Umeshafika kigoma hivi karibuni? Kwa sasa kg kuna maendeleo hongera Rais kikwete kwa kutukumbukaHatutaki kura za waha kura ambazo ni za majungu ndiomana wapo nyuma kimaendeleo
Vyote kwa pamoja akuanzae mmalize
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,
Wewe uko kigoma ipi? Inawezekana unaishi pamoja na Zito huko Mwandiga nje ya mji. Maana uliyoandika kama ya wafu, mbona wezako wa hapa mjini majina ya Zito & Serukamba yaishakufaga kitambo tu!Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,
ACT NI KAMA CCK/CCJ haitafka mbali kwanza hakina mwaka tangu kianzshe
Chadema ni chama KIZOEFU NA KIZEEFU
Mm na cda damu damu
Hatutaki kura za waha kura ambazo ni za majungu ndiomana wapo nyuma kimaendeleo
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,
Mbona Mbowe alituhumiwa kukaa na Mkono na kuchukua hela ili hasipige kampeni Musoma vijijini Mkono apite bila kupingwa, ulishamsikia Mbowe akikanusha tuhuma hizo? Nikinukuu gazeti la Mwananchi Mbowe alisema tatizo siyo kuchukua hela, ila unazitumiaje!
Huyu yeye naye tumwite msaliti kwa kuuza jimbo?
ACT ni mpango wa ALLAH!!!
Mbona Mbowe alituhumiwa kukaa na Mkono na kuchukua hela ili hasipige kampeni Musoma vijijini Mkono apite bila kupingwa, ulishamsikia Mbowe akikanusha tuhuma hizo? Nikinukuu gazeti la Mwananchi Mbowe alisema tatizo siyo kuchukua hela, ila unazitumiaje!
Huyu yeye naye tumwite msaliti kwa kuuza jimbo?
Hivi ACT vision yenu ni IPI? mission yenu nini?
Nyie Kama chama cha siasa malengo yenu makuu n yapi?
Kushindana na CCM? kushindana na CDM? au kushindana na vyote kwa pamoja??
Imeandikwa amelaniwa mtu yule amtegemeaye mwandamuBaada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,
Hivi huko jimboni kwa Zitto kafanya jambo gani linalomfanya anyenyekewe sana?...naomba kujua jibu kwa waliofika Kigoma na waishio huko
Kinaonekana kama CCM B hivi. Vision yao na malengo ni yale yale ya CCM ukiondoa sifa ya ufisadi.