Nyie mlioabdamana ndio mumekuwa mambulula. Imekuwahe police wazima waanze maandamano wakati hakuna mtu hata moja nchini ametamka ama kuongoza hilo? Woga woga woga ndiyo maana mnawafunga waru wote midomo!
Ndugu,
Jaribu kutumia akili uliyojaaliwa angalau kwa 1% tu, utaisaidia hii nchi kusonga mbele, kuliko kufungua thread za kipuuzi kila muda na kutujazia server
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.