CHADEMA wamfungulia kesi Nape

CHADEMA wamfungulia kesi Nape

Msemaji wa nape?

Unakumbuka alichosema Nape?, ushahidi anao wa kutosha na kama chadema wanabisha basi wampeleke mahakamani na ndiko atawaumbua chadema kwa kumwaga ushahidi huo. Mimi si msemaji wa Nape bali nimenukuu maneno ya Nape.
Tafadhali usinitie shombo ya CCM maana hata wazazi wangu waliokufa huko waliko wakijua nina shabikia CCM basi watakaa ndani ya makaburi yao badala ya kulala.
 
Ndugu Mahesabu with all due Respect sidhani kama hao Wanasheria wa Pro CCM uliowaorodhesha kama unawafahamu vyema.

1. Said Elmaamry - Huyu yuko bize sasa hivi kuhakikisha Mzee mwenzake Idd Simba haendi jela kwa kesi ya kutolewa sadaka na CCM wenzake. hapa usitegemee msaada wa Elmaamry.

2. Nimrod Mkono - huyu kila mtu anamfahamu vyema hana muda wa kujihusisha na kuharibu credibility yake kwenda kumtetea mtu ambaye inajulikana wazi huwa anaanza kuongea halafu ndio anafikiri. Mkono yeye anadeal na wezi wakubwa kabla hawajaiba yeye anawapa ushauri wa kisheria namna ya kujidefend kama kikinuka, mfano hai Rostam Aziz na Dowans yeye kila sehemu eti ana Power of Attorney lakini si mmiliki!!

3. Masumbuko Lamwai - Huyu ni sawa anaweza kwenda kusimama Mahakamani maana zama za kitabu chake zilishapita na mtu ukimuuliza kama kuna Wakili anaitwa Lamwai sidhani kama atakujibu, kwa kifupi Lamwai sasa hivi ni mahiri na gwiji la kunywa pombe na siyo sheria.
 
Last edited by a moderator:
suala liko mahakamani maruuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuufuuuuuuuuuuuku kulizungumzia
 
Yaan ukiangalia cv za wote walioko cdm hutaamini, mnyika alidanganya amemaliza masters, kumbe alisoma bba ya evening na akashindwa mwaka wa pili, ndio shule ikaishia hapo,, leo hii kuongea tu ndiko anawamaliza wasomi . Je mnyika akapewa uwaziri atawaongoza nani? Jaman si kila kingaacho ni dhahabu, kipya kinyemi, raisi ghali,, watanzania hapa cdm ni maslai tu na walewale, wote walikimbia vyama ndio wakaona cdm, ndio maana tabidi wakope mwanasheria kutoka ccm, ccm wako kwenye utendaji wao wako barabarani wanachangisha ili wakanu nue mahelkopta wakati watanzania wako kazini.
 
Nape rebuffs Chadema demand for apology
BY FELISTER PETER,
28th August 2012


headline_bullet.jpg
Dares party to go to court
headline_bullet.jpg
Claims to have evidence to prove claims



napechademafundsulaya.jpg

Nape Nnauye


CCM's ideology and publicity secretary Nape Nnauye (pictured) yesterday refused to apologise to Chadema, advising the party to go to court because he has proof of what he had said about the party's fund-raising tactics. Nnauye, who is blamed for falsely accusing Chadema of obtaining funds from foreign donors, said his party's lawyers are now preparing a demand note for Chadema secretary general Dr Wilbroad Slaa to apologize to him and pay a compensation amounting to 3bn/-.

According to Nnauye, Dr Slaa issued a misleading statement during the 2010 general elections accusing CCM of importing a container full of weapons and ballot papers. Nnauye's response come amid Chadema's seven days ultimatum for him to for apologise and pay 3bn/- compensation for falsely accusing it of obtaining funds from foreigners and soliciting donations from poor Tanzanians while it has already received billions of shillings from foreign donors for its operations.

"I have all the evidence to prove my statements…I have received their demand note but I am not going to apologise… let's meet in court," said Nape, adding that Dr Slaa's domand note will be ready in seven days. Nape said what he told the media on August 12, this year, is the CCM stand since he is the party's official spokesperson.

He said if Chadema fails to file a case against him, he would publicise a confidential contract which he claimed was in CCM possession.
On Sunday, Chadema gave seven days to Nape to apologise and pay 3bn/- compensation, threatening to sue him if he failed to comply. It demanded that he use the same channels he employed on August 12, this year, to apologise, adding that the compensation demand is meant to punish him.

Addressing a public rally during Operation Sangara in Kilosa district, Morogoro region, recently, Slaa dismissed Nape's allegations, saying they aimed at tarnishing Chadema good image. Addressing journalists on August 12, this year, Nape claimed that his party had sufficient evidence to prove that Chadema had received billions of shillings from its foreign donors to fund the party's ongoing 'Movement for Change campaigns.



SOURCE: THE GUARDIAN



0 Comments | Be the first to comment


 
Hii kesi inaweza kuwa ngumu sana kwa upande wa Nape kwa sababu kwenye madai yake (yeye Nape) ni kwamba kuna nchi za nje zinazotoa fedha kwa CHADEMA kwa makuliano ya kuuziwa/kupewa rasilimali za Tanzania. Hapa issue sio kupekea pesa, ila atatakiwa athibitishe beyond reasonable doubt kuwa kuna nchi zimetoa fedha kwa masharti wa kupewa rasilimali za Tanzania. Sasa itakuwaje kama hizo nchi zitakataa?
Hapa sio suala la nchi kukataa ila katika akili ya kawaida ambayo haihitaji hata cheti cha sheria hakuna nchi yeyote duniani inaweza kuingia mkataba wa namna hiyo.Hizo ni propoganda za siasa ambazo anatakiwa athibitishe sasa.Kumbukeni ya Mwembeyanga ya mafisadi waliapa kwenda mahakamani watajwa je walienda? CDM hawakurupuki mtaona muda tunao.
 
Huo pia ni ushaidi kwamba CDM ni chama cha vitendo, Si kubwabwaja maneno! Big Up CDM fundisha watu kuchukua hatua!
 
kama nape atakuwa na ushahidi wa ukweli na kuzibitika kuwa CDM wana vyanzo vingine vya mapato badala ya sisi walala hoi. nitaondoka cdm ila ukweli ninaujua kabisa nape amekwisha
 
Hapa marando,pale prof safari na kule tundu lisu.duhh atatoka mtu kweli?
Tehe tehe tehe!! Lets see and wait another episode
 
Nape ameshikwa pabaya,alidhani watu wanatania,sasa ni wakati wa yeye kuthibitisha yale yote aliyoyasema na mbaya zaidi pia azitaje hizo nchi na kwa ushahidi,du!Safari hii kazi ipo.
 
Tatizo Hakimu Ni CCM
Mkuu ondoa wasiwasi, haijalishi kama jaji atambeba ama la, kwa kuwa kesi zinaendeshwa hadharani na watanzania siku hizi tunaakili ya kupima ukweli, tutapima ushahidi na kutoa hukumu yetu ya kijamii hapa JF.
 
Ni wakati wa Chadema kuumbuka. Nape atakuja na ushahidi wa kutosha.


CDM awakurupuki hata kidogo, kama ingekuwa kweli wasingefunguwa kesi coz issue yenyewe ilishapoa, lakini wameamua kudili nayo na ukimsikiliza Nape matamshi yake utangundua hana ushaidi kwani kuna siku mtangazaji alimbana kwa maswali alikuwa anabwabwaja tu
 
Mahakamani point tu, bas mpeni yule anaye kariri-mnyika,, kama tutawalea watu kama myika na wenje,lema ,mbowe,slaa aliyekimbia upadiri ,hakika baadaye tutaweke mikono kichwani, angalien historia zao kwanza ndo mongee jamani. Achani kukurupuka! Think critically please!
 
Back
Top Bottom