CHADEMA yaaibika Kigoma

CHADEMA yaaibika Kigoma

hua nawasikitikia cdm mkoa wa kigoma wanashindwa hata kufanya mikutano kwa hofu ya kuzomea wamekua wakisafirisha watu kwa magari kama ccm poleni
sera yao kwa sasa imekua ni udini na zito hana baba
 
Ni Kigoma hii hii ya ujiji, Mwanga, Kibirizi, Katonga, Majengo, Vamia, Rubuga, Kasingirima, Buzebazeba, Burega, Rutale n.k. Ndo tunasema hatuitaki chadema nsuka
 
Chadema kigoma haipo kabisaa,wanakigoma tunasema hatutaki chama cha kidini na kikabila ni hatari kwa mustakabari wa amani yetu
 
Masikin act baada ya kushindwa fitna sasa mmeanza uzushi😄😄😄😄
 
Halmashauri ya wilaya Kigoma ujiji iko chini ya Nani.
 
mimi ni mzawa kabisa wa kanda ya ziwa chadema haiwezi kufa kanda ya ziwa hata siku 1 sisi huku wote ni wakristo wakulya, wasukuma na wahaya adui yetu wa kwanza ni mkwere na muha mwislam lakini si mkristo hilo halina mjadala
 
Mimi siamini kuwa Waha ni wajinga hata kidogo.
Warundi, ndiyo.
Lakini Waha na ukabila, inashangaza sana.
Hivi kweli karne hii ya 21, mnataka kuleta siasa za Kihutu na Kitusi huku Tanzania?
Ukabila ndugu yangu, kama alivyowahi kusema Baba wa Taifa, Mwalimu J K Nyerere,
ni PRIMITIVE NONSENSE.
Maneno yanaumba.
Hakuna Chama kitakachofanikiwa kikiwa cha kikanda, hata kama ni cha Kanda ya Ziwa.
Kila siku mnazungumzia ukanda, ukanda, this is shame!

kama chadema hakuna ukabila hebu nipangie list ya top 10 ya viongozi wa juu wa chagadema halafu uone ni namna gani wana uhusiano wa kikanda,kabila, ukoo na hata kuoleana. Panga sasa hivi ukianza na
1.Mwenyekiti
2.katibu mkuu
3.Muweka hazina
4.bavicha
5.bawacha

na kuendelea, hebu weka mlolongo huo tuone kama ukabila upo au la.
 
Bahati nzuri nipo kigoma kusaidia wenzetu kutoka burundi lakini nimeshuhudia misingi mitatu ya Act imebomolewa na kuwekwa cdm mchana kweupe watu wakishamgilia.Wewe unazungumza kg usiyoijua unaendeshwa na Ushabik tu.
 
MANGI MUMEO YULE WA ROMBO ALIYEKUPACHIKA:mimba:

Ha ha ha ha kwa kweli kama nyinyi ndio mnataka kushika dola, basi hapo patakuwa kama kwa muuza gongo na bangi aisee! mnajua matusi makamanda!
 
Hizi attacks kwa maisha binafsi ya mtu, zianaongeza value gani kwa chama chako au mgombea unayemtaka? Mtu kuwa Padri, au Mkristo na baadaye akaamua kubadili dini na mfumo wa maisha, anavunja sheria gani?

Usidhani kwamba kuna mtu mwenye ufahamu atakuona wa maana. Tafuteni hoja za nguvu na za kweli siyo chuki. Chuki ni dalili ya kushindwa na kukosa hoja!.

UKAWA wanakwenda hivyo, nyie kaeni na matusi yenu ya kipum.bavu.


Ngoja nimuite faiza Fox aje atuwekee pich ya padri wa chagadema nadhani utamtambua vizuri tu mkuu.
 
Mods wa JF na Chadema lao moja yani wanafuta comment zenye hoja wanaacha comment za matusi za wanaChadema... Kweli hii aibu!
 
kama chadema hakuna ukabila hebu nipangie list ya top 10 ya viongozi wa juu wa chagadema halafu uone ni namna gani wana uhusiano wa kikanda,kabila, ukoo na hata kuoleana. Panga sasa hivi ukianza na
1.Mwenyekiti
2.katibu mkuu
3.Muweka hazina
4.bavicha
5.bawacha

na kuendelea, hebu weka mlolongo huo tuone kama ukabila upo au la.

Maskini hujitambui!

Mwenyekiti kabira mchaga
Katibu mkuu kabira muilaki
Mwenyekiti bawacha mpale
Mwenyekiti bavicha Msukuma
Mwenyekit wazee Msukuma
makamo Mwenyekit bara mnyamwezi
naibu Katibu mkuu bara kabira mdigo
naibu Katibu mkuu visiwani muunguja.
mtunza fedha mumburu
 
Ndiyo hapo ninapo sema unachuki binafsi na watu toka Kilimanjaro,in actual watu wa Kaskazini as if waliwahi kuwaibia.Na wale wanaowaibia mchana kweupe kwa kusingizia Uwekezaji mnawapetpet ili waendele kula na Watanzania tubaki maskini daima.

Kila kitu kinamwisho hakuna mtu aliyesema CDM au CUF au NCCR ni wasafi kwa asilimia 100.Kwa uhakika wanamatatizo yao,ila tunachohitaji ni mabadiliko yatakayotutao kwenye UTUMWA uliokaa kwa takriban miaka Hamsini na ushee.Tukiibiwa wanakuja na nyimbo za AMANI ya NCHI oh mwakani tunategemea.........Leo Waizara ya Ujenzi inamadeni makubwa kuliko bajeti ya Mwaka huu ya Maendeleo,jiulize ni Mpaka lini tuendele kudanganywa?

Mmeshaweka SUMU kwenye vyama vya upinzani mara vita ,mara udini na sasa hivi mmekuja na chorus ya ukabila..Nina uhakika mtashindwa kwa aibu,huyo binadamu toka mkoa wa KILIMANJARO ni MTANZANIA kama wewe na ana haki sawa kama wewe za kuishi popote Tanzania ilimradi tu asivunje sheria.

Huyu Mtanzania toka Mkoa wa KIlimanjaro ana haki ya kuajiriwa kama wewe na familia yako toka Bagamoyo,ana haki ya kuwa kiongozi mahali popote Tanzania...

Cha msingi UBAGUZI sasa imetosha tumewajua kuwa lengo lenu kubwa nikuendelea kuiba,na mbaya zaidi mnazineemesha nchi za wenzenu ya kwenu ikiwa imeparalise kiuchumi.

Na hata bila haya mmeamua mpaka kuwatajirisha wa Kenya kwa Migodi yetu..................Sina tusi kubwa zaidi ya kukudharau..........

Sawa, hata mtu wa Kilimanjaro ni mtanzania, je wale mnawaita wasaliti na kuwatimua,mbona sio wa kanda ya Kaskazini? huoni ubaguzi mnauendeleza nyinyi!? Halafu usivyokuwa na aibu unadanganya mchana kweupe kuwa chagadema mnataka kututoa utumwani kwa zaidi ya miaka 50!!! huoni hapo ni kulisea heshima taifa zima na waasisi wa Tanzania waliohangaika mpaka UNO kudai uhuru!! hizo propaganda ndio nazichukia. Ww ungekuwa mtumwa ungekua unaandika hayo mafyongo yako huku umetulia na laptop yako na nje umepaki kagari kako bila bughudha!! acha upotoshaji na mwaka huu ndio jahazi lenu linapasuka na lazima mgawane mbao mbakie kuwa historia kama ilivyokua NCCR mwaka 1995.
 
mimi ni mzawa kabisa wa kanda ya ziwa chadema haiwezi kufa kanda ya ziwa hata siku 1 sisi huku wote ni wakristo wakulya, wasukuma na wahaya adui yetu wa kwanza ni mkwere na muha mwislam lakini si mkristo hilo halina mjadala

product ya padre slaa iyo!!!!
 
muda umefika wa kuwashitaki watu wanaotukana wenzao bila kutoa hoja, hv nadhani kama watanzania wangekuwa wote wanaingia katika mtandao na kujifunza watu wanavyotukana hovyo basi kulikuwa hamna haja ya kuanza kupinga mswada uliowasilishwa bungeni kwa ajili ya kukomesha tabia hizi zinazoonekana wazi wazi katika mtandao na habari, lakini kuna kitu cha kujifunza watu hawawezi kuishi bila sheria na sheria zinapokuwa legevu inakuwa tabu, nashauri raisi ausaini mswada wa sheria husika pamoja na miongozo yake mapema kabisa kabla ya kustaafu maana haiwezekani watu wakasema kila kitu kwa kila khari na kila namna.

The time has come that every Tanzanian has to respect the dignity of his neighbor, the world at the particular moment is almost confused and we Tanzanian can not agree go in the same confused manor, for every developed developed nation worldwide you cant just deliver any information's any how and in anyway, those nations that we call developed, when you talk of information's should be very classified, China, America, Russia, Japan, Britain and so on, so how should we Tanzanians speak every thing anyhow that is unacceptable, and that should be very bad in broad sense to think in deep.
Ok Tanzanians always think twice before speaking and acting, can you can buy that anyway
ok there is
 
Naona umeamua kumbwerambwera baada ya kupata hicho ki tecno chako,KAYOGA bado inakuchemkia kichwani na ela ya kupata supu ya migebuka huna

Mimi sitoki chadema tena nimechoka kuyumbishwa kama taahira kila kukicha tunageuzwa tu,mwakeye abhagabo,molaho molakomeye chande?mwandiga nawakirisha act yenu hapa ni shida waulize wenzenu hali yao vitongoji tuliwaonyesha moto subiria uchaguz mkuu.
 
unaumwa kaswende ya ubongo kamwone Dr mapema usijeambukiza family.mtu mzima kama hujitambui leo unategemea ujitambue lini?ama bado unanepishwa?

Mtatukana sana tu, si ndio sera na maelekezo ya uongozi wenu wa kidemokrasia
 
Sawa, hata mtu wa Kilimanjaro ni mtanzania, je wale mnawaita wasaliti na kuwatimua,mbona sio wa kanda ya Kaskazini? huoni ubaguzi mnauendeleza nyinyi!? Halafu usivyokuwa na aibu unadanganya mchana kweupe kuwa chagadema mnataka kututoa utumwani kwa zaidi ya miaka 50!!! huoni hapo ni kulisea heshima taifa zima na waasisi wa Tanzania waliohangaika mpaka UNO kudai uhuru!! hizo propaganda ndio nazichukia. Ww ungekuwa mtumwa ungekua unaandika hayo mafyongo yako huku umetulia na laptop yako na nje umepaki kagari kako bila bughudha!! acha upotoshaji na mwaka huu ndio jahazi lenu linapasuka na lazima mgawane mbao mbakie kuwa historia kama ilivyokua NCCR mwaka 1995.

Usipende kuwa MPU-MBAVU sababu ya kutofikiri nje ya box.Kwani walikoenda huko UNO hao watu wa KIlimanjaro si ndiyo wengi wao walimchangia hiyo nauli?

We ndiyo unamfyongo kichwani,,,,Sababu unachofikiri wewe unataka wote tufikiri........Sina sababu ya kushikiwa kichwa changu. Ninachofikiri ndicho ninachokisema...........

Hayao mambo ya USALITI nenda kwa hao waliogombana uulize kilitokea nini.Usiwe unapenda kutukana watu kwa sababu tu hatuendani na mawazo yako.Acha ubaguzi wote tupo sawa haijalishi dini wala kabila..

Kama kupasuka subiri hiyo ATM itakapokwisha mshiko ndipo utakuwa na akili.Sasa hivi endelea kubeba viatu vya waliokuweka mjini.............

Kama unafikiri tutabaki histaoria basi anza kujichimbia kaburi kabisa maana tutakuzika mapema mno............Pole sana ,ila acha............UPU...........MBA..................VU
 
Back
Top Bottom