Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 4,426
- 4,127
Hospitali ya Muhimbili imefungwa!
Chadema wana waza Uzini ruzuku iongezeke, kusisitiza migomo na maandamano sio rahisi kwani JK amekuwa mwenyeji wao mzuri mno....wanamuonea aibu!
kama mnaipenda nchi hii...saa ya ukombozi ni sasa, himizeni watu waingie barabarani...mkifanya hivyo support haitakuwa kwa wana CDM tu, bali na wana CCM wengi tu!!
Tuseme kweli unaiamini kauli hii au ni bezo kwa CHADEMA?