Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,144
- 48,369
Kwenye maktaba ya picha zinazohusu siasa za nchi yetu nimeipata picha hii... Naomba tuitafakari kwa pamoja.
Hii picha Ina wanachama wa CHADEMA na CCM ambao wote Kwa wakati huo walikuwa ni viongozi wakuu na waandamizi Kwa vyama vyao.
Kutoka kushoto mstari wa Mbele ni Stephen Wassira, William Lukuvi, Freeman Mbowe, Jakaya.Kikwete, Said Arfi, Said Issa Mohamed na Tundu Lissu.
Nyuma kutoka kushoto ni Emmanuel Nchimbi,Mwesiga Baregu, Joh Mrema, Abdallah Safari,(simjui),John Mnyika,(simjui)
Nyuma kabisa wa kwanza simjui anayefuatia ni Samia Suluhu Hassan.
Kwenye picha hii waliokuwa CHADEMA ambao Bado wanafanya siasa za CHADEMA ni John Mnyika na Tundu Lissu.
Waliokuwa CCM Bado wapo CCM!! Kuna kitu umejifunza kuhusu vikao vya maridhiano na CCM matokeo yake huwaje?
Hii picha Ina wanachama wa CHADEMA na CCM ambao wote Kwa wakati huo walikuwa ni viongozi wakuu na waandamizi Kwa vyama vyao.
Kutoka kushoto mstari wa Mbele ni Stephen Wassira, William Lukuvi, Freeman Mbowe, Jakaya.Kikwete, Said Arfi, Said Issa Mohamed na Tundu Lissu.
Nyuma kutoka kushoto ni Emmanuel Nchimbi,Mwesiga Baregu, Joh Mrema, Abdallah Safari,(simjui),John Mnyika,(simjui)
Nyuma kabisa wa kwanza simjui anayefuatia ni Samia Suluhu Hassan.
Kwenye picha hii waliokuwa CHADEMA ambao Bado wanafanya siasa za CHADEMA ni John Mnyika na Tundu Lissu.
Waliokuwa CCM Bado wapo CCM!! Kuna kitu umejifunza kuhusu vikao vya maridhiano na CCM matokeo yake huwaje?