Chama cha mapinduzi (CCM) kinaelekea kushindwa vibaya kwenye uchaguzi mdogo wa vijiji na vitongoji mkoani Geita jimbo la Nywang`wale.
Kwa mujibu wa mratibu wa kanda hiyo wa CHADEMA ndugu General Kaduma mpaka sasa CHADEMA imetangazwa vitongoji 7 kati ya 11.. Tutaendelea kuwapa matokea ya vitongoji vilivyosalia..
Kwa mujibu wa mratibu wa kanda hiyo wa CHADEMA ndugu General Kaduma mpaka sasa CHADEMA imetangazwa vitongoji 7 kati ya 11.. Tutaendelea kuwapa matokea ya vitongoji vilivyosalia..