CHADEMA Yajitoa mchakato wa Katiba; Yadai Rais kawauza!

Wakati Rais anawauza CHADEMA, watambue pia kwamba nao wameniuza mimi mfuasi wao.
Mkuu usi underestimate akili za Dr Slaa, sasa nimeshaelewa ni kwa nini Dr Slaa hakwenda kwenye vile vikao vya mazingaombwe pale ikulu. sababu za Dr Slaa kutohudhuria kile kikao hazingii akilini, mimi nina uhakika kuna strategic plan ya kisomi iliyopangwa.

Naomba wana JF wote hapa tuache unafki, watu walikuwa wanaishutumu Chadema kwamba ni chama cha vurugu na maandamo na sasa strategic plan ni hii iliyotumika kumpa Rais muda na fursa ambayo ameshindwa kuitumia, sasa watu wakiingia mtaani Chadema si ya kulaumiwa kwani hakuna chaguo mbadala na hili lilitegemewa na kila mtu anaemfahamu vyema JK, kwani kama ana uwezo wa kuipuuza kamati kuu ya CCM iliyomuagiza akutane na vyama vyote badala ya Chadema pekee ndio atashindwa kupuuza kile alichojadiliana na kamati maalum ya Chadema? Think loud.
 
Kwa hili Chadema mmekosea,onyesha kuwajibika kwa kuomba radhi na mjipange upya,wafuasi wenu watawaelewa.Kuendelea kutoa misimamo yenye kupingana kila kukicha,wananchi wataanza kuona kumbe jana(CCM) ni afadhali ya leo(CHADEMA).

Hakuna walicho kosea, wamefanikiwa kuwaonyesha wananchi kuwa ccm haina mpango wa kusikiliza maoni yao wakati wowote. ichukie ccm kadri uwezavyo!!!!!
 
Mkuu usi underestimate akili za Dr Slaa, sasa nimeshaelewa ni kwa nini Dr Slaa hakwenda kwenye vile vikao vya mazingaombwe pale ikulu. sababu za Dr Slaa kutohudhuria kile kikao hazingii akilini, mimi nina uhakika kuna strategic plan ya kisomi iliyopangwa.

Naomba wana JF wote hapa tuache unafki, watu walikuwa wanaishutumu Chadema kwamba ni chama cha vurugu na maandamo na sasa strategic plan ni hii iliyotumika kumpa Rais muda na fursa ambayo ameshindwa kuitumia, sasa watu wakiingia mtaani Chadema si ya kulaumiwa kwani hakuna chaguo mbadala na hili lilitegemewa na kila mtu anaemfahamu vyema JK, kwani kama ana uwezo wa kuipuuza kamati kuu ya CCM iliyomuagiza akutane na vyama vyote badala ya Chadema pekee ndio atashindwa kupuuza kile alichojadiliana na kamati maalum ya Chadema? Think loud.
Hapa umenifanya nifikirie kwa makini sana ngoja nitapa jibu tu lengo la hawa jamaa au Dr hakukubaliana na mpango wao huo kama alivyofanya ZITTO bungeni siku Rais anafungua bunge
 

Sheria haiwezi kupitishwa kama kuna kundi linatia wasiwasi mkuu.

itakuwa nchi inayoongozwa KIDICTOR.Rais anaamua sheria zake mwenyewe kupitia wabunge wake
waliochukua mafungu ya kampeni toka kwa Edward Ngoyai Lowasa rais mgombea wa ccm 2015.


Ndiyo maana watu wanasema yawezeka CCM katiba wanayoita tayari ipo wanajribu kutuzuga tu ili kuonyesha taratibu zinafuatwa

This is what is going to happen.
PERIOD.
 
Naunga mkono, Chadema kwa hili sijawapenda, na ni bahati yao kama huko Ikulu hawajalishwa walicholishwa Mwandosya na Mwakyembe! Kwani hawamjui Kikwete kuwa ni kigeugeu?

Una maana unaisapoti ccm au sijakuelewa. isijekuwa umekula dawa ya kuzeesha ghafla.
 
A photo can speak thousands words, Uwepo wa Stevin Wassira kwenye kikao hiki na kutokuwepo kwa Dr Slaa kwenye kikao hiki tayari kilishatoa taswira ya matokeo yatakavyokuwa.

  • 1584cc8.jpg


    Rais Kikwete na ujumbe wake akiwa kwenye picha ya pamoja na ujumbe wa CHADEMA ikulu jijini Dar es Salaam. Nini kinaendelea, tutege masikio maana kwa mtazamo wangu tofauti zetu zitaondoka tu kwa kukaa pamoja na kuafikiana maafikiano kwa manufaa ya taifa letu, kila upande kuwa tayari kuvumilia vinginevyo ngangari si suluhisho la matatizo na nguvu ya dola ni kuleta taharuki zaidi ya mwafaka.




    JK akisalimiana na Lissu

    CDM6.jpg


    Rais Kikwete akiwakirimu wajumbe toka Chadema Ikulu jijini Dar es Salaam

    c10.jpg


    Vyombo vya habari kama ada tukio kama hili adimu wanahakikisha hakuna litakalopitwa.


 
  • Thanks
Reactions: EMT
Code:
Tokea enzi hizo hawaeleweki, sio leo tu. Fikiria mfano wa MB. Kwenye vikao vya bunge anakotakiwa awepo, yeye anatoka nje 'anasusa' halafu badala yake anajipeleka mwenyewe gerezani eti 'anahamunapo,' anakaa siku chache panaonekana hapamfai. Wanalazimisha kumtoa bila kufuata utaratibu eti kwa kuwa alienda kwa hiari yake. Kisha anaitwa 'shujaa' mpiganaji hodari eeenh? Kama ze comedy vile. Ujinga mtupu.

.......tehe teheeeeeeeeeeeeetehe....
 
Kwa makubaliano yale na JK ambayo yalisainiwa na Mnyika na Nchimbi hakuna hata moja lililosema kuwa Rais asisaini Muswada kabla ya marekebisho. Ila nakumbuka la kwanza lilikuwa linasema "Pamoja na sheria hiyo kupitishwa na Bunge ipo haja ya kuendelea kuiboresha ili ikidhi mahitaji ya kujenga kuaminiana na muafaka wa kitaifa". Sina hakika kama mlilielewa hili. Yawezekana mlinogewa chai ya Ikulu na kushindwa kulitafakari hili kabla ya kulisaini. Kwa maana hiyo kusema kwamba rais kawauza mmeniboa.

Mimi ningemuelewa Mh.Mnyika kama angeanza kwa kusema kuwa kile kipande cha karatasi kilichopatikana kwenye vyombo vya habari kikiwa na makubaliano mawili, ambacho alikisaini ikulu kilikuwa cha kughushi(yaani yeye kama Mh. Mnyika hajawahi kusaini kitu kama hicho). Kwa maelezo anayotoa sasa ni vigumu kunishawishi kuwa anaamini anachokizungumza.
 

  • Zitto Z Kabwe

    Serikali na Chadema kukubaliana kujenga kuaminiana, kuwasiliana mara kwa mara na kushauriana ili kujenga Mwafaka wa Kitaifa kuhusu Katiba ni hatua nzuri na ya kupongeza katika demokrasia yetu. Nampongeza Rais Kikwete na Mwenyekiti Mbowe. Pia nawapongeza Wazee waliosaidia kutufikisha katika Mwafaka huu. Katiba inaweza kutafutwa Barabarani lakini inaandikwa mezani. Daima Maslahi ya Taifa kwanza, vyama baadaye. Mungu ibariki Tanzania
Kwa kauli hii huu mpango wa kususi mchakato ni chama ? Maana hapa pana pongezi Kwa nini Chama kinkuwa to and fro
 
Jamaa sasa wanabadilika badilika kama kinyonga ni kheri wangebaki kimyaa kuliko kila kukicha tamko kila kukicha tamko haya matamko sasa yamekuwa meeeeeengi kiasi kwamba hata yale ya zamani wamesha anza kuyasahau.
 
Kama habari hizi na zilizotangulia kuhusu suala hili ni za kweli, basi cdm wana 'flip flop' na hili linaweza kuwagharimu! kwa uhalisia wa kisiasa, isingewezekana kwa rais kutokusign muswada bila ku compromise uhusiano wake na wabunge wa chama chake. The best (politically) the president can do ni kuchelewa kuimplement baadhi ya mambo katika muswada (yanayolalamikiwa) mpaka yatakapofanyiwa marekebisho. Labda kama move hii ya cdm inalenga katika kumshinikiza rais kuchelewesha implementation hiyo na kuleta mabadiliko ya sheria hiyo mapema zaidi.

Na tatizo jingine ninaloliona ni kuendelea kulifanya suala la katiba kuwa suala la vyama (cdm/ccm)!
 
Naomba wana JF wote hapa tuache unafki, watu walikuwa wanaishutumu Chadema kwamba ni chama cha vurugu na maandamo na sasa strategic plan ni hii iliyotumika kumpa Rais muda na fursa ambayo ameshindwa kuitumia, sasa watu wakiingia mtaani Chadema si ya kulaumiwa kwani hakuna chaguo mbadala na hili lilitegemewa na kila mtu anaemfahamu vyema JK, kwani kama ana uwezo wa kuipuuza kamati kuu ya CCM iliyomuagiza akutane na vyama vyote badala ya Chadema pekee ndio atashindwa kupuuza kile alichojadiliana na kamati maalum ya Chadema? Think loud.
...True.

...Niliposikia Kikwete atakutana na Chadema nikapata wasiwasi, kwani hao jamaa walijua fika Rais hawezi kugeuka nyuma. Walichofanya ni kwenda kuhalalisha matendo yao ya baada.

...And lets not kid ourselves, Serikali haina mwonekano mzuri siku hizi. Tena Kikwete ndio zaidi. Chochote watakachoongea Chadema juu ya hili kitaaminiwa tu.

...I smell lots of trouble.
 
Chadema kama kawaida yao kulalamika.

Kulalamika kunakusanya hasira zaidi ya ilivyokuwa mwanzo.

Pia kulalamika inaonyesha jinsi watu walivyowavumilivu.

Uvumilivu ukiwashinda chadema ndiyo maafa ya hii Tanganyika.

Zanzibar watakuwa shwari.
Mungu ibariki Tanganyika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika.
 
Back
Top Bottom