CHADEMA yafutika Kigoma

CHADEMA yafutika Kigoma

Tatizo wanakuwa na double standard
hawewezi kulijibu hili
#ACTNOW

unamwongelea mkono aliyemhonga zitto Magari mawili ambayo had I sasa anayo anayatumia kwa shughuli za act? acheni unafiki kwani kila MTU anajua jinsi zitto alivyohujumu mgombea was cdm kwenye jimbo LA mkono ili kulipa fadhila za Magari. njaa mbaya sana
 
Chadema imefutika Kigoma siku nyingi sana

Alivyofukuzwa kaborou ilikufa? Nana mnatekenyana na kucheka wenyewe.Wanakigoma si wapuuzi kama nyie bendera fuata upepo.zitto kafukuzwa toka 2013 na sitegemei jipya kutoka kwake.
 
Nyie ma act vipi? Inamaana leo Zitto akiamia TLP kigoma yote inakuwa tlp? Msiwe wavivu wa kufikiri. Alifukuzwa Dr Amani W Kabourou akaenda Ccm lakini Chadema ilibaki imara tu. Arafu naomba watu wa Kigoma mjitafakari kwanini Dr Amani, Kafulila na Sasa Zitto? Mna ukabila sana, unafiki na usaliti uliopitiliza, siasa siyo fani yenu fani yenu mziki na kukata viuno japo hata fani yenu hiyo mshaijaza unafiki. Ref. Ali Kiba V Diamond. To hell!
 
Ukiondoa Kigoma mjini na baadhi ya maeneo machache sana ya mkoa wa Kigoma,ACT inafahamika zaidi kwenye mitandao ya kijamii.Yaani mikoa mingine hata hawajui ACT ni mdudu gani Tanzania.
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,

mmmmmmmmmmmmmmmmmh si kigoma ninayoifahamu mimi
 
Ukiondoa Kigoma mjini na baadhi ya maeneo machache sana ya mkoa wa Kigoma,ACT inafahamika zaidi kwenye mitandao ya kijamii.Yaani mikoa mingine hata hawajui ACT ni mdudu gani Tanzania.
Unaonaeeeh? Watu wengine wanadai ati chadema ni chama cha wachaga na cha watu wa kaskazini. Ati wamemtimua zitto kwa sababu sio mwenzao na tena dini tofauti. SAsa yeye mbona anafanya yaleyale kwa chama cha waha, Tanzania magharibi na cha dini yake??? Jana nimepata whatsaap message inayoelezea jinsi zitto alivyokubuhu usaliti na kula hela ya ccm mpaka anastahili kuitwa bilionnair. Sikuamini macho yangu na hata Zitto akiiona hiyo sijui ataficha wapi uso wake kama ana soni. Kimeanikwa kila kitu. Aliye na ujumbe huo atusaidie kuuleta hapa jamvini.
 
Hivi kigoma ukitoa zitto nani,jimbo gani lengine lilikua lao?je madiwani wa chadema walikua wangapi kati ya wangapi?
 
Wamechoka kuwatumikia wachagga? CCM na Association of Criminals in Tanzania kamwe hawataweza kufifisha harakati za ukombozi wa nchi hii... Tumenyanyaswa sana kwa kuhujumiwa na CCM kwenye Madini yetu, Maliasi zetu. Wizi wa CCM Plus UFISADI uliokithiri hauwaumizi wachagaa pekee bali wale wote ambao watoto wao wanasoma chini ya miti, wale wote wenye kulala wane wane mahospitalini, wale wote wanaokosa ajira, wale wote wenye kukamuliwa kodi huku mafisadi wakigawana kodi zao kwenye mifuko ya Sandarusi, wale wote ambao hawafurahii kuona umasikini unatamaliki katka nchi yenye Utajiri Mwingi wa asili ... Amani Kabourou, ZZK et al wanafaa kunyongwa hadi kufa .... Criminals grrrrrrrrrrr
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,

Acha kujifurahisha, hakuna kima yeyote atakayeizika CHADEMA, ni kijana mpumbavu tu anaweza kujiunga na matahira act ama maccm
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,
Hakuna wa kumuweza Yeledi Fubusa,na Zitto aliliona ilo ndio maana akahamua kuhamia Kigoma mjini,kwanza Yaledi ni Msomi wa PHD ya USA,pia kahamua kurudi na mtaji wake kafungua chuo jimboni kwake,anashirikiana bega kwa bega na wananchi na wanamkubali vilivyo.hizo story zako za ACT waeleze wasiokaa Kigoma,mimi nipo mjini Kigoma na CHADEMA bado nistrong kama ilivyokuwa
 
Mbona Mbowe alituhumiwa kukaa na Mkono na kuchukua hela ili hasipige kampeni Musoma vijijini Mkono apite bila kupingwa, ulishamsikia Mbowe akikanusha tuhuma hizo? Nikinukuu gazeti la Mwananchi Mbowe alisema tatizo siyo kuchukua hela, ila unazitumiaje!
Huyu yeye naye tumwite msaliti kwa kuuza jimbo?

Ukinukuu gazeti unatakiwa uweke wazi ni Gazeti Namba ngapi, na la tarehe ngapi. Kinyume na hivyo ni habari ya kutunga.
 
Hivi ACT vision yenu ni IPI? mission yenu nini?


Nyie Kama chama cha siasa malengo yenu makuu n yapi?


Kushindana na CCM? kushindana na CDM? au kushindana na vyote kwa pamoja??

Kwani hata hao chadema zaidi ya escrow kutwa kucha, wamewahi kutoa vision yao zaidi ya maandamano!
 
Ni aibu Mkoa mzima Kumtii Zitto, Ni aibu Kama watu wa Kigoma Walifuraishwa na Zitto Kuanzisha CHAMA ndani ya Chama. Ni hatari sana Kwa Watu Kufuata Siasa za Kiukanda, Kimkoa.

Na ni aibu kubwa kwa mtu mwenye akili timamu kumtii MBOWE wakati ni tapeli la siasa.
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,

Kwa akili yako ya ngeda, jinsi unavyofikiri unamtetea msaliti Zito, ndivyo unavyozidi kumpaka matope maana watu wanafunguka uchafu wake wote badala ya mazuri.
 
Umeandika maneno mengi kutaka kupotezea, lakini jambo hasa ulilotaka kusema ni kwamba Zitto na Peter Serunkamba wamekubaliana kubadilishana majimbo ya kugombea ubunge! Sasa mtu anayekaa na CCM kukubaliana kuhusu mahali pa kugombea, jina gani hasa linamfaa?

Hakuna jina jingine linalomfaa zaidi ya MSALITI wa harakati za ukombozi wa Tanzania toka mikononi mwa mkoloni mweusi CCM
 
Zito ni mkombozi wa watu wa kigoma, kabla yake tulikuwa na wabunge ambao walishindwa kutuletea maendeleo .Baada ya zito kabwe kuingia bungeni tumeshuhudia maendeleo makubwa. Kiujumla kaubeba mkoa wote wa kigoma. Zito ni raisi wa kigoma. Huo ndio ukweli.

Hata darasa lenye mambulula watupu linamjanja wao, big up Kiguma.
 
Back
Top Bottom