nnge je?siku zote nyoka huanza kupigwa kichwani
Naona MISUKULE imefufuka! Baada ya midomo kuchacha na kuiziba kwa kuogofya kusambaza germs sasa wamerudi kwenye chaka lao...... mhe TULIA pita huku utupe Formula!
Manyang'au yananenepa huku wananchi wakizidi kukondeana!
Lazima wakati utafika wananchi watasema hapana, imetosha!
Kama walivyofanya Geita Leo , safi sana wana geita na huo ndo mwelekeo Wa kisiasa nchini ...tumbua tumbua wameona kumbe ni usanii tu na wala hauwasaidii zaidi zaidi kukurupuka kumewafanya geita sukari wanunue sh.5000 kg 1...
Manyang'au yananenepa huku wananchi wakizidi kukondeana!
Lazima wakati utafika wananchi watasema hapana, imetosha!