Dah r u Martin Mayala i know? Safi sana kama wa dtci kwa taarifa.Hapa Mwanza JK kashindwa kuhutubia mkutano furahisha baada ya uwanja mzima kujaa bendera za CDM,uwiiiiiiiiiiiiiKwa wale mnaoendelea kuaminishwa na propaganda za watawala kuwa CHADEMA kinachukiwa na watu, basi fikirieni upya na jipangeni vizuri kwani moto wa chama unazidi kuwaka na kumulika kila kona. Uchaguzi mdogo wa kiti cha mwenyekiti wa mtaa wa Maisaka Kati Jimbo la Babati Mjini mkoa wa Manyara ni kama ifuatavyo
CHADEMA - kura 247
CCM - kura 170
CUF - kura 2
Sasa nyie wafuasi wa Mwigulu mkisaidiwa na Job Ndungai kutaka kuwaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA haifai, kwa hilo mmeula wa chuya, jipangeni upya kwani matendo yenu na maamuzi yenu mabaya ya kulinda udharimu wenu Watanzania wa chini kabisa huku mitaani na vitongojini wanaona na wataendelea kuona kama hamtajitambua kwa mbinu zenu chafu na kwa mbinu zenu hizo kila uchaguzi, mtakimbia vituo kabla ya matokeo kutangazwa
Chadema daima mbele nyuma kamwe..!
Duh bado sana kama ni shule ndo chekechea Mziki wa ccm PhD
Sio rahisi mtapaki kuwa wapinzani wazuri tu mpaka mwisho wa dunia
aaaghaaa nilijua mikoa yenye akili kumbe ni kule kule ngoja nikale mda umefika
we unadhani huwa nini kinaanza kati yachadema kuchukiwa na watu au chadema kuchukiza watu.
kwa dhati mambo yaliopo katika hiki chama ni aibu tupu. asie chukia ni yule ambae hana taarifa za kutosha juu chadema.lakini ngoma ikilia sana juwa imekaribia kupasuka.na hilo wala haliitaji propergander kama mdau anavyo dai.
takwimu kama hizi zitaendelea kuwa danganya na kuwazidishia upotofu.
my gass hizo kura za ccm mlizo ziona 75% ni za wanawake na wazee.endelezo la uwoga ambalo ni bomu kwa chadema siku zijazo.
Chadema ni wapinzani wa kudumu