CHADEMA yafutika Kigoma

CHADEMA yafutika Kigoma

Hatutaki kura za waha kura ambazo ni za majungu ndiomana wapo nyuma kimaendeleo
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema

wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,

Hongera zao wana Kigoma kwa kulitambua hilo!!!
 
Mnahakika kuwa hilo lkn metokea kweli au mnapaparika tu,acheni kufikiri na kutenda kwa kiwango cha watotot wa chekechea il khali mna miaka ya vibabu
 
Hivi ACT vision yenu ni IPI? mission yenu nini?


Nyie Kama chama cha siasa malengo yenu makuu n yapi?


Kushindana na CCM? kushindana na CDM? au kushindana na vyote kwa pamoja??

Kinaonekana kama CCM B hivi. Vision yao na malengo ni yale yale ya CCM ukiondoa sifa ya ufisadi.
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,


Kwahiyo ACT ni chama cha Kigoma pekee na marafiki wa ZITTO ??

Nyerere yuko wapi???
 
Mbona Mbowe alituhumiwa kukaa na Mkono na kuchukua hela ili hasipige kampeni Musoma vijijini Mkono apite bila kupingwa, ulishamsikia Mbowe akikanusha tuhuma hizo? Nikinukuu gazeti la Mwananchi Mbowe alisema tatizo siyo kuchukua hela, ila unazitumiaje!
Huyu yeye naye tumwite msaliti kwa kuuza jimbo?

Hivi ni nani aliyegombea kule kwa Nimrodi Mkono kwa ticket ya Chadema kweli?
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,

Siyo kweli, sisi ni wana kigoma bado CHADEMA tunaikubali, pigs UA .
 
Hivi ACT vision yenu ni IPI? mission yenu nini?


Nyie Kama chama cha siasa malengo yenu makuu n yapi?


Kushindana na CCM? kushindana na CDM? au kushindana na vyote kwa pamoja??

Mission si kushindana na Ccm au Cdm balI Kuongoza nchi ktk misingi ya haki na sheria bila kujali dini ,kabila au tabaka fulan ktk jamii uzalendo ndio nguzo yetu kubwa
 
Chadema haiwezi futika kigoma, hata mimi nipo kigoma mbona tupo wengi hatujakimbia kumfuata huyo msaliti. kimsingi huyu zzk kashafutika kwenye jukwaa la siasa na amejimaliza kabisa. Chadema daima ipo na itaendelea kuwepo na wasaliti wote wa chama lazima waondolewe. Kasulu watu kama kina Mwalimu Kaijage tuliwatoa kwa sababu ya usaliti na uroho wa madaraka
 
Sasaa chadema kama imekufa huko na nccr je? Mnalo hamchomok nyie
 
Mission si kushindana na Ccm au Cdm
Teh teh teh kwahiyo nyie ni asasi ya kiraia? Maana dhumuni la chama chochote cha siasa n kushindania ushindi Wa dola sasa ukisema lengo lenu si kushindana na CCM Unachekesha!!!! Ndo maana tunasema Zitto kafulia
balI Kuongoza nchi ktk misingi ya haki na sheria bila kujali dini ,kabila au tabaka fulan ktk jamii uzalendo ndio nguzo yetu kubwa

Sasa utaongozaje nchi bila kushindana na kushinda ktk chaguzi?

Ha ha ha ha ACT hamna dira Kama ilivyo kwa chama cha kina Dovutwa....
 
Huu ndio ukabila. Na nachelea kusema kuwa kama uliyoandika hapa ni kweli, watu wa Kigoma wanaongoza kwa ukabila na ubaguzi hapa nchini. Yaani wao wanamsapoti mwanasiasa au kiongozi kisa katoka Kigoma. Kama huu si ukabila ni nini? Uthubutu wa kutuhumu wenzao kwa ubaguzi wa kikabila wanautoa wapi? Watawezaje kumtuhumu mtu kwa ukabila kama sababu ya wao kuhama chama ni kufukuzwa kwa mtu wa kabila lao? Can someone please explain this to me? Maana mtu unatoa tuhuma kwa jambo ambalo wewe ni kinara. Kama huu si uzuzu ni nini?
 
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,

Umesahau kuwa Kigoma kuna NCCR - MAGEUZI,we kalia CHADEMA tu.UKAWA oyeeeeeeeeeee!
 
Hivi ACT vision yenu ni IPI? mission yenu nini?


Nyie Kama chama cha siasa malengo yenu makuu n yapi?


Kushindana na CCM? kushindana na CDM? au kushindana na vyote kwa pamoja??

Vyote kwa pamoja akuanzae mmalize
 
Jina sahihi ni wao wao b, nilikua kgm town mwaka jana act walianza mapema kumnadi mpendwa wao mwenye uchu na madaraka eti atagombea jimbo hilo la kgm mjini, kule kaskazini alikosa mvuto.

Angekosa mvuto angekuwa mbunge?
 
Msaliti ni msaliti tu hakuna mpinzan anaeongea na kupanga mambo ya kubadilishana jimbo na chama tawala kwa manufaa yao ukamuita mpinzan

Wewe ni hayati shekhe yahaya mpya?
 
Back
Top Bottom