Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Labda mniambie ana polonium, kinyume chake NO! hana uwezo hata wa kichawi kuisambaratisha cdm, kumbuka walishindwa madiwani watano (5) hakuna asiyejua maumivu ya pua, halafu ajipeleke akaiangukie subuuutu, naamini, narudia tena, naamini kwa cdm usemi time time before time times you si mpya, dhahabu itajaribiwa kwenye tanuru la moto mkali.
mKUU HEBU JISETIRI BASI UELEWA WAKO.... sijaona sehemu nimesema kukisambaratisha chadema, nimesema jamaa ni hatari kama jellyfish na sababu kubwa ni tamaa, uwezo na upeo
Pia nimezungumzia Mbowe na wenzake kuharibu EALA position (tamaa na fadhila)
Sikumbuki pia kuzungumzia madiwa, maana ningeenda huko labda ningemzungumzia Rev. Mzito K, Shibuda, wewe, Komu, nk
sasa unazungumzia nini wewe..... UMEFUKA SANA HAPO MKUU
SIO KILA HATARI HUSAMBARATISHA, VINGINE HUHARIBU TU CIRCADIAN CYCLE!!!