CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kumwandalia sherehe kubwa ya kumpokea mwanachama wake mpya, James Ole Millya aliyekihama chama cha mapinduzi CCM na kujiunga na chadema akidai ccm ni gari lenye pancha kibaooooooooooooo.
Millya mbaye alikuwa mwenyekiti cha UVCCM mkoa wa Arusha,anatarajia kukabidhiwa kadi kifalme sanjari na sherehe kubwa ya kihistoria ambapo wananchi wamejitolea kuchangia sherehe hiyo kijijini kwake wilayani Simanjiro,ikiwemo kujitolea ngómbe wa nyama.
Akizungumza leo kwa njia ya simu , Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa, alisema kuwa kwa sasa chama hicho , wanafanya mawasiliano na Viongozi wa Chama hicho kutoka Mkoa wa Manyara na Wilayani Simanjiro, juu ya kuweka mazingira ya kumkabidhi kadi ya uwanachama wa chadema ndani ya wiki hii.
Lema anatakiwa afuate ratiba. Millya yupo tu
Cjasema kwamba watu hawako makini jombaa,Think 1000 n do once.CDM ni chama makini na hilo liko uchi wala huitaji kulivua nguo ndio utambue kwamba CDM ni machine ya watu makini, ila nachosema na nasema tena CDM kwa hili Umakini uzidi kuliko saizi ya kawaida kwani hata Shibuda alikuja kwa mbwembwe kuliko milya leo hii yuko wapi???? huo ni mtazamo wangu tu makamanda msijenge chuki tupo kwenye meli 1. Pipooooooooooooooooooooooooooo ooz.
Huu ni upuuzi... there is no better way to explain it"Nampongeza Millya kwa kujiunga Chadema kwani CCM hawana jipya¡*kazi zao ni kutii amri, lakini utekelezaji haupo, hivyo nimekatisha ziara yangu kwa ajili ya kumpokea Millya rasmi Chadema wakati wowote"
Kwaupande wake, Katibu wa Chademawa Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa alisema baada ya Millya kujiunga Chadema, amepokea taarifa kutoka kwa viongozi wawili ngazi ya Mkoa wa CCM, Wilaya ya Monduli mmoja, Arumeru Mashariki mmoja na wenyevitiwa vijiji saba vya Arumeru Magharibi, kutaka kujiunga na chama hicho, lakini aliwataka wasubiri kwanza wawafanyie tathmini kwani hawako tayari kupokea hadi ¡®mayai viza¡¯.
Source;Habari leo
Kamanda mbwa mzee hapokei mafunzoTime will tell kamanda don panic
Huu ni upuuzi... there is no better way to explain it
Kwahiyo akija mwingine utaahirisha na wakiwa wanakuja kila wiki ratiba yake itakuwa ni kupokea wageni
WHAT A MEDIOCRE STRATEGY!!
Lema anatakiwa afuate ratiba. Millya yupo tu
Huu ni upuuzi... there is no better way to explain it
Kwahiyo akija mwingine utaahirisha na wakiwa wanakuja kila wiki ratiba yake itakuwa ni kupokea wageni
WHAT A MEDIOCRE STRATEGY!!
CDM inapaswa kuwa makini sana na UJIO wa Millya. Mtakuja kukubaliana nami wakati CDM imekwishasambaratishwa na MIllya kwani Millya ni MAMLUKI anakwenda CDM kukiua/kukivuruga ili siku moja ndoto ya sisiem kuichukua tena 'A-town' ifikie. HII NI STRATEGY KALI SANA YA SISIEM; huu ni mchezo kama na kina Guninita; akishamaliza kazi atarudi sisiem na kupewa cheo tena ktk chama.
Ningekuwa mie ni sehemu ya uongozi wa CDM ningetafakari mara nyingi niwezavyo na kufanya upelelezi kuhusu 'Motive<hidden agenda>' ya Millya kabla ya kumpa kadi ya CDM.
Nimesoma naye '1st Degree' pale 'Tumaini University -Iringa University College' na alipata kuwa Raisi wa TUSO(TU-Students Organ'). 'He is quite opportunistic and strategic' katika kutafuta madaraka.
Urafiki wa hali ya juu kati yake na EL na Mkulu ni wa kutilia mashaka saaaaaaaaaaaaaaaaaana!!!!!!!!!!!
TUMIENI UMAKINI ZAIDI KULIKO USHABIKI KAMA MTAAMUA KUMPOKEA MTU HUYU
NIMETIMIZA WAJIBU WANGU KUWATAHADHARISHA KATIKA HILI KAMA SEHEMU YA MCHANGO WANGU KUKISAIDIA CHAMA HIKI KISIFE PALE 'A-town'.
CDM inapaswa kuwa makini sana na UJIO wa Millya. Mtakuja kukubaliana nami wakati CDM imekwishasambaratishwa na MIllya kwani Millya ni MAMLUKI anakwenda CDM kukiua/kukivuruga ili siku moja ndoto ya sisiem kuichukua tena 'A-town' ifikie. HII NI STRATEGY KALI SANA YA SISIEM; huu ni mchezo kama na kina Guninita; akishamaliza kazi atarudi sisiem na kupewa cheo tena ktk chama.
Ningekuwa mie ni sehemu ya uongozi wa CDM ningetafakari mara nyingi niwezavyo na kufanya upelelezi kuhusu 'Motive<hidden agenda>' ya Millya kabla ya kumpa kadi ya CDM.
Nimesoma naye '1st Degree' pale 'Tumaini University -Iringa University College' na alipata kuwa Raisi wa TUSO(TU-Students Organ'). 'He is quite opportunistic and strategic' katika kutafuta madaraka.
Urafiki wa hali ya juu kati yake na EL na Mkulu ni wa kutilia mashaka saaaaaaaaaaaaaaaaaana!!!!!!!!!!!
TUMIENI UMAKINI ZAIDI KULIKO USHABIKI KAMA MTAAMUA KUMPOKEA MTU HUYU
NIMETIMIZA WAJIBU WANGU KUWATAHADHARISHA KATIKA HILI KAMA SEHEMU YA MCHANGO WANGU KUKISAIDIA CHAMA HIKI KISIFE PALE 'A-town'.
kwa wale wanaCCM vijana waliohudhuria kongamano zanzibar watakubaliana nami kwamba Millya is intelligent, opportunist and sometimes more dangerous than a jellyfish
CHADEMA MSISEME HAMKUA WARNED
MAANA MMEHARIBU KWENYE EALA (TENA HII INKWENDA DIRECT KWA MBOWE) WATU TUMEKAA KIMYA.... CHAMA NI WATU NA SIO MWENYEKITI PEKEE
NIKIPATA NAULI NTAKUJA KUKWAMBIA USONI