CHADEMA yafutika kwenye ramani ya Serengeti

CHADEMA yafutika kwenye ramani ya Serengeti

Sasa mbona mwawapenda?
Watu wanawapenda kwa sababu ya kujiburudisha kwa tamaa za mwili, kwani nani haujui utamu wa hi kitu hii?
Laana, tabu na Mashaka inakuja pale Malaya huyo aamue kukuachia uzao! Utajuta kuzaa mtoto wa Malaya, ni uzao uliofitinika.
SUBIRINI UZAO WA MALAYA HAO WA KISIASA (aliowaita mwalimu) NDANI YA CCM BAADA YA MUDA MFUPI. Hivi hata kwa akili kidogo mtu kama Nape na Waitara au Mtatiro wanaweza kuiva pamoja? Kinana na Mwigamba waweza kujadili Sera?
 
Ungesema magufuli aliyeweka Doto james mwipwaye wanafyeka hela za nchi kama njugu mtu anatembea na mamburungutu kutafuta cheap popularity eti lete mapapai
Dotto alijiweka kwa qualification zake,si vinginevyo
 
Tutegemee Serengeti ipate maendeleo kama Chato la sivyo itakua Umaqu tu.
 
Swali jee Chadema ilikuwa na wanachama wangapi Serengeti? Tuseme kwa mfano kama walikua na wanachama 5000 wakaondoka 10, ndio inamaanisha imefutika?

Mimi siyo mshabiki wa Chadema, lakini ukweli unapendeza.
 
Kwahiyo CCM itawapokea na kuwarudishia nafasi walizokuwa nazo?

Kama watafanya hivyo, basi CCM ni chama kilichokufa. CCM imefikia kushawishi viongozi wahamie na nafasi zao na pesa juu.

Mh. Mbowe akitaka kuhama na uenyekiti wake jiwe atamkubalia? Nawaza tu hapa.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kimefutika kabisa kwenye Ramani ya Wilaya ya Serengeti baada ya Mbunge na madiwani takribani saba akiwemo Mwenyekiti wao wa Halmashauri kuhamia CCM.

Hata hivyo licha ya viongozi hao pia kumeripotiwa maeneo mbalimbali wenyeviti wa vijiji kupitia Chadema hapa Serengeti wameendelea kukihama chama chao na kutimkia CCM.

Nawapongeza sana.Mwisho naawabia viongozi wa Tarime mliochaguliwa kupitia Chadema njooni nyumbani kumenoga. Viva Serengeti.

Nyerere aliwaita Mercenaries. Au malaya.
 
Back
Top Bottom