We Pimbi wa kike, Ufisadi wa Makalla hapo upo wapi?Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.
Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.
View attachment 2393373
Umefafanua vizuri nadhani mleta Uzi alikuwa hajui rate mpya za SerikaliNinaomba niseme kitu hapa
Mtumishi wa serikali hulipwa posho kazini na ni haki yake kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma.
Posho hulipwa pale ambapo mtumishi amefanya kazi nje ya masaa ya kazi na au nje ya kituo cha kazi.
Mtoa mada umesema vizuri kwamba watumishi wa Ofisi ya Mkoa wa DSM wameenda Dodoma kikazi. Kwa hiyo walicholipwa ni haki yao kulingana na hadhi zao.
Je, laki 2.5 ni halali kwao?
Niwakumbushe: mwaka huu wakati Rais anahutubia Mei Mosi aliahidi kupandisha posho (Per diem) kutoka laki na 20 kwa siku na kuwa laki 2.5 kwa siku. Na hili limeanza kutekelezwa bajeti ya 2022/2023 iliyoanza July 2022.
Kwa hiyo, hizo posho ndugu zangu ni halali kabisa. Hakuna siasa hapo. Hapo ndipo hela inafanya kazi. Na ni kawaida. Hakuna jipya!
Hiyo ni perdiem Kwa siku sio nauliNauli ya kwenda Dodoma ni mili 1.4?
Kasome QT na wewe ukafanye huo ufisadi. Hata hivyo hayo malipo ya kawaida tu.Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.
Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.
View attachment 2393373
Hiyo Per diem na Ground Transport ni ndogo sana kwa Dodoma ambako maisha kwa sasa yako juu mno, ilitakiwa Per diem iwe 400,000/=per day na Graund Transport iwe 200,000/= per dayWatumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.
Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.
View attachment 2393373
Umefafanua vizuri nadhani mleta Uzi alikuwa hajui rate mpya za Serikali
Wewe Kima kwani haya malipo ni halali au sio halali?Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.
Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.
View attachment 2393373
Tukishakubali ndio vipi Sasa? Atafufuka? Mie huwa sielewi hii statement ya "mtanikumbuka" itasaidia Nini!! Toeni way forward je tumchague Team Magufuli ama tumfufue ama iweje Sasa tukishajuta?Ni suala la muda tu kabla hatujapata kiboko yao. View attachment 2393383