Godwine ana hoja aidha haelewi ni kwa nini CDM hawafungui matawi vijijini wakati wanapata ruzuku ambayo ana haki ya kuihoji au inawezeka CDM hawatoi taarifa wapi wamefungua na Godwine akazipata.
Halafu hapo unakuta wanasema CCM mafisadi wakati wao ndo mafisadinambari one.Mimi bado nakuja kwenye hoja ya matawi nchi nzima , kwanini chama hiki kimeshindwa kufanya hivyo wakati kimeweza kufanya maandamano karibu nchi nzima. au katika maandamano hayo kuna maslahi kiasi kikubwa kwa viongozi wake wa ngazi ya juu.
NAOMBA CHADEMA KIFUTWE TOKA KWENYE ORODHA YA VYAMA VYA SIASA KWASABABU WAMESHINDWA KUFUNGUA MATAWI MPAKA NGAZI YA KIJIJI . TENDWA FANYA KAZI YAKO MARA MOJA
Mimi bado nakuja kwenye hoja ya matawi nchi nzima , kwanini chama hiki kimeshindwa kufanya hivyo wakati kimeweza kufanya maandamano karibu nchi nzima. au katika maandamano hayo kuna maslahi kiasi kikubwa kwa viongozi wake wa ngazi ya juu.
NAOMBA CHADEMA KIFUTWE TOKA KWENYE ORODHA YA VYAMA VYA SIASA KWASABABU WAMESHINDWA KUFUNGUA MATAWI MPAKA NGAZI YA KIJIJI . TENDWA FANYA KAZI YAKO MARA MOJA
wadau tukubali au tukatae chadema tuna tatizo kubwa la kimsingi la political startegist,kunavitu vya msingi sana katika ujenzi wa chama dola(kinachojiaandaa kuchukua madaraka) viongozi wangu hawavipi kipaumbele,bado wanaendelea na startegis ya chama pinzania.kwa sisi politica scientists na strategist hili ni kosa la kimsingi sana,toweni wigo wa wadau wengi zaidi na wenye taaluma hii washauri cha kufanya,kuwa na maprofessa katika kamati kuu haimanishi wao ni wataalamu wa kila fani..hili nitalisema siku zote,tubadilishe strategies za chama sasa,tujikite kwa watu,hata bibi yangu wa kijijini akiambiwa chadema aseme moja kwa moja nini tofauti ya chadema na ccm,na chadema ikipata madaraka itamfanyia nini tofauti.feedback,
kwa taarifa yako na wengine ni kwamba mwaka kesho tunaanza mchakato wa uchaguzi ndani ya chama. Tutaanza na ngazi ya chini kabisa ya msingi, tawi, kata, jimbo/wilaya, mkoa na hatimaye taifa.
Maelekezo ya ofisi ya katibu mkuu ni kwamba hakutakuwa na uchaguzi wa tawi bila chaguzi za misingi kukamilika, hakutakuwa na uchaguzi wa kata bila uchaguzi wa matawi kukamilika, hakutakuwa na uchaguzi wa jimbo/wilaya bila chaguzi za kata kukamilika, na utaratubu utakwenda hivyo hivyo hadi ngazi ya taifa, kwa mujibu wa katiba ya chama.
Na kwakuwa ni lazima chaguzi ngazi zote zifanyike, na kwa kuzingatia mwitikio wa wananchi katika kujiunga na chadema, hatuna shaka kwamba kabla ya kuwa na uchaguzi wa ngazi za majimbo/wilaya, kila kijiji na mtaa kutakuwa na ofisi ya chadema. Jambo la msingi ni kuunganisha nguvu na wanaharakati wote kujiunga na chadema ili tupate viongozi wazalendo na watakao kuwa commited ili hatimaye chama kiwe na uongozi imara toka ngazi za chini kabisa kama ilivyo kwenye level ya kitaifa.
wadau tukubali au tukatae chadema tuna tatizo kubwa la kimsingi la political startegist,kunavitu vya msingi sana katika ujenzi wa chama dola(kinachojiaandaa kuchukua madaraka) viongozi wangu hawavipi kipaumbele,bado wanaendelea na startegis ya chama pinzania.kwa sisi politica scientists na strategist hili ni kosa la kimsingi sana,toweni wigo wa wadau wengi zaidi na wenye taaluma hii washauri cha kufanya,kuwa na maprofessa katika kamati kuu haimanishi wao ni wataalamu wa kila fani..hili nitalisema siku zote,tubadilishe strategies za chama sasa,tujikite kwa watu,hata bibi yangu wa kijijini akiambiwa chadema aseme moja kwa moja nini tofauti ya chadema na ccm,na chadema ikipata madaraka itamfanyia nini tofauti.
wadau tukubali au tukatae chadema tuna tatizo kubwa la kimsingi la political startegist,kunavitu vya msingi sana katika ujenzi wa chama dola(kinachojiaandaa kuchukua madaraka) viongozi wangu hawavipi kipaumbele,bado wanaendelea na startegis ya chama pinzania.kwa sisi politica scientists na strategist hili ni kosa la kimsingi sana,toweni wigo wa wadau wengi zaidi na wenye taaluma hii washauri cha kufanya,kuwa na maprofessa katika kamati kuu haimanishi wao ni wataalamu wa kila fani..hili nitalisema siku zote,tubadilishe strategies za chama sasa,tujikite kwa watu,hata bibi yangu wa kijijini akiambiwa chadema aseme moja kwa moja nini tofauti ya chadema na ccm,na chadema ikipata madaraka itamfanyia nini tofauti.
kama Chadema ikiwa na wanachama wengi kama wewe basi kitakuja kuwa chama imara zaidi lakini kama kitaendelea na mfumo wa sasa basi siku akina dr slaa watapoondoka katika mfumo basi hakutakuwa na chama kitachobakia bali litabaki genge la watukanaji kama walivyojaa humu JF
Godwine,
Chadema sasahivi ilipofikia ni zaidi ya Dr. Slaa, ama Mbowe, hilo nataka nikuhakikishie.
Chadema sashivi ni taasisi imara inayoweza kujiendesha bila hao viongozi unaowataja, kuna hazina kubwa sana ya vijana, watu wa makamo na wazee wanaoweza kukiendesha chama bila wasiwasi wowote. Wananchi wanapoamua kutuunga mkono kwa dhati na kwa wingi ni kwa sababu wamekiamini chama, si kwa sababu ya dr.slaa ama mbowe.
Kwahiyo ni vizuri na wewe ukajiondoa katika hilo genge la walalamikaji na watukanaji hapa JF kwa kupost "constructive criticism"!!
Mkuu,kwanza nikukumbushe kwamba mikakati(strategies) ya chama inabadilika kila leo, labda tu wewe ndiye hufahamu hilo kwakuwa mikakati ya chama haitangazwi hadharani, inajadiliwa kwenye vikao na kuwekewa mpango wa utekelezaji.
Pili naomba utambue kwamba Chama ni wanachama. Wanachama wenyewe huko waliko wanatakiwa waji organise kulingana na mazingira yao. Wananchi wanatakiwa wajiunge na chama ili wanachama hao waweze kutekeleza majukumu ya ustawi wa chama katika eneo na ngazi husika.
Makao makuu kazi yao ni kuweka mikakati ya jumla na ya kitaifa, then ngazi husika za uongozi za chini zina tafsiri mikakati hiyo kulingana na mazingira yao.
Mazingira ya dsm ni tofauti na Mbeya na ni tofauti na Mara ama Arusha. Na wewe kama ni mwanachama una haki ya kutoa mawazo yako katika vikao husika, iwe kwenye tawi, kata, jimbo, mkoa na hata taifa. Then yatafanyiwa kazi kadri uuongozi utakavyo ona inafaa.
Tatizo moja na la msingi tulilonalo watu wengi, hasa hapa JF ni wazuri sana kwa kuandika, lakini inapofika kwenye utekelezaji wanakuwa wagumu. Sisi wengine tumejitolea kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kwamba chama kinawafikia wananchi kadri iwezekanavyo.
Mathalani mim i binafsi pamoja na kuwa kiongozi katika ngazi ya jimbo lakini nimeamua kuelekeza nguvu zangu kwa kushirikiana na wanachama wenzangu kuanzisha matawi mapya na kuimarisha yale yaliyopo. Tumefanikiwa kufungua matawi katika mitaa yote iliyopo ndani ya kata yetu ya ukonga na juhudi zinaendelea kuona kwamba jimbo zima linakuwa na tawi kila mtaa.
Kwahiyo inatakiwa kila mmoja kwa nafasi yake awajibike, hatuwezi kukaa na kusubiri dr.slaa ama mbowe wafanye kazi ya kuanzisha na kufungua matawi kila kona, hiyo ni kazi yetu wananchi wenyewe.
godwine! Leo naona kama umekaribia kabisa kuchafukwa na moyo! Hebu tujuze kilichokusibu
kamanda wetu!!!
Mdau unalosema ni kweli kabisa ndani ya Chadema sasa kunajengeka tabaka la kutokubali hoja mbadala na pia kuona yoyote anaetoa mawazo mbadala ni mpinzania na anainia ovu,lakini ukweli ni kwamaba wengi wetu hatutaki chama kwa sababu tunawapenda watu fulani au mitazamo yao fulani,tunataka chama kitachokomboa watanzania,chama kitakachookoa wanyonge,na chama cha kuokombowa wanyone na lazima kijenwge katika misingi ya watu na watu waone ni mali yao,kitokane na nia halisi ya watu walioamua chama chao kiweje,sasa ukiwanyima hao nafasi na kuamini mawazo ya viongozi tu ndio sasa,unanyima watu nafasi ya kuona hiki ni chama chetumhaya ni mawzo yetu hawa viongozi ni wenzetu!Hii tu ndio misingi inayokipa chama madaraka na kukifanya kidumu madarakani,ccm walisahau hayo na leo wapo hapo walipo.Daima sina upande wa kushambulia au kusifia daima bali niko katika sehemu ya kutaka taifa lipambane kwa hoja na si ushabiki na matusi kwani kwangu mimi mtawala yeyote awe CCM au Chadema hawezi kuzuia kufikia malengo yangu. lakini kama vyama vya upinzani au CCM wasipojifunza mabishano ya hoja na si matusi hakuna maana ya kuwa na vyama bali wagombea binafsi ndio wawe kimbilio la wananchi.
hapana lazima kwenye mijadala mabishano makali yawepo ili kuongeza maarifa
Mimi bado nakuja kwenye hoja ya matawi nchi nzima , kwanini chama hiki kimeshindwa kufanya hivyo wakati kimeweza kufanya maandamano karibu nchi nzima. au katika maandamano hayo kuna maslahi kiasi kikubwa kwa viongozi wake wa ngazi ya juu.
NAOMBA CHADEMA KIFUTWE TOKA KWENYE ORODHA YA VYAMA VYA SIASA KWASABABU WAMESHINDWA KUFUNGUA MATAWI MPAKA NGAZI YA KIJIJI . TENDWA FANYA KAZI YAKO MARA MOJA