CHADEMA yaaibika Kigoma

CHADEMA yaaibika Kigoma

Sioni haja ya kuthibitisha vitu vilivo wazi jaribu tu kurise fallacy lakini hata mtu ambae hajaenda shule hawezi kuja na vihoja vyako hivi

Unataka niweke picha au namba ya aliyenipa picha watukanajii muanze upuuzi wenu........

Na tunatoka Kigoma kuwaambia WATZ ukweli hatuwezi kuongozwa na chama kisicho na demokrasia

Kwanini uongozi wa chadema Mwanza umesimamishwa si kwasababu ya uswahiba wa wenje na mbowe wanakifanya ni Mali yao

Hatukitaki huku Kigoma chama cha kikanda

Nilikua kwenye huo Mkutano kama Mtu wa Habari hakukua na lori lolote lililoleta watu
 
Duh, mtaiombea mabaya chadema, lakini yatawarudia wenyewe. Chadema ina watu makini kamwe haiwezi kukubali aibu
 
Kama watu hawakuwepo si Ndoo fulaha ya wapinzani wa cdm.chama hakiwezi kukubalika na watu wote. Hata mitume walipata upinzani
 
Kiashiria kwiiikwiiikwiii tazama vizuri waligoma hata kunyoosha vidole viwili

Kwa hiyo ulitaka wakunyooshee vidole viwili? mbona mnaweweseka sana nyie vibaraka was mafisadi? hivi zile mil 700 zimeshatoka?
 
Nani anawachukia sasa? Tatizo hutaki kunielewa! Nasema, ile saccos yenu mnatulazimisha etu tuamini kuwa ipo kwa ajili ya ukombozi, sijui ukombozi gani tena! Mnashindwa kusema wazi kuwa chadema ni mradi wa kuwanufaisha nyinyi, mnang'ang'ania kutuaminisha kuwa ni ukombozi wetu wakati sisi kila mtu yuko huru anatafuta riziki yake kadri awezavyo. Leo Dar imejaa kila kabila na wako huru kutafuta maisha, wapo wamachinga, wafanyabiashara, wakulima,wafanyakazi, leo mnakuja na swaga eti kutukomboa! Kutoka wapi kutupeleka wapi? Hapo ndipo ninapowalaani wachaga kwa utapeli wenu wa kutaka kugawana nchi kwa uongo wa ukombozi fake! Siwachukii, bali hii saccos yenu irudisheni kwa Mtei mwenyewe, mwambieni dili limebuma, watanzania wameanza kushtuka.

Ndiyo hapo ninapo sema unachuki binafsi na watu toka Kilimanjaro,in actual watu wa Kaskazini as if waliwahi kuwaibia.Na wale wanaowaibia mchana kweupe kwa kusingizia Uwekezaji mnawapetpet ili waendele kula na Watanzania tubaki maskini daima.

Kila kitu kinamwisho hakuna mtu aliyesema CDM au CUF au NCCR ni wasafi kwa asilimia 100.Kwa uhakika wanamatatizo yao,ila tunachohitaji ni mabadiliko yatakayotutao kwenye UTUMWA uliokaa kwa takriban miaka Hamsini na ushee.Tukiibiwa wanakuja na nyimbo za AMANI ya NCHI oh mwakani tunategemea.........Leo Waizara ya Ujenzi inamadeni makubwa kuliko bajeti ya Mwaka huu ya Maendeleo,jiulize ni Mpaka lini tuendele kudanganywa?

Mmeshaweka SUMU kwenye vyama vya upinzani mara vita ,mara udini na sasa hivi mmekuja na chorus ya ukabila..Nina uhakika mtashindwa kwa aibu,huyo binadamu toka mkoa wa KILIMANJARO ni MTANZANIA kama wewe na ana haki sawa kama wewe za kuishi popote Tanzania ilimradi tu asivunje sheria.

Huyu Mtanzania toka Mkoa wa KIlimanjaro ana haki ya kuajiriwa kama wewe na familia yako toka Bagamoyo,ana haki ya kuwa kiongozi mahali popote Tanzania...

Cha msingi UBAGUZI sasa imetosha tumewajua kuwa lengo lenu kubwa nikuendelea kuiba,na mbaya zaidi mnazineemesha nchi za wenzenu ya kwenu ikiwa imeparalise kiuchumi.

Na hata bila haya mmeamua mpaka kuwatajirisha wa Kenya kwa Migodi yetu..................Sina tusi kubwa zaidi ya kukudharau..........
 
Ukweli utabakia pale pale....
Kukodisha magari kwanini sasa

mkuu hii habari yako haijitoshelezi,tunahitaji habari lakini si kwa kiwango hichi!yani umepiga picha gari 2 za msafara wa chadema halafu unaleta post?pia hata kama ni kweli cdm haikubaliki kigoma bado tunapata maswali makubwa zaidi kwanini iwe sasa?
 
ACT na ccm lao moja tu.

Unachosema ni kweli,badala ya kupigania mageuzi wako busy kwenye CCM ATAM,sijui tumelogwa na nani...Hivi hata Zitto ameshindwa kuona kwamba Watanzania tumewachoka hao CCM?Kama anajua kwanini asiwaelimishe hao wanachama wake tuka kwenye vita ya Maendeleo na si vita ya mtu......
 
Habari haijakamilika,mf ccm huwa tunawaonesha picha toka wanavyopakiwa mpaka kushushwa mkutanoni na kisha kufuatwa wengine!weka picha zaidi ili tujue zaidi,ni vigumu kujudge kwa angle ya picha hiyo!
Tuoneshe na mkutano pia,je kulikuwa na vivutio zaidi kama wasanii au fisi?
Njoo na full contents!
 
Huu musafara me nilikuwemo niseme kilicho fanyika nikuwa kuna wananchi walio kuwa njiani wakapitiwa wakiomba kushiriki.
 
Nilikuwa nafikiri cdm wanachukiwa tu huku pwani kumbe na huko bara
 
Kauli za shibuda zimeanza kazi.chama cha kidikteta kinapotea
 
UCHUNGUZI UFANYIKE; ALIYEUZA HII SIRI NI MWANACHAMA WA NCCR MAGEUZI

GARI YENYE BENDERA YA NCCR ; NDO ANGLE YA PICTURE

KAMA CHAMA TUNATAKA KUJUA WATU WALIOKUWEMO KWENYE GARI LA NCCR; KWA KUTOA SIRI KINYUME NA MAADILI YA UKAWA.

attachment.php
 
Mtu anayejiinua kwa seta za udini na ukabila amefilisika kisiasa.
 
Mkutano wa chadema uliofanyika Kigoma baada ya kuona wananchi hawataki kusikiliza habari zao za kikanda na kidikteta.

Wakaja na mbinu mpya ya kuwasafirisha watu kwenye magari ili waende kwenye mkutano .

LA KUVUNDA HALINA UBANI
attachment.php


Duuu leo umeamua utoke vipi C.D.M ni kama maji usipoogea utayanywa.
 
Back
Top Bottom