rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Mh!Mkuki kwa nguruwe.Ulivyotukana tukakuvumilia ukadhani hatujui kashfa eh.Pole Ukiona mtu yuko kinyume naye usianze kumtukana kwani na huyo mtu naye anayajua.Pole.
Ulipoanza nilikuvumulia kwa muda nilipoona unafanya mazoe nikamuua kukuonyesha kuwa hata mimi na uwezo wa kujibu kama unavyofanya.A golden rule usichopenda kutetendewa usimtendee mwenzeko.
Mkuu hebu nionyeshe tusi hata moja toka nimeandika. Sijatumia tusi kama nilivyojibiwa, mara oooh mi nalawitiwa! mara mimi mpumbavu! n.k lakini sijathubutu kujibu hivyo, iweje unasema eti ulinivumilia mara sijui mkuki kwa nguruwe!, acha kusema uongo.