CHADEMA wamkana Zitto


Una unavyojichanganya kwa sababu ya chuki yako.
 
i dont trust zito kwa kweli.. honestly kama CDM hawata chukua mapema tutegemee damage kubwa sana.. unless kuwe kuna kitu kingine kimejificha..

HASA HIZI MOVEMENT ZAKE ZA ONE MAN ARMY KWA KISINGIZO CHA MASLAHI YA TAIFA VYAMA BAADAE ..
 

Hiyo mishahara imefeli wapi? Kaahidi kuitaja na akatoa maelezo kuwa ishu sio mshahara ila ishu ni mishahara ikatwe kodi kama watumishi wengine. Halafu eti kisa kuna katiba ndio asizungumzie matatizo mengine yanayoathiri taifa? Acha chuki na nyuso mbili.
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, naomba nikuulize maswali machache .
Taratibu za kiuhasibu zinasemaje kuhusu umiliki wa taarifa iliyokaguliwa na iliyolipiwa;
1.Je ni mali ya mkaguzi ama aliyokaguliwa?
2.Nani anaitolea maelezo pindi shutuma kama hizi za PAC zinapotolewa?
 
Last edited by a moderator:

one bright guy!!!!!likes
 
Last edited by a moderator:
Chama mbali na bunge mbali.

Kama magufuli kuvunja vijiwe vya wafurukutwa wa CCM kando kando ya barabara.
 

Una uhakika Mh Zitto ana MBA?? Au unataka na wewe kujidai wamjua sanaaa ??

Kwani Masters in Economics nayo ni MBA??

Nifahamishee
 
Nape ndo alikuwa wa kwanza kutokwa mapovu... Chadema tumejibu kwa evidence sasa ni jukumu la Zitto kwenda kwa msajili kuthibitisha..

Kwa msajili kufanya nini??? Hizo taarifa zilizo kwa msajili ni barua tu na sio ripoti. Ripoti zinapelekwa na CAG. Huwezi kupeleka ripoti ya audit umejifanyia mwenyewe. Ripoti ya ukaguzi inayo kubalika ni ya CAG tu! Na CAG anasema yeye hajakagua chama hata kimoja sababu hana budget
 
Mnataka kutota kwenye mambo ya KATIBA MPYA na kutuhamishia huku. Zitto anajua anachofanya na CHADEMA wanajua nini Zitto anafanya au anataka kufanya.

Tuwaachie wenyewe watajua cha kufanya mimi na wewe ni porojo tu bora kuongelea Katiba mpya yenye maslahi yetu. Kama ni Kodi kutafunwa mbona tunaona hata huku uswahilini viongozii wanavyozitafuna bila uwoga?
 

Uko sahihi mzee. Na CAG amesha sema hajakagua sababu hana budget. Kwa kutatua tatizo hili lazima bunge lipitishe budget. Hapo tunarudi tena pale pale. Bungeni ccm ina wabunge karibu 80% na ccm inatumia 80% ya ruzuku. Hao hao ccm hawajafikisha hesabu zao kwa sheria ya zamani wala mpya. Je watapitisha kweli hii budget?
The same goes for all parties maana wabunge wote walichangiwa campaign na hizo hela za ruzuku. Watakubali kukaguliwa?
 
Zitto ni kituko. mwanznoni ilitaka kumfagilia kama kikwete alivyo tukoga mwanzoni, lakini kama una upana wa kutosha wa kufikili katika kichwa chako unagundua zitto ni mtu wa aina gani! jamaa anazingua, blah blah blah
 
Tangu Zitto atake hesabu za Chadema zikaguliwe, chama chake kimemjengea uadui wa ghafla. Kwani hesabu kukaguliwa kuna ubaya gani? mnaficha nini kwenye hivyo vitabu?
 

Mkuu Chamviga, kwanza napenda kujiweka wazi kuwa sina chuki na Mh. Zito, ila mtu alieamua kuwa mwanachama lazima awe na mitazamo inayofanana na wanachama wenzake na anapokuwa tofauti na wenzake ni lazima atiliwe shaka na watu kuwa makini na kila jambo alifanyalo na sio kuamini kiraisi kila analolisema.
N upande mwingi Mkuu Chamvinga nadhani uwezo wako wa kutambua jamboi kwa haraka ni mdogo na huwa unaongozwa na matukio. Na naomba nikuulize swali moja Je unajua majina ya watu walioficha pesa Uswiss ambao Mh. Zito aliaidi kuwataja?
 
Pengine anayo tabia ya kudandia wakati mwengine visivyo muhusu, lakini hapa kuna kujikanganya na sheria/utaratibu, unatakiwa uheshimike wakati wowote. Vyama vya siasa vina taratibu zake na sheria zao za matumizi hilo linasimamiwa sijui na msajili na wakaguzi kama CAG or independent auditors to do with party finances law.

Kamati ya PAC hayo ya paragraph one haya wahusu sana wao kazi yao ni kukagua matumizi ya hela serikali inazotoa kwenye vyombo vya umma. Sasa kesho wanaweza amua embu tuangalie pahala fulani hela imetumikaje hapo ndio wanamfata mhusika as in this instance ambae sijui ni CAG or msajili bwana embu tupe ripoti ya vyama tuangalie ndio hapo labda sina au hii hapa.

Kwa hivyo alichosema Zitto CAG hana hizo ripoti walizoomba kulikoni, CAG au msajili angewepa kusingekuwa na kelele zote. Kwakuwa zinahitajika kwenye kamati kwa ukaguzi shurti wapeleke tu lakini sidhani kama kuna mtu mwenye nia mbaya unless watu hawajiamini wenyewe na wanajistukia tu (by the way thats how PAC works where i am, hawa wahuku ndio noma kila kukicha makatibu wizara kitimoto)
 
Z.Z.K V.S W.P.S ngoja nichukue pop corn zangu nisubirie hii movie.
 
Hesabu huwa zinapelekwa kwa CAG kwa barua,
na zikishakaguliwa CAG wanaandika barua
na hati ya kukaguliwa;

Watuoneshe hati za kukaguliwa kutoka kwa CAG
vinginevyo hayo wanayosema ni sawa na hadithi
njoo na uongo kolea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…