Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,861
- 808
hivi lile tusi mpaka jana hawakulisikia? At na wao midomo yao imezoea matusi? Kwa jazba zile za naibu spika ipo siku atatukana.
Haizekani Spika aache kufuata kanuni kisa Chadema watasema wameonewa, mimi naona bora ijulikane hivyo kuliko kubadilisha bunge kuwa kijiwe
Haya nenda wewe unaejua kanuni,tatizo lenu.kufuata mkumbo,haya sasa vikao 5 nje,nini faida yakujifanya unajua sana,lissu sini mwanasheria akate rufaa,
umetumwa na basha wako mwigulu?
Haya nenda wewe unaejua kanuni,tatizo lenu.kufuata mkumbo,haya sasa vikao 5 nje,nini faida yakujifanya unajua sana,lissu sini mwanasheria akate rufaa,
Haya nenda wewe unaejua
kanuni,tatizo lenu.kufuata mkumbo,haya sasa vikao 5 nje,nini faida
yakujifanya unajua sana,lissu sini mwanasheria akate rufaa,
Mbona kuna wabunge wa ccm wakiwemo au kutokuwemo bungeni hakuna tofauti coz hawachangiiHaya nenda wewe unaejua kanuni,tatizo lenu.kufuata mkumbo,haya sasa vikao 5 nje,nini faida yakujifanya unajua sana,lissu sini mwanasheria akate rufaa,
Mkuu ndo wale wale,
unafikiri kwa nini bunge limekuwa uchochoro? Sababu ya kujaza vilaza
kama akina sugu
Makinda ni kama bata wa kienyeji anayeharisha bila kujua hapa ni wapi,,,hajui alitendalo bungeni,nakili kuwa uadilifu wa bunge umepungua kutokana na aina mbovu ya uongozi wa spika bungeni,,,baba asiye na mke au mama asiye na mume ni vigumu kujua matatizo ya familia ndo anachokifanya bibi Makinda maana hata nikimuita mheshimiwa hastaili,nikimuita mama hana sifa kama wanawake wenzake
Haizekani Spika aache kufuata kanuni kisa Chadema watasema wameonewa, mimi naona bora ijulikane hivyo kuliko kubadilisha bunge kuwa kijiwe