CHADEMA, watu wa Hanang wanahitaji misaada sio lawama zenu

Naunga mkono hoja, kwenye majanga ya Kitaifa, lets stand united as one, kushikana mikono kusaidia!.
P
Yes ,ila majanga yanapotokea ni muhimu pia tukajifunza ili next time yakitokea tuwe tayari kukabiliana nayo, hadi leo nchi haina special units within police ili kukabiliana na majanga, special unit ni moja tu, ffu ili kuthibiti na kutisha wapinzani, wapi police maji,K9, foresinc unit hawa wote walitakiwa wawe Hanang, na muhimu kila municipality iwe na kikosi chake cha uokozi including zimamoto, vikosi hivi visiendeshwe kijeshi, awamu ya kwanza kikosi cha zimamoto cha jiji la DSM ,kilikua chini ya jiji, budget yake inatoka jiji na walikua ni super, pia kwa TANROADS hawa waachiwe freeways tu,barabara zingine ziwe chini ya municipalities
 
And now I (Andrew) am going to say something very controversial.
It just occurs to me just now,kwamba Makongoro aliondoka kule akamuachia Queen Sendiga.
Makongoro aliondoka kule under somewhat unusual circumstances,kama vile amefukuzwa.
Kwa hiyo I was asking in my schizophrenic mind,haya maafa yangetokea kule kama Makongoro angekuwepo?
Kwa hiyo hayo maafa yametokea kwa vile Mako ni kama amedukuzwa fulani toka Manyara!, hivyo unataka kumaanisha kama Mako angekuwepo, hili janga lisinge tokea!.

Natural disasters can happen anywhere, anytime and in any circumstances!, tena ni kama Mungu tuu, janga limetokea wakati Mako ameisha hamishwa huko, can you imagine janga hili lingetokea wakati Mako ni RC, ingekuwaje?. Take it from me ingekuwa double tragedy!.
P
 
Kwa hiyo hayo maafa yametokea kwa vile Mako ni kama amedukuzwa fulani toka Manyara!, hivyo unataka kumaanisha kama Mako angekuwepo, hili janga lisinge tokea!.

Natural disasters can happen anywhere, anytime and in any circumstances!, tena ni kama Mungu tuu, janga limetokea wakati Mako ameisha hamishwa huko, can you imagine janga hili lingetokea wakati Mako ni RC, ingekuwaje?. Take it from me ingekuwa double tragedy!.
P
Jumapili saa kumi na nusu asubuhi Mako angekuwa na hangover.

Ndiyo,lakini how many " natural disasters"' happen nowadays".

Halafu eye witness yule Mama Melania mkazi wa Gendavi anasema chanzo kilikuwa moto na mwanga kule mlimani. Mwanga ukaporomoka ukaleta maafa.
Ule mwanga unaitwa 'radi'. Kwa Nini hakusema 'radi'? Hajui Kiswahili?

 
Yes ,ila majanga yanapotokea ni muhimu pia tukajifunza ili next time yakitokea tuwe tayari kukabiliana nayo, hadi leo nchi haina special units within police ili kukabiliana na majanga, special unit ni moja tu, ffu ili kuthibiti na kutisha wapinzani, wapi police maji,K9, foresinc unit hawa wote walitakiwa wawe Hanang, na muhimu kila municipality iwe na kikosi chake cha uokozi including zimamoto, vikosi hivi visiendeshwe kijeshi, awamu ya kwanza kikosi cha zimamoto cha jiji la DSM ,kilikua chini ya jiji, budget yake inatoka jiji na walikua ni super, pia kwa TANROADS hawa waachiwe freeways tu,barabara zingine ziwe chini ya municipalities
Naunga mkono hoja
P
 
Jumapili saa kumi na nusu asubuhi Mako angekuwa na hangover.
Mako ni mtu wangu sana, nikiwa Ilboru, A-Level 80s, tulikuwa tunakesha nae Cave kwa DJ Mac Hop!. Nikawa naenda kwake pale uzunguni enzi hizo Julius ni 2 years, Aisha ni hakimu mkazi!.

Akiwa EALA, nimepiga nae trips kibao abroad. Tukio hili lingetokea chini yake, ingekuwa soo!.
P
 
Ndiyo,lakini how many " natural disasters"' happen nowadays".

Halafu eye witness yule Mama Melania mkazi wa Gendavi anasema chanzo kilikuwa moto na mwanga kule mlimani. Mwanga ukaporomoka ukaleta maafa.
Ule mwanga unaitwa 'radi'. Kwa Nini hakusema 'radi'? Hajui Kiswahili?

Mwanga wa radi huonekana mawinguni, huo mwanga umeonekana Mlimani usiku kwa mlipuko, unaweza kuwa ni mlipuko wa volcano au mawe kugongana yanapobiringika!.
P
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.

Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Ungeanza na misikiti na makanisa.
 
Katika kitu kimenifikirisha ni viongozi kwenda na nguo za chama hivi pale pia watu wanafanya siasa kweli CCM wana shida sana miaka yote waliongoza nchi ila bado kila kitu wanafanya siasa inamaana hakuna walichofanya ndio maana wanatumia nguvu kubwa sana.
 
CHADEMA siku zote wamo kwenye siasa uchwara tu.

Ona humu JF! Wamewatuma vijana wao hapa kumwaga nyuzi za lawama tu. Huu uharakati wa ajabu kabisa, hata kwenye majanga wanaleta siasa za chuki wivu na kejeli, mmeku? Mbula

Waache lawama.
 
Mkuu kuna mambo na nyakati ambazo hazihitaji hisia za chama, udini au ukabila, moja wapo ni maafa ya asili kama haya mafuriko ya Hanang.

Mosi, weka ushahidi hapa kuwa kweli wananchi wanachama wa Chadema waliopo maeneo hayo hawajaadhirika?

Pili, weka ushahidi bayana hapa kuwa kweli wananchi wanachama wa Chadema walio salimika hawaja saidia majirani zao waliodhurika kwa namna yoyote. Au wamewasaidia kwa ubaguzi wa itikadi ya kichama.

Tatu, weka ushahidi wazi hapa kuwa kweli wananchi viongozi wa Chadema wa mashina, vitongoji, vijiji/mitaa, kata, wilaya, mkoa na kanda mmoja mmoja au kwa Makundi yao hawaja dhurika? Au kweli hawaja shiriki kusaidia kutoa msaada kwa waadhirika? Au kweli hawajashirikiana na wananchi wengine kwenye zoezi zima la uokoaji hapo Hanang?

Nne, kwa uwazi ainisha hapa kuwa kwa mujibu wa sheria ni nani mwenye wajibu wa kushughulika na maafa kifedha na kitaalam? Au Kisheria ni nani aliyetengewa fedha ya kushughulika na masfa ya asili?Je, ni vyama vya siasa? Au serikali?

Tano, je watu kutoa maoni yao, kukumbusha waokoaji na kwa ujumla kushauri jinsi zoezi la uokoaji linavyoendelea huko Hanang kupitia hapa mitandaoni ni jambo baya?

Je hata wewe ulivyo toa maoni yako hapa mtandaoni unafikiri umefanya vibaya?
Pelekeni misaada watu wanahitaji chakula sio maoni. Punguzeni janja janja
 
Wewe pimbi Chadema wanakusanya kodi? Jee CCM mnaopata mabilioni ya ruzuku kila mwezi mumechangia nini?
Mnawaza pesa tu sababu mamangi mnajua kila kitu ni pesa. Wenye moyo wa kusaidia tayari wapo site na wanannchi wanawashikaa mkono.
IMG_20231205_095839.jpg
 
Yes ,ila majanga yanapotokea ni muhimu pia tukajifunza ili next time yakitokea tuwe tayari kukabiliana nayo, hadi leo nchi haina special units within police ili kukabiliana na majanga, special unit ni moja tu, ffu ili kuthibiti na kutisha wapinzani, wapi police maji,K9, foresinc unit hawa wote walitakiwa wawe Hanang, na muhimu kila municipality iwe na kikosi chake cha uokozi including zimamoto, vikosi hivi visiendeshwe kijeshi, awamu ya kwanza kikosi cha zimamoto cha jiji la DSM ,kilikua chini ya jiji, budget yake inatoka jiji na walikua ni super, pia kwa TANROADS hawa waachiwe freeways tu,barabara zingine ziwe chini ya municipalities
Haya turudi kwenye mada. Chadema haziwezi peleka hata kiroba cha sukari watu wanywe chai wakati mkiendelea kutoa hizo lawama?
Mbona uwa mnalaumu uku mnachangishana hela za join the chain za kuwawwzesha viongozi wenu?
Wajinga sana nyie watu.
 
Haya turudi kwenye mada. Chadema haziwezi peleka hata kiroba cha sukari watu wanywe chai wakati mkiendelea kutoa hizo lawama?
Mbona uwa mnalaumu uku mnachangishana hela za join the chain za kuwawwzesha viongozi wenu?
Wajinga sana nyie watu.
Huu ni upumbavu, ni serikali ya CCM inayokusanya kodi yangu ni kuinufaisha few royal families, endelea kuwa pumbavu
 
Akufaae kwa dhiki ndio rafiki wa kweli.

Baada ya matatizo yaliyowakumba ndugu zetu wa Hanang tumeona CHADEMA wakitumia muda mwingi kuishambulia na kuikosoa serikali namna inavyodili na crisis ya mafuriko.

Watu wa Hanang wanahitaji misaada sana kuliko kelele ambazo haziwaongezei lolote.

Hawahitaji magorofa wala mavitu makubwa wanataka wapate chakula maji mavazi vikinga baridi na sehemu za kujihifadhi.

Kama ambavyo uwa mnakuwa wepesi viongozi wenu wa kitaifa wakiwa kwenye kesi mnachangishana basi changishaneni hata viroba vya sukari au mashuka mpeleke kwenye majanga achaneni na kelele tupu haziwasaidii waanga.

Punguzeni janja janja watu wanauhitaji uko.

Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Msaada bila picha haunogi
 
Back
Top Bottom