Ok nasema hiv mtu ambae hataki ichi yetu iwe na amani tutamjua tu, nakwasababu yeye anapopakukimbilia baada ya machafuko kulipuka huyo hatufai, kama hafahamu kuwa watanzania bado wanapambana na maisha na hataki kuelewa huyo hatufai kabisa , baba zetu wasio na uwezo, mama zetu, bibi zetu, dada zetu, kaka zetu, wadogo zetu nk, ya kuwa machafuko yakiaanza ndio waathilika wa kwanza huyo hatufai, na kama ameshindwa kupambana katika uwanja wa siasa kwa kisataarabu baada ya kufiriska hoja na sera huyo hatufai, na sisi watanzania kwa kuwa tuna akili tukimjua huyo hatuafai, tutamjua kwa maneno, vitendo huyo hatufai, shida ni kwamba wengi wanadanganywa na hivyo mkombozi pekee ni kuwaelimisha watanzania kuhusu watu wa namna hii, kama kuna mtu anadhani atatumia mtaji wa watu kwa namna yeyote ile basi anajidanganya, na mtu kama huyu hatufai hata kidogo, aende zake huko akalime shambani kwake kuliko kutuletea machafuko, mifarakano na kutukosesha amani na utulivu nchini mwetu huyo hatufai na niwa kumuugopa kama ukoma, Tanzania oye!