Chadema haina wanachama mburula kama wewe wasiojua viongozi wachapakazi.mie ni mwanachama wa dhati kabisa wa CDM - ila nakiri kuna ubaguzi tena wa wazi kabisa ndani ya chama..........kuna 'watu' ndani ya chama hata wafanye makosa gani kamwe hawawezi kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa katiba mfano lema alivyokurupuka hapa hapa jf!
ishu ya mbowe kutumia madaraka yake vibaya kama KUB (uzinzi na viti maalum tena wa ndani ya chama) chama kinavunga na kitaendelea kuvunga as if hakuna kilichotokea wakati ukweli ni kwamba mbowe kama kiongozi mkuu hakupaswa kufanya hayo coz anaharibu image ya chama, tafakari ingekuwa ishu inamuhusu zito hali ingekuwaje?!
badala yake watu wanazidisha chuki zao tu kwa zito utadhani yeye ndo alimtuma mbowe kufanya upuuzi - wanachama na viongozi CDM achene unafki, kunya anye kuku akinya bata................
Nchi iuzwe mara ngapi ?hakuna sehemu iliyobaki bila kuuzwa.Suala la Uanachama na Uongozi vilikuwa ni separate issues. Kila kimoja kilipaswa kijadiliwe kwa muktadha wake!.
Mpaka hivi sasa Zitto Kabwe ni mwanachama halali wa Chadema
Anakata rufaa kwa sababu ya Kuvuliwa uongozi wake, Then Mwingine aakuja anasema No No No, Subiri kwanza tuone kama utavuliwa uanachama au La!!- SIJAWAHI KUONA CHAMA AMBACHO KILA MTU ANAJITAFSIRIA KATIBA APENDAVYO!
Sijui Kimesera ametumia kifungu gani cha sheria/katiba ya Chama kuzuia Mchakato huru wa Rufaa
Naona umeamua kurudi kweye ID yako ya zamani, vipi nasikia saizi mmekuja na sera mpya ya Gongo baada ya kuona ufisadi imefulia.Nafikiri wewe huijui Chadema huwa hatubabaishi tukiamua tumeamua wait and see.
Suala la Uanachama na Uongozi vilikuwa ni separate issues. Kila kimoja kilipaswa kijadiliwe kwa muktadha wake!.
Mpaka hivi sasa Zitto Kabwe ni mwanachama halali wa Chadema
Anakata rufaa kwa sababu ya Kuvuliwa uongozi wake, Then Mwingine aakuja anasema No No No, Subiri kwanza tuone kama utavuliwa uanachama au La!!- SIJAWAHI KUONA CHAMA AMBACHO KILA MTU ANAJITAFSIRIA KATIBA APENDAVYO!
Sijui Kimesera ametumia kifungu gani cha sheria/katiba ya Chama kuzuia Mchakato huru wa Rufaa
Chadema haina wanachama mburula kama wewe wasiojua viongozi wachapakazi.
Suala la Uanachama na Uongozi vilikuwa ni separate issues. Kila kimoja kilipaswa kijadiliwe kwa muktadha wake!.
Mpaka hivi sasa Zitto Kabwe ni mwanachama halali wa Chadema
Anakata rufaa kwa sababu ya Kuvuliwa uongozi wake, Then Mwingine aakuja anasema No No No, Subiri kwanza tuone kama utavuliwa uanachama au La!!- SIJAWAHI KUONA CHAMA AMBACHO KILA MTU ANAJITAFSIRIA KATIBA APENDAVYO!
Sijui Kimesera ametumia kifungu gani cha sheria/katiba ya Chama kuzuia Mchakato huru wa Rufaa
Mantiki yake ni kwamba aliyekuteua ana haki ya kukutoa muda wowote, CC ina uwezo huo.Sijaelewa mantiki ya msimamo huu. Sasa kama akishinda hiyo rufaa, si hata suala la yeye kutetea uanachama wake linakosa uhalali wa kuendelea? Kwa nini wanataka wamvue uanachama (kama ikitokea hivyo) na kidha ndio wafanye maamuzi juu ya uhalali wa maamuzi ya CC? Je katika rufaa ikiamuliwa kuwa CC ilikosea itakuwaje kama uamuzi wa kunvua uanchama umeshafanyika? Si matumizi mabaya ya resources/muda na kuongeza "majeraha" na mivutano isiyo na msingi?
Toka Chama cha Magamba hadi Chama cha Mizigo mna kazi.Naona umeamua kurudi kweye ID yako ya zamani, vipi nasikia saizi mmekuja na sera mpya ya Gongo baada ya kuona ufisadi imefulia.
Tofautisha kati ya kaimu na naibu.Kumbe nafasi imeshapata mtu?! Aaah ama kweli kufa kufaana. Hiyo Mh.Zitto ahesabu Unaibu Katibu Mkuu CDM ndio basi tena.
Kulikuwa na haraka gani ya kutafuta mtu wa kuziba nafasi ya Mh.Zitto hata kabla ya Zitto kujibu tuhuma zake?! Kwa haraka tu naona rufaa ya Zitto haina maana tena.
Una uhakika gani.Msajili wa vyama vya Siasa nchini ni bora aiangalie kwa kina Katiba ya CDM, naona kama inachezewa kwa manufaa ya vigogo.
Zitto bado ni mwanachama halali wa CDM na daima ataendelea kuwa mwanachama wa CDM, kwa hiyo anastahili kupewa treatment sawa na wanachama wengine.
Kwanza rufaa ya nini wakati bado hajavuliwa uanachama?
Zitto mbona anahangaika hivi?
mbona mambo ya zitto tulishamaliza kitambo !