Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
- Thread starter
- #101
Wakati mwingine turudi nyuma tujiulize! CDM watasemea wapi wakati wakinyanyua mdomo tayari wanakamatwa na kutupwa gerezani?
Ungesema hivyo kama mazingira ya kisiasa kwa nchi yetu, yangeruhusu ushindani sawa kwa vyama vyote.
Kwani juhudi za kuiokoa CCM wanazifanyia wapi?