dume kubwaaaa
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 255
- 28
BIG up CDM, huu ni mwiba mwingine kwa ccm, liwalo na liwe maana wamezoea kuwadanganya wakulima vijijini. COME BACK TANGANYIKA:israel:
Je unajua ccm inapokea zaidi ya 1bilioni kama ruzuku wachilia mbali faida toka vitega uchumi vyake ilivyotapeli umma enzi za chama kimoja, michango ya mafisadi na wauza Sembe waliomshinda Mwakyembe. Je ulishawahi kuhoji hata siku moja au wewe ndo kila unayetetea wizi wa 200bilion leo unajifanya una hurumia ruzuku ya CHADEMA Katone tu ukilinganisha na pesa za ccm nyingi haramu na halaliCHADEMA inapokea mamilioni ya fedha kutoka serikalini kila mwezi(ruzuku) , mimi kama mtanzania na mmoja wa walipa kodi ninapaswa kujua fedha hizo zinatumikaje.
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
Mkuu kuuliza sio ujinga. Ungetusaidia sana kama ungetoa hayo majibu kwa faida ya wanajamvi wote tusiojua huu mchakato wa kupata pikipiki uliendaje.
Ukisha Jua??mbona huulizi safari za kinana zimegharimu shs ngapi??
MSALANI,
Taarifa itatolewa Rasmi Kwenye Vikao kupitia vyombo vya uwakilishi katika uendeshaji wa chama yaani sekretarieti,Kamati Kuu na Baraza Kuu ambavyo vipo kwa niaba ya wanachama,wapenzi na Wafuasi wa CHADEMA na harakati za Mageuzi kwa ujumla
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
Chadema ingieni vijijini, huko ndiko waliko watanzania wengi! Igeni mfano wa kinana kufanya mikutano vijijini!
Kampuni gani ilipewa zabuni na pikipik moja imewaghalimu kiasi gani na pes zimetoka wapi.
Mbowe kashapiga mamilioni yake hapo utasikia mil 10 kila moja...
ni kweli lakini yanakuhusu nini
Mkuu nilichosikia mimi kila pikipiki ni 2M na logo ya chadema kila moja imegharimu 1m na tender alipewa muasisi wa chama Mzee Mtei.
nani alikuwa mhasibu wa kudraw pesa wakati wa kununua.na je pesa hizo ni ruzuku ya chama au ni ule msaada wa pesa za DERNMARK.NAOMBA NIPEWE TAARIFA