CHADEMA wamkana Zitto

CHADEMA wamkana Zitto

Michango mingi ya wana Jf wanaishambulia sana Cdm Kama ni Chama pekee kilichtajwa na Zitto.
Na hii inaonyesha wazi kua Cdm ndio mlengwa na ata Cdm wakifutiwa hii Ruzuku Mimi sitoshangaa Kwani Huu mpango ulikuwapo Siku nyingi sana Kilichokua kinatafutwa ni namna ya njia ya kupitia kufanya hivyo!

Tusubiri tuone mwisho wake! Lakini Cdm walishajiandaa kwa hili Siku nyingi na wanajua ipo Siku Ruzuku itafitwa!

Kwa hiyo Zitto yuko kwenye mpango maalum?
 
hivi Zitto ambae ni naibu katibu mkuu wa CDM anamuomba nani hesabu za chadema? Zitto anakaa kwenye vikao vya sekretataliati ya chama na yeye ndie aliepaswa kupeleka hesabu hizo huko kunakotakiwa kama kweli hazijapelekwa ili ziweze kufanyiwa ukaguzi sasa kama alikua anajua sheria na hakuwashauri wenzake kufanya au hakuchukua jukumu yeye kama naibu katibu mkuu wa chama anatuambia sisi wengine ambao ni wananchama wa kawaida wa chadema kwamba chama hakijafanyiwa ukaguzi ili iweje? na kama kuna mtu alimzuia kutekeleza wajibu wake huo kwenye chama mbona hajawahi kuuuambia umma wa wanachadema ili tumsaidie?? suala la fedha ni nyeti na linaweza kuchafua image ya chama kwasababu ya upuuzi wa zitto na kutafuta sifa binafsi au kufanya kazi ya ccm kwa kuichafua chadema ionekane yenyewe ni kama ccm ili Watanzania wakate tamaa na waendelee kuichagua ccm inashangaza kuona hata magazeti ya mafisadi kama Rai na gazeti la uhuru la ccm yanaishambualia chadema wakati na ccm imetajwa haya yote yanafanyika kwasababu ya uhuni wa Zitto kukiweka chama chetu kwenye kapu mmoja na ccm wakati anajua kabisa kwamba chadema hesabu zake ziko kwa msajili na ametoa barua kuthibitisha hilo.Zitto anaekushauri anakupotosha sana na mwisho wake utakua kama Mrema Lyatonga.

Umesema Vema!
 
watu vigeu geu hawafai kuwa viongozi
tunataka watu wenye misimamo katika kazi zao
Bora magufuli awe rais kuliko Zito kuwa mwenyekiti au katibu wa Chadema.

alishawahi kusema hagombei ubunge, sa hivi anasema atagombea tena.

njaa mbaya sana.
 
hapo ndio tunaposema Mr Chauma kwamba Mada ya Zitto ilikuwa nzuri sana na angesaidia nchi na kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za umma kama yanafanywa na vyama lakini kwa sababu watu kama nyie best friends wa zitto munakuja hapa jamvini with globalized allegations against chadema inaonekana ndio lengo la Zitto kuspin mada nzima na kuelekeza vita kati yake na Chadema , Kwani ni Komu tu alirespond maneno ya mwenyekiti Ruhumbiza katibu wako mkuu wa zamani alijibu Nape alijibu sasa kwa nini kujibu kwa KOMU kuwe ndio mada, Zitto hatoki hapa mpango wake wa kuchafua chama chake siku zotte umejitokeza wazi zinapokuja mada za kitaifa inazungumziwa billion 9 ya chadema tu lakini bilioni 41 ya vyama vingine imefukiwa kwa nini wananchi wasifikirie zitto anaajenda aliyotumwa na mabwana zake atashindwa kwa vile pepo lake chafu
Point of correction Mie sio Mwanasiasa na pia sina ukaribu wowote na Mh.Zitto.
Nyie wana CDM ndo mgeuza hoja ya Zitto kua ni vita kati yake na Dr ndo maana kambi rasmi ya dr inatoa povu sana.
Hoja ya Tume ya Zito ni nzuri kwa maslahi ya UMMA tatizo tumekua wazalendo wa vyama kuliko wazalendo wa nchi yetu.
Tatizo liko hivi Komu yeye anapingana na hoja ya Zitto kisiasa aonyeshe hati ya ukaguzi kama kweli anataka kujisafisha.Kumbe mlitaka Zitto katika vyama alivyovitaja angeiondoa CDM kisa yeye Naibu Katibu Mkuu?
 
Umesema Vema!
hivi ni Zitto kama Naibu Katibu Mkuu au Zitto wa PAC? Mnachanganya mambo ndo watanzania tunashindwa kutofautisha ile haikua hoja ya Zitto ni hoja ya kamati PAC.
Mnaijua hiyo kamati kazi zake? tuache kamati ifanye kazi yake,ndo yale yale kamati ya Richmond ikaonekana ni vita kati ya Mwakembe na Lowasa.
 
Waufuasi wa CHADEMA msiwe vichwa maji kiasi hicho! Actually, tamko la Zitto ni la kuungwa mkono na CHADEMA kwa vile Zitto aliyasema aliyoyasema akijua kabisa kuwa CDM wana record nzuri na zilizokaguliwa.

Anachotaka kufanya Zitto ni kuipa umaarufu CDM pale itakapobainika kuwa, out of all political parties, ni CDM pekee kilichokuwa na hesabu nzuri. Nyie vipi? Mpaka mshikwe mkono? Zitto anajua anakula na kipofu hawezi kufanya hivyo.

CDM bana! mteteweje?

Waliotakiwa kumuona Zitto kama mnafiki ni vile vyama vyenye mahesabu mabovu.

Au mnawasi wasi na segregation of duties ndani ya chama chenu?

Msiwe na wasi wasi, ile issue ya mkopo wa DR Slaa ilifuata taratibu zote!

Inawezekana hivyo lakini kwa asilimia chache sana Maana kumekua na vitu vingi vinazuka na baadhi vinailenga Cdm!
Tusubiri tuone!
 
hivi ni Zitto kama Naibu Katibu Mkuu au Zitto wa PAC? Mnachanganya mambo ndo watanzania tunashindwa kutofautisha ile haikua hoja ya Zitto ni hoja ya kamati PAC.
Mnaijua hiyo kamati kazi zake? tuache kamati ifanye kazi yake,ndo yale yale kamati ya Richmond ikaonekana ni vita kati ya Mwakembe na Lowasa.

Ungesoma maelezo ya Mkuu Igwa ungepata kuelewa vizuri! Na kwanini hoja zenu Jf Na magazeti mnaishambulia sana Cdm?
 
Political Conspiracy, Political sabotage, Political denial, Political clandestine, and the likes....

...Kutoka duru za usalama wa vyama vya siasa nchini ...zinaeleza kuwa kile chama cha siasa kinachunda kambi lasmi bungeni kimefanikiwa kukilaghai chama Tawala kwa kutengeneza mgogoro wa uongo wa Naibu Katibu ... wa chama hicho ("Zi..o) dhidi ya baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho. Mgogoro huo wa uongo umelenga kuwanasa viongozi waandamizi wa chama cha Tawala kwa kumuamini "Zi..o kuwa anaweza kutumika kukihujumu chama chake machoni pa watanzania kama ataamua kuanzisha migogoro ndani ya chama chake ama kujitoa kwenye chama hicho na kujiunga na chama kingine cha upinzani au chama cha tawala. Viongozi hao wa tawala wako tayari kufadhili hiyo mipango "fake" ya kambi lasmi maana hawataki kujishughulisha na kuwatatulia kero raia. Kwa taarifa zilizopo wameisha anza kujifadhili ili waondolewe kwenye madaraka bila kujua.

...Kwa kujua ushawishi alionao "Zi..o kwa baadhi ya vijana na wazee kwenye siasa za nchi..."Zi..o katika kutekeleza majukumu yake aliyopewa na chama chake alifanikiwa kuunda kikundi kilichooneka cha Uasi ndani ya Chama (MASALLIA/wassalitii). Rejea threads nyingi za hapa jamvini zinazoelezea masuala haya.

...Kikundi hiki kilifanikiwa kuitia msukosuko 'fake' Chama cha kambi lasmi hasa jumuiya yake ya vijana. Msukosuko Ule ulilenga kuwawawezesha wale waliotuhumiwa kuwa wasaliti (Jully na Msherra) wafanikiwe kupokelewa vyema na tawala mara baada ya kutimuliwa. Baadaye iligundulika wasaliti hawa kabla ya kutimuliwa walishaanza kupokea 'mlungula' kutoka kwa tawala kupitia viongozi wa wake. Pia katika mlungula huo wasaliti walikatwa asilimia 80 ya kiasi walichopangiwa kupewa na Tawala. Na aliyefanikiwa kufaidi kiasi hicho cha makato hajajulikana bado... Mpango huo ulifanikwa kwani walipokelewa vyema na viongozi wa juu wa tawala.
Mgogoro huu 'fake' ulisaidia kuisahaulisha Tawala kutekeleza kazi zake kama chama tawala kinachoongoza serikali kwani kula kuku kwa mrija kuliongezeka mara dufu kwa viongozi wake waandamizi...

Hivi karibuni...chama hiki matata...kimegundua tawala wanaanza kustuka na kutambua majukumu yao....kwa raia.
Sasa ili kuwasahaulisha tena tawala majukumu yao...wameibuka na mbinu mpya ya kutumia karata yao ya turufu "Zi..o kwa kumuagiza azindue zengwe la kuhoji uhalali wa matumizi ya ....katika vyama....

Kwa kifupi kwenye kambi lasmi hakuna mgogoro...na hao waliotimuliwa hivi karibuni au hata hapo zamani (walioamia vyama vingine) bado bado wanafanya kazi za kambi lasmi.



Mytake
Watu wako kazini, ukiendelea kulala utakuta mwana si wako tena.
 
Kama hii taarifa ya Bw. Anthony Komu ni sahihi basi Zitto Kabwe atakuwa ana matatizo makubwa sana kwenye ubongo wake. Kwamba haelewei haya ndani ya chama chake hadi kukiingiza kwenye kapu la kutaka kikatiwe ruzuku? Vipi kwa NCCR Mageuzi ambao nao taarifa za ukaguzi wake zinaonekana kufika kwa CAG na msajili wa vyama? Right, inawezekana analenga kile anachokiita maslahi ya taifa lakini hata kutaka kujiridhisha kwa taarifa anashindwa?

Zito hapo kachemka na siku zote ni mbinafsi mtafuta maslahi binafsi mchawi
 
Point of correction Mie sio Mwanasiasa na pia sina ukaribu wowote na Mh.Zitto.
Nyie wana CDM ndo mgeuza hoja ya Zitto kua ni vita kati yake na Dr ndo maana kambi rasmi ya dr inatoa povu sana.
Hoja ya Tume ya Zito ni nzuri kwa maslahi ya UMMA tatizo tumekua wazalendo wa vyama kuliko wazalendo wa nchi yetu.
Tatizo liko hivi Komu yeye anapingana na hoja ya Zitto kisiasa aonyeshe hati ya ukaguzi kama kweli anataka kujisafisha.Kumbe mlitaka Zitto katika vyama alivyovitaja angeiondoa CDM kisa yeye Naibu Katibu Mkuu?

Asubiri mgombea Binafsi kwenye katiba mpya!
 
Ungesoma maelezo ya Mkuu Igwa ungepata kuelewa vizuri! Na kwanini hoja zenu Jf Na magazeti mnaishambulia sana Cdm?

Na hapo ndipo utakapogundua ajenda binafsi nyuma ya huu mpango
 
Point of correction Mie sio Mwanasiasa na pia sina ukaribu wowote na Mh.Zitto.
Nyie wana CDM ndo mgeuza hoja ya Zitto kua ni vita kati yake na Dr ndo maana kambi rasmi ya dr inatoa povu sana.
Hoja ya Tume ya Zito ni nzuri kwa maslahi ya UMMA tatizo tumekua wazalendo wa vyama kuliko wazalendo wa nchi yetu.
Tatizo liko hivi Komu yeye anapingana na hoja ya Zitto kisiasa aonyeshe hati ya ukaguzi kama kweli anataka kujisafisha.Kumbe mlitaka Zitto katika vyama alivyovitaja angeiondoa CDM kisa yeye Naibu Katibu Mkuu?
ha ha inasemekana wewe ni Mr chauma usijiume ume Zitto kataja kwenye TV channel ten kuwa mtu asijeakafikiri yeye kuwa chadema ndio atawatetea yeye anafanya kazi ya Umma, maneno yake hayo ya kupinpoint chama kimoja bila kutaja uUPPT,CCM wala NCCR tayari katengeneza scenario kwa hiyo wewe kama mtu wa zitto kwa maneno yako hapo juu tunakuambia Zitto keshamwaga mchuzi kwenye mchanga hana akili huwezi kutarget chama kimoja kati ya tisa vinavyopata ruzuku, uzalendo wake hapo haupo zaidi ya personal vendetta, lakini siku zote ameishia kulia na kukimbilia kusema anatengwa kwa sababu huwa anaanza na mguu mbaya amemuingiza Dr Slaa wakati yeye ni sehemu yake watu wanajiuliza hata wewe best friend uliyelia sana mbatia akakusamehe umetake side kwa hiyo zoezi limekufa kwa sample ndio ilivyo nchi nzima mjadala umekuwa centred kati ya Zitto na chama chake na katibu mkuu wake kwa jinsi alivyostage case yake unaona sasa ambapo angengoja waitwe hiyo tarehe 25 akawasulubu huko kama wana makosa lakini kupreempty public ni ujinga usio kifani
 
Political Conspiracy, Political sabotage, Political denial, Political clandestine, and the likes....

...Kutoka duru za usalama wa vyama vya siasa nchini ...zinaeleza kuwa kile chama cha siasa kinachunda kambi lasmi bungeni kimefanikiwa kukilaghai chama Tawala kwa kutengeneza mgogoro wa uongo wa Naibu Katibu ... wa chama hicho ("Zi..o) dhidi ya baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho. Mgogoro huo wa uongo umelenga kuwanasa viongozi waandamizi wa chama cha Tawala kwa kumuamini "Zi..o kuwa anaweza kutumika kukihujumu chama chake machoni pa watanzania kama ataamua kuanzisha migogoro ndani ya chama chake ama kujitoa kwenye chama hicho na kujiunga na chama kingine cha upinzani au chama cha tawala. Viongozi hao wa tawala wako tayari kufadhili hiyo mipango "fake" ya kambi lasmi maana hawataki kujishughulisha na kuwatatulia kero raia. Kwa taarifa zilizopo wameisha anza kujifadhili ili waondolewe kwenye madaraka bila kujua.

...Kwa kujua ushawishi alionao "Zi..o kwa baadhi ya vijana na wazee kwenye siasa za nchi..."Zi..o katika kutekeleza majukumu yake aliyopewa na chama chake alifanikiwa kuunda kikundi kilichooneka cha Uasi ndani ya Chama (MASALLIA/wassalitii). Rejea threads nyingi za hapa jamvini zinazoelezea masuala haya.

...Kikundi hiki kilifanikiwa kuitia msukosuko 'fake' Chama cha kambi lasmi hasa jumuiya yake ya vijana. Msukosuko Ule ulilenga kuwawawezesha wale waliotuhumiwa kuwa wasaliti (Jully na Msherra) wafanikiwe kupokelewa vyema na tawala mara baada ya kutimuliwa. Baadaye iligundulika wasaliti hawa kabla ya kutimuliwa walishaanza kupokea 'mlungula' kutoka kwa tawala kupitia viongozi wa wake. Pia katika mlungula huo wasaliti walikatwa asilimia 80 ya kiasi walichopangiwa kupewa na Tawala. Na aliyefanikiwa kufaidi kiasi hicho cha makato hajajulikana bado... Mpango huo ulifanikwa kwani walipokelewa vyema na viongozi wa juu wa tawala.
Mgogoro huu 'fake' ulisaidia kuisahaulisha Tawala kutekeleza kazi zake kama chama tawala kinachoongoza serikali kwani kula kuku kwa mrija kuliongezeka mara dufu kwa viongozi wake waandamizi...

Hivi karibuni...chama hiki matata...kimegundua tawala wanaanza kustuka na kutambua majukumu yao....kwa raia.
Sasa ili kuwasahaulisha tena tawala majukumu yao...wameibuka na mbinu mpya ya kutumia karata yao ya turufu "Zi..o kwa kumuagiza azindue zengwe la kuhoji uhalali wa matumizi ya ....katika vyama....

Kwa kifupi kwenye kambi lasmi hakuna mgogoro...na hao waliotimuliwa hivi karibuni au hata hapo zamani (walioamia vyama vingine) bado bado wanafanya kazi za kambi lasmi.



Mytake
Watu wako kazini, ukiendelea kulala utakuta mwana si wako tena.

We are not fools we are watching mind you
 
We are not fools we are watching mind you
You are very right....the post is right here targeting only Great Thinkers...while neglecting the pure Fools spectators and fools themselves.
 
hapo kwenye red, kwa mfano mtu akienda kwenye vyombo vya habari na kukutuhumu kuwa wewe ni mwizi je, utaenda polisi kuthibitisha au kukanusha kama wewe si mwizi au utaenda kwenye vyombo hivyohivyo alivyotumia aliyekutuhumu ?

Kama unataka publicity unaenda kwa vyombo vya habari lakini kama unataka kuwa clean na ku maintain status na personality you go for legal stage!!!
 
Maneno mengi ya nini. Kama ripoti ipo si kupeleka tu ukiambatanisha na barua iliyokubali kupokea na kufanyiwa kazi kwa riooti husika!!!!!!???????

Halafu kwa nini anachukuliwa personally wakati ni mwenyekiti wa kamati????!!!!!
Well said mkuu
 
Back
Top Bottom