Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kumwandalia sherehe kubwa ya kumpokea mwanachama wake mpya, James Ole Millya aliyekihama chama cha mapinduzi CCM na kujiunga na chadema akidai ccm ni gari lenye pancha kibaooooooooooooo.
Millya mbaye alikuwa mwenyekiti cha UVCCM mkoa wa Arusha,anatarajia kukabidhiwa kadi kifalme sanjari na sherehe kubwa ya kihistoria ambapo wananchi wamejitolea kuchangia sherehe hiyo kijijini kwake wilayani Simanjiro,ikiwemo kujitolea ngómbe wa nyama.
Akizungumza leo kwa njia ya simu , Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa, alisema kuwa kwa sasa chama hicho , wanafanya mawasiliano na Viongozi wa Chama hicho kutoka Mkoa wa Manyara na Wilayani Simanjiro, juu ya kuweka mazingira ya kumkabidhi kadi ya uwanachama wa chadema ndani ya wiki hii.
Millya mbaye alikuwa mwenyekiti cha UVCCM mkoa wa Arusha,anatarajia kukabidhiwa kadi kifalme sanjari na sherehe kubwa ya kihistoria ambapo wananchi wamejitolea kuchangia sherehe hiyo kijijini kwake wilayani Simanjiro,ikiwemo kujitolea ngómbe wa nyama.
Akizungumza leo kwa njia ya simu , Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa, alisema kuwa kwa sasa chama hicho , wanafanya mawasiliano na Viongozi wa Chama hicho kutoka Mkoa wa Manyara na Wilayani Simanjiro, juu ya kuweka mazingira ya kumkabidhi kadi ya uwanachama wa chadema ndani ya wiki hii.