CHADEMA watawaambia nini watanzania 2015?

CHADEMA watawaambia nini watanzania 2015?

Machadema yamevurugwa na uroho wa madaraka
 
Napatashida sana juu ya chadema ambacho kinajinasibu kuwa ni chama cha kutetea watanzania kumbe ni kundi la walaghai ambalo limejificha kwenye siasa kuendesha maisha yao na familia zao,hivi chadema watatwambia nini baada ya hoja hizi kukosa mashiko?.

ufisadi siyo hoja tena kwani viongozi wa chadema ni vinala wa ufisadi kwa slaa kujikopesha hela za chama na kugoma kulipa,pia slaa alichukua hela za kanisa kinyume na utaratibu na bado hajakanusha popote.

mbowe na lema hawajawahi kusoma mapato na matumizi ya pesa wanazochangisha kwenye mikutano ya hadhara,je huu siyo ufisadi?

Sasa wameleta sera ya kupigana bungeni na kutukana hovyo na kutotii mamlaka ya kiti ngoja tuone hii nayo tamati yake ikoje.

Chadema sasa kwenye chama makundi kibao kundi la mbowe,slaa,heche,mwita,zitto,

Chadema kinaongoza kuwanyima uhuru vijana ndani ya chama twajua sote zito,shonza na mtela walivyofanyiwa ndani ya chadema.

Wamevuruga bunge na kufanya kuwa na bunge la ngumi na matusi .

Chadema hawana jipya tena mwalimu alisema rais atatoka chama chochote kile lakini rais bora atatoka chama cha mapinduzi, kikubwa wakati wa ccm kuondoa mapungufu machache yaliyopo ili kiendelee kuwatumikia watu wake.

CCM ndio watafute cha kuwaambia "wenyenchi"
1.Maisha bora
2.kilimo kwanza
3.Ufisadi,mauaji,tindikali,mabomu,madawa ya kulevya,ujangili,udini,ukabila..nk

Je CCM imetimiza ahadi mpaka ione mapungufu ya CDM?

Mapungufu ambayo unadhani CCM wanayo yameathiri kwa kiasi gani uchumi wetu?

Kazi ni "kutalii" nchi za watu?
Hawa ndio "wenyenchi" uploadfromtaptalk1378646690633.jpg
 
Tumewamwagia tindikali, tumewalisha sumu,tumevunja mike bungeni, tumepiga askari na tumesusia vikao vya bunge

Mtajidanganya sana km mnadikiri CHADEMA itavumilia upuuzi wenu ili ionekane ina hekima hiyo sahauni, hatuko tayari kuburuzwa kama mnavyofanyiana ndani ya chama chenu.
Sheikh Yahya katungulia kwenye haki so hamna tena mtu wa kuwaunganisha. CCM LAZIMA IFE BAADA YA UCHAGUZI. UKIZINGATIA KUWA ROHO YENU IKO MOTONI
 
Rais mpya,
Endelea quota ndoto kwenye mitandao. Ili ujue Chadema itawaambia nini Watanzania acha quota ndoto kwenye mitandao, shuka vijijini, ujue Watanzania wanafikiri nini, na wanaongea nini wakiwa vijijini na kwenye mitaa Yao. Unayodhani ni agenda yako siyo agenda ya watanzania. Wana mengi wanakerwa nayo, Kama wewe umeshiba siyo watanzania, ndiyo siri ya watanzania 3,462,805 kutoa maoni Yao wakitaka mabadiliko makubwa kwenye Katiba Yao. Fikiri kabla ya kujiandikia, na usijivike uwakilishi wa Watanzania, wakati unajiwakilisha mwenyewe labda na....!

Dr.W.Slaa
Jambo moja linalokupa moyo ni kujaa watu kwenye mikutano mnayofanya ila hujajua siri moja wanakuja kuwashangaa tu. Wengine wanaitaji kusikia hawa chadema huwa wanahoja gani mpaka kusumbua watu katika maeneo yao wasifanye kazi kwa maandamano na uvunjwaji wa amani mnaoufanya. Ila kwa bahati mbaya dr umeshindwa kutumia nafasi hiyo kuongea nao unawakaripia na kuwadharua wananchi. Mimi nakushauri ungekuwa haufanyi siasa ukiwa hauko vizuri kichwani. Ulinisikitisha sana pale tangamano wakati ulipokuwa unachukua maoni ya wananchi. Wengi wamekudharau sana kwa jinsi ulivyokuwa unawakaripia kama watoto wadogo. Hamna cha kuwaeleza watanzania dr. Labda mbadilishe siasa zenu za vurugu, dharau, kiburi, majivuno, na chuki.
 
Last edited by a moderator:
dr gani bana, mhuni wa kawaida tu huyo. Mporaji wa wake za watu huku anavunja ndoa za majirani atakuwa doctor? Labda dr wa mitishamba

Umenikumbusha 2010 mlipo kimbilia kumpa mtu u_dr ili afanane na slaa, wakati ukiangalia fact hata hiyo first degree km wachumi wangekuwa na professional body seriuos wangechukua degree yake wakafungie kabatini jwa sababu haitumiki
 
sijui una maana gani kusema chama kinauza unga au kinafadhiliwa na wauza unga. nasema sina hakika maana sijaona chama ambacho kina sifa hiyo. ila najua kuuwa chadema ina watu wanajihusisha na biashara ya unga na mwenyekiti wake ni miongoni mwa watu wa aina hiyo

Hapo kwenye blue,
Kama ingekuwa hivyo, basi naona chadema ingeshafutwa siku nying sana, maana Tendwa alitafuta kila kisingizio akakosa, mpaka anastaafu bado hakupata sababu yoyote ile.
Ila kama wauza unga wangekua Chadema, ccm ingetangaza 'public holiday' kushereherea 'kifo' cha Chadema.
By the way. wale wadada walionaswa Afrika Kusini wakiwa na madawa ya kulevya, walishataja 'wazungu wao wa unga'.
Hivi wamemtaja nani vile ?????
 
Napatashida sana juu ya chadema ambacho kinajinasibu kuwa ni chama cha kutetea watanzania kumbe ni kundi la walaghai ambalo limejificha kwenye siasa kuendesha maisha yao na familia zao,hivi chadema watatwambia nini baada ya hoja hizi kukosa mashiko?.

ufisadi siyo hoja tena kwani viongozi wa chadema ni vinala wa ufisadi kwa slaa kujikopesha hela za chama na kugoma kulipa,pia slaa alichukua hela za kanisa kinyume na utaratibu na bado hajakanusha popote.

mbowe na lema hawajawahi kusoma mapato na matumizi ya pesa wanazochangisha kwenye mikutano ya hadhara,je huu siyo ufisadi?

Sasa wameleta sera ya kupigana bungeni na kutukana hovyo na kutotii mamlaka ya kiti ngoja tuone hii nayo tamati yake ikoje.

Chadema sasa kwenye chama makundi kibao kundi la mbowe,slaa,heche,mwita,zitto,

Chadema kinaongoza kuwanyima uhuru vijana ndani ya chama twajua sote zito,shonza na mtela walivyofanyiwa ndani ya chadema.

Wamevuruga bunge na kufanya kuwa na bunge la ngumi na matusi .

Chadema hawana jipya tena mwalimu alisema rais atatoka chama chochote kile lakini rais bora atatoka chama cha mapinduzi, kikubwa wakati wa ccm kuondoa mapungufu machache yaliyopo ili kiendelee kuwatumikia watu wake.

Unathitishia umma namna ulivyo na uwezo mdogo kichwani!
 
Chamviga,

Hongera. Unajua wangapi walijaza fomu za maoni siku hiyo? Ulie tu! Chuki zako hazina matunda.



QUOTE=CHAMVIGA;7271605]Dr.W.Slaa
Jambo moja linalokupa moyo ni kujaa watu kwenye mikutano mnayofanya ila hujajua siri moja wanakuja kuwashangaa tu. Wengine wanaitaji kusikia hawa chadema huwa wanahoja gani mpaka kusumbua watu katika maeneo yao wasifanye kazi kwa maandamano na uvunjwaji wa amani mnaoufanya. Ila kwa bahati mbaya dr umeshindwa kutumia nafasi hiyo kuongea nao unawakaripia na kuwadharua wananchi. Mimi nakushauri ungekuwa haufanyi siasa ukiwa hauko vizuri kichwani. Ulinisikitisha sana pale mkwakwani wakati ulipokuwa unachukua maoni ya wananchi. Wengi wamekudharau sana kwa jinsi ulivyokuwa unawakaripia kama watoto wadogo. Hamna cha kuwaeleza watanzania dr. Labda mbadilishe siasa zenu za vurugu, dharau, kiburi, majivuno, na chuki.[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
unajifanya una uchungu na nchi hii kumbe zuga tupu. Tuambie kwann unaongoza genge la wamwagia watu tindikali, walisha watu sumu, wapiga askari, wavunja mike, wapora ake za watu, wavunja ndoa za watu, wala ruzuku ya chama na wahuni wanaotukana watu. Huna jipya mzee watz wamestukia janja yako na genge la wauwaji liitwalo chadema

1. Mwiguru alifumaniwa igunga
2. Kubenea alimwagiwa tindikali wakati akiwa anafanya kazi ya kufumua madhambi ya ccm
3. Nikimbushe yule anayehusishwa LULU ni wa chama gani
4. Vipi marehemu kolimba nini kilimsibu.
 
wazee wa sembe..hamuweki kwenye kinyesi tena ni mambo ya meli sasa....heheheheheeeee:A S wink:
 
Nani kakwambia kuwa mimi ccm au unapangia chama wewe vipi na cdm yenu kisima cha matusi na vurugu.

nani amekuambia mimi chadema?
suala la nini chadema watawaambia wananchi 2015 ni kazi yao wenyewe, wewe fikiria chama chako kitawaambia nini wananchi 2015
 
ukiongozwa bongoflaver hujue mmeumia. tusubili na Afande Sele aungane na sugu darasa la pili C.
 
Mi sijui watasema nini hawa chadomo kwa kweli. Hakuna kitendo kilichofanyika zaidi ya porojo...
 
Rais mpya,
Endelea quota ndoto kwenye mitandao. Ili ujue Chadema itawaambia nini Watanzania acha quota ndoto kwenye mitandao, shuka vijijini, ujue Watanzania wanafikiri nini, na wanaongea nini wakiwa vijijini na kwenye mitaa Yao. Unayodhani ni agenda yako siyo agenda ya watanzania. Wana mengi wanakerwa nayo, Kama wewe umeshiba siyo watanzania, ndiyo siri ya watanzania 3,462,805 kutoa maoni Yao wakitaka mabadiliko makubwa kwenye Katiba Yao. Fikiri kabla ya kujiandikia, na usijivike uwakilishi wa Watanzania, wakati unajiwakilisha mwenyewe labda na....!
Dr slaa kweli umekwisha nianze kwa hoja yako ya kukusanya maoni kuhusu katiba mpya kwanza hiyo idadi ya hao watu kutoa maoni ni uongo tena ni uzushi bila chenga kwanza ulichofanya wewe ni kuandaa mikutano ya hadhara na kuhutubia wala siyo kupongea maoni,
halafu huoni kuwa ulikwenda kinyume na maelekezo ya tume mmeambiwa kuandaa mabaraza ya katiba wewe ukaandaa mikutano ya hadhara na kuhutubia hiyo siyo akili ya kutazamia au uvivu wa kufikiri,
binafsi nilikuwa nakuheshimu sana ulivyokuwa mbunge lakini nikagundua kuwa unayosema siyo unayofanya unatuhadaa umejivika ngozi ya kondoo kumbe wewe simba mla watu,
kwa sasa unafanya mipango ya kumuondoa mdee agombee yule dada aliyekaribu na wewe anayekupikia chakula yule jina lake mi silijui nisaidie,
kwani unauchungu gani na tanzania wewe mpaka wakuchague kuwa rais juzi hapa umeweka wazi kuwa wewe ni mshirika wa kagame wote mnamkejeli jk,
kama ulishindwa kazi za unyenyekevu hizi utaziweza kutumikia watanzania nchi nzima?
samahani mzee slaa nauliza kwa nia njema tu wewe ni mkatoliki mwenzangu niwia radhi sana kwa swali hili lakini kama hutajali tukutane kule fb tuongee kwa falagha kidogo kunamaneno nasikia kuhusu baba askofu wa kwanza wa jimbo la katoliki karatu ambaye sasa ni marehemu eti..NANI YAKO?.
 
Unathitishia umma namna ulivyo na uwezo mdogo kichwani!
Kwani wewe na sungura kunatofauti kweli huwezi kupngana na mimi kwa maneno matupu hakuna hoja hata moja wewe mzima kweli.
 
Napatashida sana juu ya chadema ambacho kinajinasibu kuwa ni chama cha kutetea watanzania kumbe ni kundi la walaghai ambalo limejificha kwenye siasa kuendesha maisha yao na familia zao,hivi chadema watatwambia nini baada ya hoja hizi kukosa mashiko?.

ufisadi siyo hoja tena kwani viongozi wa chadema ni vinala wa ufisadi kwa slaa kujikopesha hela za chama na kugoma kulipa,pia slaa alichukua hela za kanisa kinyume na utaratibu na bado hajakanusha popote.

mbowe na lema hawajawahi kusoma mapato na matumizi ya pesa wanazochangisha kwenye mikutano ya hadhara,je huu siyo ufisadi?

Sasa wameleta sera ya kupigana bungeni na kutukana hovyo na kutotii mamlaka ya kiti ngoja tuone hii nayo tamati yake ikoje.

Chadema sasa kwenye chama makundi kibao kundi la mbowe,slaa,heche,mwita,zitto,

Chadema kinaongoza kuwanyima uhuru vijana ndani ya chama twajua sote zito,shonza na mtela walivyofanyiwa ndani ya chadema.

Wamevuruga bunge na kufanya kuwa na bunge la ngumi na matusi .

Chadema hawana jipya tena mwalimu alisema rais atatoka chama chochote kile lakini rais bora atatoka chama cha mapinduzi, kikubwa wakati wa ccm kuondoa mapungufu machache yaliyopo ili kiendelee kuwatumikia watu wake.

Wahi Mirembe Dodoma haraka sana kwa msaada wa kitaalamu!
 
Back
Top Bottom