Shughulisha kichwa utaelewa,vp?,pigo takatifu?[emoji23][emoji23][emoji23]hivi sababu zao huwa nini Zaidi ya hio kuunga juhudi za rais,au wanafata mkumbo?lol
Ngoja niangalie kama naniliu yule wa Bwitengi naye kahama.
Acha masihara mkuu.Nani. Bwitengi ni CCM tupu.
Acha masihara mkuu.
Kuna jamaa yuko Bwitengi hapo mitaa ya Nyambori kama unaelekea Mewala, sidhani kama naye keshahama.
Sisi tunashauri tuwe na Tume Huru ya Uchaguzi tu.
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kimefutika kabisa kwenye Ramani ya Wilaya ya Serengeti baada ya Mbunge na madiwani takribani saba akiwemo Mwenyekiti wao wa Halmashauri kuhamia CCM. Hata hivyo licha ya viongozi hao pia kumeripotiwa maeneo mbalimbali wenyeviti wa vijiji kupitia Chadema hapa Serengeti wameendelea kukihama chama chao na kutimkia CCM. Nawapongeza sana.Mwisho naawabia viongozi wa Tarime mliochaguliwa kupitia Chadema njooni nyumbani kumenoga. Viva Serengeti.
Lissu si mlimpeleka the Hague kimkakati,anaweza anza kufram kesi hapo EU[emoji23]Mkuu haijawahi kupatikana? hivi serikali haiwezi kushtakiwa katika vyombo vya nje kama kuna uthibitisho kuwa tume haikutenda haki?
Lissu si mlimpeleka the Hague kimkakati,anaweza anza kufram kesi hapo EU[emoji23]
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba ! mnanunua viongozi 10 mnaacha wananchi milion 5 , wajinga sana nyie jamaa !Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kimefutika kabisa kwenye Ramani ya Wilaya ya Serengeti baada ya Mbunge na madiwani takribani saba akiwemo Mwenyekiti wao wa Halmashauri kuhamia CCM. Hata hivyo licha ya viongozi hao pia kumeripotiwa maeneo mbalimbali wenyeviti wa vijiji kupitia Chadema hapa Serengeti wameendelea kukihama chama chao na kutimkia CCM. Nawapongeza sana.Mwisho naawabia viongozi wa Tarime mliochaguliwa kupitia Chadema njooni nyumbani kumenoga. Viva Serengeti.
Ruzuku inalipa madeni hewa ya mbowe wakati huko kwenye msingi (mashina) hali ni taabani, na viongozi wanalazimishwa kukichangia chama.hivi sababu zao huwa nini Zaidi ya hio kuunga juhudi za rais,au wanafata mkumbo?lol
Hivi Chadema hamna fedha za kuwahonga viongozi wa CCM? Yaani mmeshindwa kuwahonga hata wenyeviti wa vitongoji wa CCM?
Wanahonga, mfano hai ni wema sepetu.Hivi Chadema hamna fedha za kuwahonga viongozi wa CCM? Yaani mmeshindwa kuwahonga hata wenyeviti wa vitongoji wa CCM?
Na wewe usome the animal farmAma kweli wewe jamaa ni Die Hard.
Nakuomba kwa heshima zote soma kitabu kinaitwa "who moved my cheese?"
We mzee unapotosha vijanaKijana siasa unazopiga zimepitwa na wakati.
Unachotakiwa ni kuweka sera za chama chako. Hayo unayoyaandika hata mtoto mdogo anaweza kuandika.
Siasa ni kueleza itikadi na sera ya chama chako. Lakini hizi siasa za kuchafua watu, mmejaribu lakini mwisho wa siku mmegeuka ninyi kwa ninyi kuramba matapishi tenu.
Niambie ile issue ya kumchafua Lowassa kuanzia 2008 - 2015 iliishia wapi!?
Siasa unazopiga zimepitwa na wakati. You need to update yourself.
Kama ulivyofutika wewe kwenye ukoo wako maana hata wazazi wako na ndugu zako wamekutenga kwa tabia yakoChama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kimefutika kabisa kwenye Ramani ya Wilaya ya Serengeti baada ya Mbunge na madiwani takribani saba akiwemo Mwenyekiti wao wa Halmashauri kuhamia CCM.
Hata hivyo licha ya viongozi hao pia kumeripotiwa maeneo mbalimbali wenyeviti wa vijiji kupitia Chadema hapa Serengeti wameendelea kukihama chama chao na kutimkia CCM.
Nawapongeza sana.Mwisho naawabia viongozi wa Tarime mliochaguliwa kupitia Chadema njooni nyumbani kumenoga. Viva Serengeti.