Chadema watathubutu kuandamana kesho tarehe 28?

Chadema watathubutu kuandamana kesho tarehe 28?

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,639
Au bado wanauguza majeraha?
Kwa nini inakuwa lazima kuwapiga watu kama vile wao ni watoto?
Kwa nini Chalamila hataki kuona kwamba watu wakija kutoka mikoani kusikiliza kesi ya Lissu Gesti House Dar zitafurika?
 
Au bado wanauguza majeraha?
Kwa nini inakuwa lazima kuwapiga watu kama vile wao ni watoto?
Kwa nini Chalamila hataki kuona kwamba watu wakija kutoka mikoani kusikiliza kesi ya Lissu Gesti House Dar zitafurika?
kwanini watu wazima kubebana ufala kifikra na kuchocheana kufanya mambo haramu kinyume cha sheria na hatimae kuumizwa vibaya wao wenyewe?

huo ni utoto au changamoto ya afya ya akili? kwanini ufanye mambo yanayokuumiza wewe mwenyewe kama sio ulofa huo?🐒
 
kwanini watua wazima kubebana ufala kifikra na kuchocheana kufanya mambo haramu kinyume cha sheria na hatimae kuumizwa vibaya wenyewe?

huo ni utoto au changamoto ya afya ya akili? kwani ufanye mambo yanayokuumiza wewe mwenyewe kama sio ulofa huo?🐒
Wewe unapofoka hauoni unaumia peke yako, na hapa umekuja pekee yako ni nini kimekusukuma kuja hapa? Mbona hamko wengi?
 
Wewe unapofoka hauoni unaumia peke yako, na hapa umekuja pekee yako ni nini kimekusukuma kuja hapa? Mbona hamko wengi?
calm down,
ni muhimu zaidi kuzingatia maoni ya waTanzania wote nchini na kupuuzia hao waropokaji wa kuchochea fujo na migawanyiko.

wakagawanye familia zao ambazo wengine ziko nje ya nchi, wakagawanye vyama vyao vya siasa kilofa kama kawaida yao, wakagawanye makanisa na miskiti yao na sio kubugudhi au kuwahadaa waTanzania 🐒
 
Au bado wanauguza majeraha?
Kwa nini inakuwa lazima kuwapiga watu kama vile wao ni watoto?
Kwa nini Chalamila hataki kuona kwamba watu wakija kutoka mikoani kusikiliza kesi ya Lissu Gesti House Dar zitafurika?
Mzee wacha upotoshaji,hakuna mahali Chadema wamesema wataandamana,walichosema ni kuwa wanakwenda kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wao jambo ambalo siyo uvunjaji wa sheria yoyote. Kujibu swali lako kesho watakuja tena Mahakamani ili hao majambazi wa Mama wawaulie hapo hapo kwani maagizo waliyopewa ni kuwaua viongozi wa Chadema.
 
calm down,
ni muhimu zaidi kuzingatia maoni ya waTanzania wote nchini na kupuuzia hao waropokaji wa kuchochea fujo na migawanyiko.

wakagawanye familia zao ambazo wengine ziko nje ya nchi, wakagawanye vyama vyao vya siasa kilofa kama kawaida yao, wakagawanye makanisa na miskiti yao na sio kubugudhi au kuwahadaa waTanzania 🐒
Maoni ya watanzania wote ni tume huru sio tume ya mama kizimkazi na mtu wa kuwaongoza kuipata tume ndio huyo waliyemshika,kama haupo tayari wewe baki,hata enzi za kupigania uhuru wanawake waoga walikuwa wanabaki kupika alafu wanaume wanapenda.
 
Back
Top Bottom