Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,661
- 6,909
Act haina mpango wa kugombana na chama chochote bana. Nyie cdm ndio mna chuki ya kike kuona chama kingine kipya kwani kwa ujinga wenu mnadhani nyie ndio wenye kura ya turufu ya kuwa wapinzani. Act ni wazalendo kama unatambua maana ya wazalendo na wewe unajiamini ni miongoni mwa wazalendo basi jiunge sasa usipoteze muda
Nikiingiaga huku jf ndio nakutana na hichi kisakosi lakini mtaani ukimuuliza act ni nini? huenda akakujibu ni sumu ya mende.