usininukuu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 380
- 44
Kwa taarifa nilizonazo CHADEMA ni chama pekee kilichofungua matawi mapya mengi kuliko vyama vingine vyote baada ya uchaguzi 2010, Mfano mzuri ni jimbo la Njombe Magharibi chini ya uongozi wa aliekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo Ndugu Thomas Nyimbo CHADEMA imefungua matawi ktk vijiji vyote na sasa mikakati ya kujenga ofisi inaendelea. Nakushauri mtoa mada kufanya utafiti kabla ya kupost humu javini.