Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Sijaona ubaya Mh Lema Millya ili ajumuike nae sababukubwa kwangu kwamba bwana kwanza ndie atakae washawishi wana ccm wengi wenye Mawazo mgando
2.Lingine pindi Mh wakiwa pamoja especially maeneo ya Umasaini ushawishi wa Millya utakua umesaidia Chama kupata wanachama wengi,ni baadhi sababu kwann Mh Lema amsuburie bwana Millya kwanza?
2.Lingine pindi Mh wakiwa pamoja especially maeneo ya Umasaini ushawishi wa Millya utakua umesaidia Chama kupata wanachama wengi,ni baadhi sababu kwann Mh Lema amsuburie bwana Millya kwanza?