa na Bunge ipo haja ya kuendelea kuiboresha ili ikidhi mahitaji ya kujenga kuaminiana na muafaka wa kitaifa". Sina hakika kama mlilielewa hili. Yawezekana mlinogewa chai ya Ikulu na kushindwa kulitafakari hili kabla ya kulisaini. Kwa maana hiyo kusema kwamba rais kawauza mmeniboa.

Wewe kweli wakuja,

Kuendelea kuiboresha kabla ya kutiwa saini wewe maandazi.

Sheria haiwezi kupitishwa kama kuna kundi linatia wasiwasi mkuu.

itakuwa nchi inayoongozwa KIDICTOR.Rais anaamua sheria zake mwenyewe kupitia wabunge wake
waliochukua mafungu ya kampeni toka kwa Edward Ngoyai Lowasa rais mgombea wa ccm 2015.

 
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa kuna document ambayo imesainiwa na Nchimbi na Mnyika kama wawakilishi wa serikali na CDM respectively.
Kwa hiyo, watu tunauliza Je, ni kipengele kipi kimekiukwa mpaka mseme mmeuzwa?
Ni hilo tu, mengine ni malumbano ya hapa na pale ili siku iende.
Mkuu hili ni la msingi sana toka juzi watu tunaomba kujua nini makubaliano ya maana wanafanya mambo kisiri kama ya MIKATABA FAKE ambayo sasa inalighalimu taifa

Waseme wazi nini walikubaliana na nini hawakukubaliana wawe wawazi mkuu
ILA hata kificha mwisho wa siku tutajua tu
 
Wakati Rais anawauza CHADEMA, watambue pia kwamba nao wameniuza mimi mfuasi wao.
 
- Wananchi walifurahi sana waliposikia Rais amekubali kukutana na CDM. Walitegemea mengi, kwamba Rais angekubali hoja thabiti za CDM

- Zilipotoka zile picha za siku ya kwanza ya kikao Ikulu, wananchi walipata wasiwasi na zile body language za wageni kuonekana kuzidiwa na utukufu wa jengo, huku wenyeji wakionekana kuwachukulia wageni kama bwa-wadogo fulani. Anyway, wananchi waliwapa benefit of doubt na kuendelea kutegemea makubwa.

- Baada ya kusoma makubaliano yaliyopatikana, wanancnhi walisikitika sana na wengine hata kusema CDM kwishney, na kwamba katiba bomu yaja. Wananchi wengi pia walionekana wakikimbilia kwenye matawi ya CCM ku-renew kadi zao za uanachama. Ilikuwa dhahiri kuwa CCM inaelekea kutawala milele.


Conclussion

CDM ilikuwa na nguvu ya umma kabla ya kikao, na ndiyo maana CCM iliwaheshimu. Ni ukweli wa medani kuwa hautakiwi kuachilia silaa zako hata pale unapojadiliana usuluhisho na adui, CDM ilitupa silaa zake kwa kupoteza people power. Baada ya ku-surender pale ikulu, haijulikana hii people power kama bado ipo.
 
..according to Mnyika, CDM wamempa Raisi mapendekezo yao.

..Raisi "kayaweka kabatini" mapendekezo ya CDM na kuamua kusaini mswada kuwa sheria.

..obviously CDM lazima wagomee kushiriki ktk process nzima ya kukusanya maoni kwa kutumia sheria aliyoisaini Raisi.

NB:

..hisia zangu ni kwamba serikali huko mbeleni itapuuza maoni ya wananchi kama ilivyoyapuuza maoni yaliyotolewa na CDM.

Joka kuu mtizamo wako nauunga mkono, kama maoni machache namna ile wameyapuuza nini kitawalazimisha kuyajumuisha maoni yangu kwenye hiyo katiba mpya? nalinganisha zoezi hili la katiba na mbio za wazee kufukuza kuku, huishia kwa halaiki kucheka sana pale kuku anapowalamba chenga wazee hao.
 
  • Thanks
Reactions: WFM
Inasikitisha kusema lakini Chadema inaonekana kutokujua inachofanya.

Sijui, ila kwa mtazamo wangu walichofanya ni ("at least we tried before turning up to or people") kuweka record ya kujitahidi kutumia njia zote za kidiplomasia kabla ya kukata rufaa kwa umma; kwani ni jinsi gani umma utareact si rahisi kutabiri. Pia ni kuonesha jinsi JK ambavyo angeweza kuepusha chochote ambacho kinaweza tokea mbeleni!
 
Mtazamo,

..mswada ndiyo umeshakuwa sheria hivyo.

..sasa kila mmoja wetu ajiulize kama ameridhishwa na ana matumaini ni sheria iliyopitishwa.

..personally nina mashaka sana kwamba tutapatiwa katiba ya hovyo-hovyo tu come 2014.
Mkuu, Katiba mpya haijawahi kuwa ajenda ya CCM hata siku moja,wameidandia kisanii kutokana na upepo ulivyokuwa na kwakuwa wamedandia kisanii wote tulijua hawana na hawatakuwa na dhamira ya kutupa katiba bora! Cha kujiuliza ni kuwa pamoja na kujua usanii wote huu imekuwaje chama tunachokiamini na kukipa dhamana ya kuongoza mapambano kinaingia mkenge kirahisi hivi? Kinachosikitisha hata nguvu ya umma tunayoitegemea tunaichanganya sasa,watu wamegawanywa na kilichotokea ikulu! worse enough inaonesha viongozi wetu hawaelewi wanatokaje hapa kwenda mbele! Ku hold tension ya umma ni muhimu mnapotaka haki kutoka kwa wakaidi kama ccm lakini tunayumba kusimamia yale tunayoimba! Lazima tukubali makosa tujipange upya mapema.
 

Sheria haiwezi kupitishwa kama kuna kundi linatia wasiwasi mkuu.


itakuwa nchi inayoongozwa KIDICTOR.Rais anaamua sheria zake mwenyewe kupitia wabunge wake
waliochukua mafungu ya kampeni toka kwa Edward Ngoyai Lowasa rais mgombea wa ccm 2015.


Ndiyo maana watu wanasema yawezeka CCM katiba wanayoita tayari ipo wanajribu kutuzuga tu ili kuonyesha taratibu zinafuatwa
 
Chadema chama dume tanzania,piga kazi makamanda wa chadema endeleeni kufungua fikra mgando za watz mpaka kieleweke ,
 
Chadema maelezo ni HAFIFU SANA, kwamba mlipa Rais Mapendekezo Sita ayapitie kabla ya Kusaini Muswaada! I mean under what guarantees by Laws of our Land kwamba Rais angepitia na kuwafahamisha kwamba ameshapitia, sasa hivi akisema alipitia then What? Something is not right na the whole story! - William

Ndiyo maana tunaichukia ccm, haijui kutekeleza maagano, tulikubaliana watatuletea maisha bora, bado mpaka leo wanarudia kusoma hii verse badala ya kutekeleza, unaonekana jambo hili halikukeri wewe.
 
Mnyika naona unaona maoni ya watu wengi hapo juu, hata kitaani ni hivyo hivyo

All I can say to you guys please STICKY to your decision, chadema ijulikane ina mlengo gani, mlengo wa kulia, kushoto au kati, amueni kuwa radicals na dunia ijue hivyo...au muwe kondoo na dunia itawajua hivyo. Mmekuwa mnabadilika badilika sana.....

Hata iwe vipi hamtakuwa na uwezo wa kumfurahisha kila mtu.....ila amueni muwe vipi na mtavuta wengine kwa vile mtakavyokuwa!!

Leo mtakasirika, kesho mtamchekea yule yule aliyewakasirisha jana, kitu gani huwa kinatokea??...hatujui

Lingine, jamani ikiwezekana hiyo ruzuku ichukue nafasi ya posho zenu za bungeni...susieni vikao vya bunge na DUNIA ijue hivyo CCM wanajua kuwa huwa mnatisha leo....mnakuja kesho! this aint good not neither for your supporters nor for your members.

Naunga mkono, Chadema kwa hili sijawapenda, na ni bahati yao kama huko Ikulu hawajalishwa walicholishwa Mwandosya na Mwakyembe! Kwani hawamjui Kikwete kuwa ni kigeugeu?
 
Back
Top Bottom