Msiwe wepesi wa kudanganyika. Hizo ni kata ngapi? Kumbukeni uchaguzi ulifanyika kwenye kata 29. Sasa huo ushindi wa kura za jumla za CHADEMA upo wapi. tukusanye matokeo yote ya nchi nzima, ndipo tushangilie.Mkuu safi sana umetuwekea statistics nape ni vuvuzela tuu.
Msiwe wepesi wa kudanganyika. Hizo ni kata ngapi? Kumbukeni uchaguzi ulifanyika kwenye kata 29. Sasa huo ushindi wa kura za jumla za CHADEMA upo wapi. tukusanye matokeo yote ya nchi nzima, ndipo tushangilie.
Poa kata zote ndo nakamilisha yatakuja, kwa kumbukumbu zangu Malangali Ludewa mlipigwa gap kubwa , subirini yanakuja muda si mrefu
Tatizo JF ina watu mchanganyiko sana, wamo na watoto wadogo wasiokuwa na uwezo wa kuchambua mambo. Sasa wewe unafurahia nini matokeo ya kata tisa kati ya 29? Na kati ya hizo tisa, CHADEMA wameshinda nne, hivi ulitegemea tofauti ya kura iweje? Haya si matokeo ya kuwafanya watu wazima wenye akili timamu kuanza kuyashangilia. Kikubwa tuangalia tulipoanguaka tukarekebishe na si kuanza kujifariji na takwimu zisizo na maana hizi. Mnataka kumhadaa nani?[/COLOR]
Nimefurahije.................!! mpaka nahisi kama vile nimekubaliwa kupe............. K. safi sana mtafiti nahisi nitakuweka ndani ya timu yangu. Kuhusu huyo vuvuzela hapo juu kwenye RED we Mwaaaaaaaacheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.