Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Mlianza vizuri, mlikuwa mnapiga mbio vizuri nani amewaroga? Nani kawadanganya kuwa hoja zenu nzuri ambazo mlizipeleka ikulu pasi kupata baraka za wanachama wenu..zilibarikiwa? mkafika, mkakaa kwenye makochi na kunywa gahawa na hapo ile nguvu yenu ikapotea, ikatoweka..Ila tukio hili mlilipa sifa na sababu nyingi, "siasa za kisasa, siasa za urafiki, siasa za kutokuchukiana'' bila ya nyie kujua…
Bila aibu ''aliyekuwa rais wa wananchi'' ambaye akiwa msibani hamuangalii hata jirani yake!!akatamka ‘eti Mheshimiwa Rais watu wanasema mimi nakukwepa!! Nikukwepe kwa sababu gani??...ulivyosema sentensi hii Kikwete akafurahi akajibu ni maneno ya akina michuzi…saa ile roho mtakatifu wa woga na nidhamu ya kufa mtu akakushukia, ukawa mtu mpya..'coward'….Kikwete kwa mara ya kwanza tangu ameingia ikulu akalala usingizi akaota, chama kile kilichosemekana kinatisha kikawa mwisho wake saa ile!
Ni muumini wa siasa za kukaa chini na kuelewana , ni muumini wa siasa za hoja, ni muumini wa siasa za aina ya Lema, ni muumini wa saisa za akina Zito, Ni muumini wa siasa kali na za vurugu…..Lakini uumini upi utumike wapi ndipo huwa sieleweki! CCM hii si ya siasa za kukaa chini na kuelewana, ukifanya hivyo inakula kwako! Maalim Seif anajua hivyo!
CCM hii si chama tawala ni wakoloni weusi, kamwe hawako kwa ajili ya maslahi ya nchi hii…Sahau kuhusu Katiba,dola na kila aina ya vihonjo vinavyompa Rais mamlaka ya urais na utiisho wa urais. Rais akiwa hakubaliwi na kundi fulani dogo tena likiwa na support kubwa ya wananchi hana nguvu hizo, hana mamlaka hayo! Chadema mmeuza haki yenu na sasa mnashangaa wakati nafasi ya ukombozi ndio hii!
Ni Chadema nyie mliojipambanua kuwa ni wakombozi, japo mnatumia slogan ya ''nguvu ya umma'' pengine ngau kwa muda mfupi mngetumia slogan ya Mtikila '' saa ya ukombozi ni sasa'' japo jamani mwee semeni jambo nchi itikisike…magazeti yauze!!
Chadema inahitaji akili kidogo tu kuwa mgomo wa madaktari ilikuwa ni funguo yenu ya Kikwete(the chief architect wa Richmond) kujiuzulu! Ilikuwa ni nafasi ya kuhamasisha waalimu, nafasi ya kuwaleta na kuwakumbuka wazee wa afrika mashariki….ni nyakati nzuri mngewakumbuka ''wahanga wa bodi ya mikopo'' vyuo vikuu, nafasi ya kuwaunganisha vijana wa mbeya , arusha na DSM wanaojengewa masoko ambayo hawawezi kupanga.
Wakazi wa Mabwepande na kwingineko ndio ilikuwa nafasi… Niseme nini juu ya wananchi wa sehemu mbalimbali kwa nafasi zao ambao wamekata tamaa ya kudai haki zao kwa sababu tu ya vitisho kama vya Pinda? Hivi mkazi wa Gongo la Mboto ambaye analipwa fidia ya laki tano kwa nyumba ya vyumba nane asingekuwepo kwenye maamdamano? Btw mna orodha ya wanaodhulumiwa hapo ofisini kwenu?
Hivi wanaotoa sifa kwa chama hiki humu wanaona haya? Au mna mawazo ya kupiga kura mwaka 2015 na kushinda chini ya hao hao mnaowapa dhamana ya kubadili katiba (impossible within three years)!! Unrealistic!) kwa cizazi vingi jijavyo? Na aliyewaambia Katiba itafanikiwa kabla ya 2015 ni nani? Waizir wenu wa katiba ni nani? Anajua nchi zingine imechukua miaka mingapi?
Hivi lile wazo la kuwa piganieni kwanza tume ya uchaguzi nani aliliua? Au hamkunisikia japo kidunyu kuwa , if you are serious then sticky on changing election committee…tunataka tume yenye kila aina ya watu na inayosimamiwa na chombo huru!
Aliyewaroga kubadili katiba yote ni nani? 2015 ka...kuwa..waambieni wananchi CHADEMA itatoa mwanya wa CCM iendelee ili imalize mchakato wa katiba, by that time Mbowe atakuwa Tajiri kama Rostam!! Acha niseme! Maana kuna watu mnatoka povu kuitetea chadema ambayo lina wajanja fulani wanaotafuta pesa kwa nguvu zote…Mbowe huyu na Kikwete watoto wa Night Club ambao wamewaingiza mkenge akina Slaa na akina Warioba, huku mkitoa statement kuwa Zito ndio eti aliyefanikisha mazungumzo!
Mkasema na kuanika uongo huu kwa watu ni dhambi!!Chadema haina nguvu, kwani bado inajitafuna kashata na kucheua kahawa ya ikulu! Haina nguvu kwa aibu, kwani imepoteza nuru hii na utukufu huu! Chadema hii leo inagopa kusu-pport maandamano eti Mtaambiwa chama cha vurugu!
Chadema wanaogopa kumuua Nyani, wameishamwangalia usoni! Na kucheka naye? Na waumini wao wanawachekea na kujipa matumaini hewa kwa sababu hamna matumaini mengine…hawataki kuwaambiwa ukweli viongozi wao, eti wakisema ukweli watawaudhi na kuonekana wasalitiKama ambavyo chadema inavyoogopa maandamano na migomo leo hii kwani itamuudhi ‘mwenyeji wao' kikwete ndivyo ambavyo chadema supporters wanaogopa kukosoa uongozi wao kwani watawaudhi eti wameonyesha mafanikio ya kuleta wabunge wengi sana-23!Au ni hivi….wakiandamana nani yuko tayari kwenda Jela?
Hivi uongozi wa chadema leo hii ukaenda jela,mnajua athari zinazotokea kwa familia chache sana zinazokiunda chama hiki, Fikiria chama ambacho viongozi ni mtu, mkwe, shemeji, mpwa, mama, mtoto, mjomba, shangazi na girlfriends….halafu wakakamatwa na kuwekwa ndani!! Chama kinakufa….
Watanzania this is just a reminder, you have to put your trust kwenye realistic! Hakuna ukombozi kwenye ballot box…..ILA nchi ingetikisika kwa migomo mingi iliyoasisiwa na chama hiki mnachokiabudu, basi leo Chadema kingeishi kama next ruling party! Sio kwa hali ya sasa ambayo wako kama hawako, huku madakatri wakirudi na na kureport makazini huku hawafanyi lolote…wamekosa support, wamekosa nguvu ya wale waliotegemewa kuwa suppport, Wale waliosema wanaweza!
Kesho mtataka madaktari wawa support kwenye maandamano yenu yalee! Never! Madaktari hawatakuwepo! Funny! Siasa inalipa jamani,kwani wachungaji wangapi wanasema wanaponyesha na kumbe sio? Au lawyers wangapi wanasema utashinda kesi hali akijua utashindwa? Kwa nini chadema isiseme wazi kuwa ni NGO na kijiwe cha jobless na opportunist ili tutafute tumaini lingine?
Kwa sisi wenye akili ''najisifu ngaa kidogo'' kwa nini tusisifie CCM kwa siasa zake za kuharibu nguvu na bongo ya wapinzani kwa utashi wa wapinzani wenyewe? Whoever said CCM is a group of idiot and moron was wrong, Is a group of smart people who are brilliant and can play with people's mind for their own benefit! Yes chadema has been played and they are now like ‘candle in the wind'
Bila aibu ''aliyekuwa rais wa wananchi'' ambaye akiwa msibani hamuangalii hata jirani yake!!akatamka ‘eti Mheshimiwa Rais watu wanasema mimi nakukwepa!! Nikukwepe kwa sababu gani??...ulivyosema sentensi hii Kikwete akafurahi akajibu ni maneno ya akina michuzi…saa ile roho mtakatifu wa woga na nidhamu ya kufa mtu akakushukia, ukawa mtu mpya..'coward'….Kikwete kwa mara ya kwanza tangu ameingia ikulu akalala usingizi akaota, chama kile kilichosemekana kinatisha kikawa mwisho wake saa ile!
Ni muumini wa siasa za kukaa chini na kuelewana , ni muumini wa siasa za hoja, ni muumini wa siasa za aina ya Lema, ni muumini wa saisa za akina Zito, Ni muumini wa siasa kali na za vurugu…..Lakini uumini upi utumike wapi ndipo huwa sieleweki! CCM hii si ya siasa za kukaa chini na kuelewana, ukifanya hivyo inakula kwako! Maalim Seif anajua hivyo!
CCM hii si chama tawala ni wakoloni weusi, kamwe hawako kwa ajili ya maslahi ya nchi hii…Sahau kuhusu Katiba,dola na kila aina ya vihonjo vinavyompa Rais mamlaka ya urais na utiisho wa urais. Rais akiwa hakubaliwi na kundi fulani dogo tena likiwa na support kubwa ya wananchi hana nguvu hizo, hana mamlaka hayo! Chadema mmeuza haki yenu na sasa mnashangaa wakati nafasi ya ukombozi ndio hii!
Ni Chadema nyie mliojipambanua kuwa ni wakombozi, japo mnatumia slogan ya ''nguvu ya umma'' pengine ngau kwa muda mfupi mngetumia slogan ya Mtikila '' saa ya ukombozi ni sasa'' japo jamani mwee semeni jambo nchi itikisike…magazeti yauze!!
Chadema inahitaji akili kidogo tu kuwa mgomo wa madaktari ilikuwa ni funguo yenu ya Kikwete(the chief architect wa Richmond) kujiuzulu! Ilikuwa ni nafasi ya kuhamasisha waalimu, nafasi ya kuwaleta na kuwakumbuka wazee wa afrika mashariki….ni nyakati nzuri mngewakumbuka ''wahanga wa bodi ya mikopo'' vyuo vikuu, nafasi ya kuwaunganisha vijana wa mbeya , arusha na DSM wanaojengewa masoko ambayo hawawezi kupanga.
Wakazi wa Mabwepande na kwingineko ndio ilikuwa nafasi… Niseme nini juu ya wananchi wa sehemu mbalimbali kwa nafasi zao ambao wamekata tamaa ya kudai haki zao kwa sababu tu ya vitisho kama vya Pinda? Hivi mkazi wa Gongo la Mboto ambaye analipwa fidia ya laki tano kwa nyumba ya vyumba nane asingekuwepo kwenye maamdamano? Btw mna orodha ya wanaodhulumiwa hapo ofisini kwenu?
Hivi wanaotoa sifa kwa chama hiki humu wanaona haya? Au mna mawazo ya kupiga kura mwaka 2015 na kushinda chini ya hao hao mnaowapa dhamana ya kubadili katiba (impossible within three years)!! Unrealistic!) kwa cizazi vingi jijavyo? Na aliyewaambia Katiba itafanikiwa kabla ya 2015 ni nani? Waizir wenu wa katiba ni nani? Anajua nchi zingine imechukua miaka mingapi?
Hivi lile wazo la kuwa piganieni kwanza tume ya uchaguzi nani aliliua? Au hamkunisikia japo kidunyu kuwa , if you are serious then sticky on changing election committee…tunataka tume yenye kila aina ya watu na inayosimamiwa na chombo huru!
Aliyewaroga kubadili katiba yote ni nani? 2015 ka...kuwa..waambieni wananchi CHADEMA itatoa mwanya wa CCM iendelee ili imalize mchakato wa katiba, by that time Mbowe atakuwa Tajiri kama Rostam!! Acha niseme! Maana kuna watu mnatoka povu kuitetea chadema ambayo lina wajanja fulani wanaotafuta pesa kwa nguvu zote…Mbowe huyu na Kikwete watoto wa Night Club ambao wamewaingiza mkenge akina Slaa na akina Warioba, huku mkitoa statement kuwa Zito ndio eti aliyefanikisha mazungumzo!
Mkasema na kuanika uongo huu kwa watu ni dhambi!!Chadema haina nguvu, kwani bado inajitafuna kashata na kucheua kahawa ya ikulu! Haina nguvu kwa aibu, kwani imepoteza nuru hii na utukufu huu! Chadema hii leo inagopa kusu-pport maandamano eti Mtaambiwa chama cha vurugu!
Chadema wanaogopa kumuua Nyani, wameishamwangalia usoni! Na kucheka naye? Na waumini wao wanawachekea na kujipa matumaini hewa kwa sababu hamna matumaini mengine…hawataki kuwaambiwa ukweli viongozi wao, eti wakisema ukweli watawaudhi na kuonekana wasalitiKama ambavyo chadema inavyoogopa maandamano na migomo leo hii kwani itamuudhi ‘mwenyeji wao' kikwete ndivyo ambavyo chadema supporters wanaogopa kukosoa uongozi wao kwani watawaudhi eti wameonyesha mafanikio ya kuleta wabunge wengi sana-23!Au ni hivi….wakiandamana nani yuko tayari kwenda Jela?
Hivi uongozi wa chadema leo hii ukaenda jela,mnajua athari zinazotokea kwa familia chache sana zinazokiunda chama hiki, Fikiria chama ambacho viongozi ni mtu, mkwe, shemeji, mpwa, mama, mtoto, mjomba, shangazi na girlfriends….halafu wakakamatwa na kuwekwa ndani!! Chama kinakufa….
Watanzania this is just a reminder, you have to put your trust kwenye realistic! Hakuna ukombozi kwenye ballot box…..ILA nchi ingetikisika kwa migomo mingi iliyoasisiwa na chama hiki mnachokiabudu, basi leo Chadema kingeishi kama next ruling party! Sio kwa hali ya sasa ambayo wako kama hawako, huku madakatri wakirudi na na kureport makazini huku hawafanyi lolote…wamekosa support, wamekosa nguvu ya wale waliotegemewa kuwa suppport, Wale waliosema wanaweza!
Kesho mtataka madaktari wawa support kwenye maandamano yenu yalee! Never! Madaktari hawatakuwepo! Funny! Siasa inalipa jamani,kwani wachungaji wangapi wanasema wanaponyesha na kumbe sio? Au lawyers wangapi wanasema utashinda kesi hali akijua utashindwa? Kwa nini chadema isiseme wazi kuwa ni NGO na kijiwe cha jobless na opportunist ili tutafute tumaini lingine?
Kwa sisi wenye akili ''najisifu ngaa kidogo'' kwa nini tusisifie CCM kwa siasa zake za kuharibu nguvu na bongo ya wapinzani kwa utashi wa wapinzani wenyewe? Whoever said CCM is a group of idiot and moron was wrong, Is a group of smart people who are brilliant and can play with people's mind for their own benefit! Yes chadema has been played and they are now like ‘candle in the wind'