Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,609
- 93,436
Huku sasa nimkutafutia Nape ugonjwa wa shinikizo la damu kabla ya umri wake, hawa mapoyoyo wapunguze kuropoka, hivi kama alishindwa kufanya debate ambayo si ya kimahakama na Tundu Lisu juzi star tv sasa akisimamishwa kizimbani si ndio atajinyea!!??