CHADEMA yaaibika Kigoma

CHADEMA yaaibika Kigoma

Kwahiyo hayo ndio malori na mafusoe.yaan umeona leo ndio utoke kihivyo pole asee Ila mwaka huu wa buku saba hamtolipwa mmefel mno Dah!
 
Ni kweli bana wanasomba watu kwenye lori Hahahaha hiyo picha umewaacha uchi.

Teh teh teh
attachment.php


Ritz, mbona hakuna kielelezo chochote kuwa hilo loli lina uhusiano na mkutano wowote wa CHADEMA!
 
Sijui utajipangaje ili ueleweke???? Nakuhurumia sana nyundo unazokutana nazo humu mpaka aibu!!!!""

Nyundo gani unazo zungumzia? Bila ya kujijua mnampaisha jamaa shauri ya kutojitambua kwenu. Jamaa katoa fact moja tu lakini nyie mmejibu zaidi ya 50 lakini bado mmeangukia pua,je aibu yenu aibu yao?
 
Mkutano wa chadema uliofanyika Kigoma baada ya kuona wananchi hawataki kusikiliza habari zao za kikanda na kidikteta.

Wakaja na mbinu mpya ya kuwasafirisha watu kwenye magari ili waende kwenye mkutano .

LA KUVUNDA HALINA UBANI
attachment.php


Acha wivu
 
kilichofanyika hapo juu ni mtoa mada kudanganya umma. mbona hajaweka hayo malori? hao watu waliokuwa wanasomba mbonq hatujaambiwa walitoka wapi? japikuwa hata siipendi ccm kwa kapicha hako juu hata ingekuwa wao kusema wanasomba watu ni kuwaonea.

Wewe unamaana hujaona lori? acha unafiki
 
Mbona ndani ya chadema kuna fisadi mkubwa mnamuogopa? Mafuso mabovu mmeuziwa kwa mamilioni, mnapanga ofisini kwake hadi leo kwa gharama kubwa, hamsemi, watu wanajikopesha ruzuku bila kulipa hamsemi! Wameagiza pikipiki toka japana bila utaratibu na kujipa kazi za uzabuni wakapiga mamilioni hamsemi! Ibada njema inaanzia nyumbani, Inakuwaje hapo kwenu hampaoni mko bize na wengine??

mkuu maneno mengi lakini hayajibu swali
nimeuliza hivi mafisadi na wahuni. nani bora?
 
tatizo watanzania wamezoea propaganda. mtoa mada ameshindwa kuthibitisha bila shaka kama hilo lori lina connection na cdm. tujifunze kusema kweli hata kama kweli hiyo inamuhusu adui wako kisiasa.
 
sijaliona mkuu. nimeonalori ambalo halina uhusiano wowote na cdm. ebu tuwekee hilo lori hapa..

Ukweli utabaki ukweli hata ukiupinga kwa nguvu zote hiyo picha imepigwa na mmojawapo wa wafuasi waliokuwa kwenye msafara. Na ndio waliokodisha Lori na kuwasomba
 
Ukweli utabaki ukweli hata ukiupinga kwa nguvu zote hiyo picha imepigwa na mmojawapo wa wafuasi waliokuwa kwenye msafara

Na ndio waliokodisha Lori na kuwasomba

mkuu tuthibitishie kwba hili lori lina uhusiano na cdm. unatuhakikishia vipi kwamba hiyo picha ilipigwa na mmojawapo walokuwa kwenye msafara huo? je hakuna uwezekano wa asiyekuwa mwanacdm kupiga picha hiyo? ukizingatia hiyo ni barabara?
 
Back
Top Bottom