CHADEMA wamtangazia vita Spika Makinda

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
[h=1][/h]


makinda.jpg

Spika wa Bunge, Anna Makinda


Dodoma. Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema kuwa watakata rufaa katika Kamati ya Kanuni ya Bunge dhidi ya mwongozo wa Spika uliobariki adhabu ya kuwatimua kwa siku tano wabunge sita wa Chadema kwa kudharau mamlaka ya Spika.


Akitoa mwongozo wake jana, Spika Anne Makinda alibariki wabunge hao kutimuliwa akisema kuwa Kanuni za Bunge zilikiukwa.

Wabunge waliofukuzwa na Naibu Spika, Job Ndugai juzi ni pamoja na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, Mbunge wa Ilemela, Highness Kiwia, Mbunge wa Nyamagana, Ezekiah Wenje na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.

Juzi Mbowe aliomba mwongozo wa Spika kwa kutumia Kanuni ya 68 (7), akimtaka Spika aeleze naibu wake (Ndugai) alitumia kanuni gani ya Bunge, kuwasimamisha siku tano wabunge sita wa Chadema wasihudhurie vikao vya Bunge vinavyoendelea.

Mwongozo wa Makinda
Akitoa mwongozo huo jana, Spika Anne Makinda alisema kuwa kitendo kilichotokea hakiwezi kupuuzwa na wala kuvumiliwa na Bunge, pamoja na wananchi kwa kuwa ni utovu wa nidhamu ya Bunge na wananchi kwa jumla.

Alisema: “Kanuni ya 2(2) na 5(1), inampa mamlaka Spika ya kuleta amani bungeni.

Kanuni ya 2(2) inaeleza: “Iwapo jambo au shughuli yoyote haikuwekewa masharti katika kanuni hizi, Spika ataamua utaratibu wa kufuata katika jambo au shughuli hiyo, kwa kuzingatia Katiba, Sheria nyingine za nchi, kanuni nyingine zilizopo, maamuzi ya awali ya maspika wa Bunge na mila na desturi za uendeshaji bora wa shughuli za Bunge na uamuzi huo utaingizwa katika kitabu cha maamuzi ili kuongoza mwenendo wa baadaye wa uendeshaji wa shughuli za Bunge.”


Kanuni ya 5(1) inaeleza: “Katika kutekeleza majukumu yake yaliyotajwa katika Ibara ya 84 ya Katiba, Spika ataongozwa na kanuni hizi na pale ambapo kanuni hazikutoa mwongozo, basi Spika atafanya kazi kwa kuzingatia Katiba, Sheria nyingine za nchi, kanuni nyingine zilizopo, maamuzi ya awali ya maspika wa Bunge pamoja na mila na desturi za mabunge mengine yenye utaratibu wa kibunge unaofanana na utaratibu wa bunge la Tanzania.”

Makinda alisema kwa kutumia kanuni hizo mbili anakubaliana na uamuzi uliotolewa na Ndugai na kwamba suala hilo litaingizwa kwenye kitabu cha uamuzi wa Spika.

“Natumia Kanuni ya 2(2) na 5(1) kusema kuwa uamuzi uliofanywa na Ndugai ni halali na itaingizwa kwenye kitabu cha maamuzi ya Spika,” alisema Spika Makinda.

Kauli ya Mbowe
Mbowe jana alilieleza gazeti hili kuwa uamuzi wa Spika ulijielekeza katika jambo lisilo na kanuni inayolisimamia, tofauti na lile la kudharau mamlaka ya kiti cha Spika, lililotolewa maelekezo na Kanuni ya 74 (1).

Kanuni hiyo inasema: “Spika anaweza kutaja jina la mbunge kwamba amedharau mamlaka ya Spika na kisha kupeleka jina hilo kwenye Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge; ikiwa kwa maneno au vitendo mbunge huyo anaonyesha dharau kwa mamlaka ya Spika; au Mbunge huyo atafanya kitendo chochote cha makusudi cha kudharau shughuli ya Bunge au mbunge yeyote anayeongoza shughuli hiyo.”
 
[h=1][/h]


makinda.jpg

Spika wa Bunge, Anna Makinda


Dodoma. Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema kuwa watakata rufaa katika Kamati ya Kanuni ya Bunge dhidi ya mwongozo wa Spika uliobariki adhabu ya kuwatimua kwa siku tano wabunge sita wa Chadema kwa kudharau mamlaka ya Spika.


Akitoa mwongozo wake jana, Spika Anne Makinda alibariki wabunge hao kutimuliwa akisema kuwa Kanuni za Bunge zilikiukwa.

Wabunge waliofukuzwa na Naibu Spika, Job Ndugai juzi ni pamoja na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, Mbunge wa Ilemela, Highness Kiwia, Mbunge wa Nyamagana, Ezekiah Wenje na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.

Juzi Mbowe aliomba mwongozo wa Spika kwa kutumia Kanuni ya 68 (7), akimtaka Spika aeleze naibu wake (Ndugai) alitumia kanuni gani ya Bunge, kuwasimamisha siku tano wabunge sita wa Chadema wasihudhurie vikao vya Bunge vinavyoendelea.

Mwongozo wa Makinda
Akitoa mwongozo huo jana, Spika Anne Makinda alisema kuwa kitendo kilichotokea hakiwezi kupuuzwa na wala kuvumiliwa na Bunge, pamoja na wananchi kwa kuwa ni utovu wa nidhamu ya Bunge na wananchi kwa jumla.

Alisema: “Kanuni ya 2(2) na 5(1), inampa mamlaka Spika ya kuleta amani bungeni.

Kanuni ya 2(2) inaeleza: “Iwapo jambo au shughuli yoyote haikuwekewa masharti katika kanuni hizi, Spika ataamua utaratibu wa kufuata katika jambo au shughuli hiyo, kwa kuzingatia Katiba, Sheria nyingine za nchi, kanuni nyingine zilizopo, maamuzi ya awali ya maspika wa Bunge na mila na desturi za uendeshaji bora wa shughuli za Bunge na uamuzi huo utaingizwa katika kitabu cha maamuzi ili kuongoza mwenendo wa baadaye wa uendeshaji wa shughuli za Bunge.”


Kanuni ya 5(1) inaeleza: “Katika kutekeleza majukumu yake yaliyotajwa katika Ibara ya 84 ya Katiba, Spika ataongozwa na kanuni hizi na pale ambapo kanuni hazikutoa mwongozo, basi Spika atafanya kazi kwa kuzingatia Katiba, Sheria nyingine za nchi, kanuni nyingine zilizopo, maamuzi ya awali ya maspika wa Bunge pamoja na mila na desturi za mabunge mengine yenye utaratibu wa kibunge unaofanana na utaratibu wa bunge la Tanzania.”

Makinda alisema kwa kutumia kanuni hizo mbili anakubaliana na uamuzi uliotolewa na Ndugai na kwamba suala hilo litaingizwa kwenye kitabu cha uamuzi wa Spika.

“Natumia Kanuni ya 2(2) na 5(1) kusema kuwa uamuzi uliofanywa na Ndugai ni halali na itaingizwa kwenye kitabu cha maamuzi ya Spika,” alisema Spika Makinda.

Kauli ya Mbowe
Mbowe jana alilieleza gazeti hili kuwa uamuzi wa Spika ulijielekeza katika jambo lisilo na kanuni inayolisimamia, tofauti na lile la kudharau mamlaka ya kiti cha Spika, lililotolewa maelekezo na Kanuni ya 74 (1).

Kanuni hiyo inasema: “Spika anaweza kutaja jina la mbunge kwamba amedharau mamlaka ya Spika na kisha kupeleka jina hilo kwenye Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge; ikiwa kwa maneno au vitendo mbunge huyo anaonyesha dharau kwa mamlaka ya Spika; au Mbunge huyo atafanya kitendo chochote cha makusudi cha kudharau shughuli ya Bunge au mbunge yeyote anayeongoza shughuli hiyo.”
Huyo spika makinda sura mbaya kama msaga sumu, kanuni na sheria za bunge hajui yeye ni bora liende...hatumtaki makinda na ndungai ni mzigo kwa taifa!!!
 
Huyo spika makinda sura mbaya kama msaga sumu, kanuni na sheria za bunge hajui yeye ni bora liende...hatumtaki makinda na ndungai ni mzigo kwa taifa!!!

Haya nenda wewe unaejua kanuni,tatizo lenu.kufuata mkumbo,haya sasa vikao 5 nje,nini faida yakujifanya unajua sana,lissu sini mwanasheria akate rufaa,
 
Makinda ni kama bata wa kienyeji anayeharisha bila kujua hapa ni wapi,,,hajui alitendalo bungeni,nakili kuwa uadilifu wa bunge umepungua kutokana na aina mbovu ya uongozi wa spika bungeni,,,baba asiye na mke au mama asiye na mume ni vigumu kujua matatizo ya familia ndo anachokifanya bibi Makinda maana hata nikimuita mheshimiwa hastaili,nikimuita mama hana sifa kama wanawake wenzake
 
Haya nenda wewe unaejua kanuni,tatizo lenu.kufuata mkumbo,haya sasa vikao 5 nje,nini faida yakujifanya unajua sana,lissu sini mwanasheria akate rufaa,

mkuu sitakosea kama nikikufananisha na yule aliyetukana F.U.C.K U bungeni na hakuna kifungu kinachoweza kumtia hatiani il kwa yule aliyenyimwa haki yake ya msingi ya kutoa taarifa akawa na kifungu cha kumwadhibu ila uzuri wake mahakimu wa kila miaka mi5 tunaona na la kufunya tushaamua
 
Makinda ni kama bata wa kienyeji anayeharisha bila kujua hapa ni wapi,,,hajui alitendalo bungeni,nakili kuwa uadilifu wa bunge umepungua kutokana na aina mbovu ya uongozi wa spika bungeni,,,baba asiye na mke au mama asiye na mume ni vigumu kujua matatizo ya familia ndo anachokifanya bibi Makinda maana hata nikimuita mheshimiwa hastaili,nikimuita mama hana sifa kama wanawake wenzake

Kweli kwa7bu mengi anayoyafanya wanaoumia ni mama zetu na wanawake kwa ujumla maana wanawake hawa wamekuwa wakitetea masuala kama maji ila bi kiroboto na ccm kwa ujumla wameona halifai
 
makinda.jpg

Spika wa Bunge, Anna Makinda


Dodoma. Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema kuwa watakata rufaa katika Kamati ya Kanuni ya Bunge dhidi ya mwongozo wa Spika uliobariki adhabu ya kuwatimua kwa siku tano wabunge sita wa Chadema kwa kudharau mamlaka ya Spika.


Akitoa mwongozo wake jana, Spika Anne Makinda alibariki wabunge hao kutimuliwa akisema kuwa Kanuni za Bunge zilikiukwa.

Wabunge waliofukuzwa na Naibu Spika, Job Ndugai juzi ni pamoja na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, Mbunge wa Ilemela, Highness Kiwia, Mbunge wa Nyamagana, Ezekiah Wenje na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.

Juzi Mbowe aliomba mwongozo wa Spika kwa kutumia Kanuni ya 68 (7), akimtaka Spika aeleze naibu wake (Ndugai) alitumia kanuni gani ya Bunge, kuwasimamisha siku tano wabunge sita wa Chadema wasihudhurie vikao vya Bunge vinavyoendelea.

Mwongozo wa Makinda
Akitoa mwongozo huo jana, Spika Anne Makinda alisema kuwa kitendo kilichotokea hakiwezi kupuuzwa na wala kuvumiliwa na Bunge, pamoja na wananchi kwa kuwa ni utovu wa nidhamu ya Bunge na wananchi kwa jumla.

Alisema: "Kanuni ya 2(2) na 5(1), inampa mamlaka Spika ya kuleta amani bungeni.

Kanuni ya 2(2) inaeleza: "Iwapo jambo au shughuli yoyote haikuwekewa masharti katika kanuni hizi, Spika ataamua utaratibu wa kufuata katika jambo au shughuli hiyo, kwa kuzingatia Katiba, Sheria nyingine za nchi, kanuni nyingine zilizopo, maamuzi ya awali ya maspika wa Bunge na mila na desturi za uendeshaji bora wa shughuli za Bunge na uamuzi huo utaingizwa katika kitabu cha maamuzi ili kuongoza mwenendo wa baadaye wa uendeshaji wa shughuli za Bunge."


Kanuni ya 5(1) inaeleza: "Katika kutekeleza majukumu yake yaliyotajwa katika Ibara ya 84 ya Katiba, Spika ataongozwa na kanuni hizi na pale ambapo kanuni hazikutoa mwongozo, basi Spika atafanya kazi kwa kuzingatia Katiba, Sheria nyingine za nchi, kanuni nyingine zilizopo, maamuzi ya awali ya maspika wa Bunge pamoja na mila na desturi za mabunge mengine yenye utaratibu wa kibunge unaofanana na utaratibu wa bunge la Tanzania."

Makinda alisema kwa kutumia kanuni hizo mbili anakubaliana na uamuzi uliotolewa na Ndugai na kwamba suala hilo litaingizwa kwenye kitabu cha uamuzi wa Spika.

"Natumia Kanuni ya 2(2) na 5(1) kusema kuwa uamuzi uliofanywa na Ndugai ni halali na itaingizwa kwenye kitabu cha maamuzi ya Spika," alisema Spika Makinda.

Kauli ya Mbowe
Mbowe jana alilieleza gazeti hili kuwa uamuzi wa Spika ulijielekeza katika jambo lisilo na kanuni inayolisimamia, tofauti na lile la kudharau mamlaka ya kiti cha Spika, lililotolewa maelekezo na Kanuni ya 74 (1).

Kanuni hiyo inasema: "Spika anaweza kutaja jina la mbunge kwamba amedharau mamlaka ya Spika na kisha kupeleka jina hilo kwenye Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge; ikiwa kwa maneno au vitendo mbunge huyo anaonyesha dharau kwa mamlaka ya Spika; au Mbunge huyo atafanya kitendo chochote cha makusudi cha kudharau shughuli ya Bunge au mbunge yeyote anayeongoza shughuli hiyo."


Mbowe anatishia nyauhuyo, kanuni hazijui.
 
Haya nenda wewe unaejua kanuni,tatizo lenu.kufuata mkumbo,haya sasa vikao 5 nje,nini faida yakujifanya unajua sana,lissu sini mwanasheria akate rufaa,

Kama uwezi kuona uonevu wa maspika bungeni dhidi ya wabunge wa cdm si muda mlefu utajiunga na kundi la 'interahamwe'.
 
Kama uwezi kuona uonevu wa maspika bungeni dhidi ya wabunge wa cdm si muda mlefu utajiunga na kundi la 'interahamwe'.
Haizekani Spika aache kufuata kanuni kisa Chadema watasema wameonewa, mimi naona bora ijulikane hivyo kuliko kubadilisha bunge kuwa kijiwe
 
Makinda ni kama bata wa kienyeji anayeharisha bila kujua hapa ni wapi,,,hajui alitendalo bungeni,nakili kuwa uadilifu wa bunge umepungua kutokana na aina mbovu ya uongozi wa spika bungeni,,,baba asiye na mke au mama asiye na mume ni vigumu kujua matatizo ya familia ndo anachokifanya bibi Makinda maana hata nikimuita mheshimiwa hastaili,nikimuita mama hana sifa kama wanawake wenzake

mtu yeyote aliyezaliwa uwanja wa fisi kama wewe lazima atoe matusi ya nguoni kwa sababu anamuona mama yake kama CD, mlaumu mama yako mkuu, hata hivyo hayo sidhani kama yanaweza kumzuia kiongozi shupavu kufanya kazi.
 
Unajua ushabiki mkubwa wa wananchi ndio unaoleta ujinga wa namna hii Tanzania,
Hivi Tanzania ndiyo imekua hivyo? Akili yote na nguvu yote imehamishiwa kwenye kutafuta kura 2015 kwa kuonyeshana ubabe kwa pande zote mbili huku hakuna inayobaki katika kuleta maendeleo. Iwe CCM au CHADEMA mi kwangu naona wote ni vita tu wamekalia na tamaa zimewajaa za kupata uongozi.. Hahaha blessed poor country with large number of dumbheads ambazo hazitaki kubadilika...
Na hii nayo inachangiwa na wananchi kwa asilimia kubwa, badala ya kusimamana kuiambia serikali ikae ifanye kazi wananchi mnakaa mnashabikia hizi vita za kila siku.. We una chama nani alisema? Ujinga huu, mwananchi hatakiwi kukaa kwenye chama flani kama kweli ana upendo na nchi yake bali anatakiwa kuangalia mtu moja moja na kusema ingekua yeye kapewa uongozi wa kuchagua basi achague hao bora hata kama baadhi watatoka CHADEMA na baadhi CCM na sio kusema wote watatoka chama flani sababu ndiyo anachokipenda yeye.
Tusichanganye mapenzi yetu na kazi, hili ni taifa 40M+ kuwaweka kwenye mgongo wako na kuwaongoza suo kiovyovyo hivyo, na watanzania muanze kubadilisha akili zenu zikaw kwenye kuleta maendeleo na sio kushabikia ugomvi kila siku, onyesha serikali wapi inatakiwa kufix na pangeni strategy za kuifanya ifanye hivo ila hata siku moja msikae mkaukubali huu ujinga unaoendelea na mnaufurahia, haha wanafunzi wa sekondari kweli nyie tena wale watumiaji wa facebook tu kila siku mnaweka picha za ajabu na kujiunga page za kijinga afu mnalaumu 95% ya waliofeli wote serikal ndiyo imesababisha huku hata hamjioni kwanza.. Mungu ibariki Tanzania, hii verse tuikumbuke na tuombe kila siku
 
Hayo madudu yote wanayofanya ni mtaji mkubwa sana sana kwa majukwaa ya kuombea kura!CDM wajitahidi kulinda kura zao,pia wajiandikishe kwenye daftari jipya la kupiga kura maana najua itakuwa vita kubwa kupoteza majina ya vijana wengi hasa wa kiume ili wapate wasichana na wanawake watu wazima wawapigie kura waendelee kuiba!watanzania waamke,hasa vijana ujinga umetosha sasa twahitaji mabadiliko anzia kwa diwani,mbunge ndio tupande kwa Rais.....anza mkakati sasa
 
Spika siyo saizi yao cdm wataumbuka mwigulu tu wamemshindwa hadi sasa qmekuwa agenda sembuse spika
 
Back
Top Bottom