uniq
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 5,089
- 31,085
Pale mnapo jaribu kula matapishi yenu.Mmejaribu kwa kila mbinu kuyahusisha Maandamano ya Mange kuwa ya CHADEMA, mmeshindwa! Poleni Sana kwa Gwaride mlililopigishwa na Mange, sikuwa kudhani Kuna WANAUME wanaotishwa na kimwanamke ambacho upepo unaopiga Mita 100/PH kinamrusha hewani na kumtupa mbali! Kuna mwanaume kasifiwa juzi na gumegume Moja kule Bungeni, kumbe muoga Kama Nini, Hadi anaingia kwenye sherehe kwa kujificha! Poleni kwa sekeseke la Mange!