only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Leo kwenye viwanja vya barafu viongozi wa kitaifa wa CHADEMA watakuwepo hapa Dodoma kwenye viwanja vya barafu kwa ajili ya mkutano wa kuongea na umma wa Dodoma,nipo njiani tayari na kombati langu naelekea kwenye mkutano.........nitajaribu kupiga picha kwa kasimu kangu ka kichina if possible..na tegemeeni upadates za nguvu...