The dirt paka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 371
- 67
Nchi gani hiyo unayo ongelea hapa? Jifunzeni ustarabu kwanza halafu acheni udini. Hii nchi itaongozwa na watu wenye akili timamu na sio wavuta bangi.
Sijakuelewa boss unaposema chadema wamejiaandaa kuendesha nchi, ni nchi ipi iyo?
FaizalFoxy
You must becrazy in ur head. Ni watu kama wewe wenye kufikiria kwa kutumia MASABURI wanaweza kuongea upuuzi kama huu.
Lakini kwa Great Thinkers USHINDI WA CCM IGUNGA SI USHINDI HATA KIDOGO kama tukifanya tathmini za kina. Labda nikupe highlights kidogo tu kuonyesha kuwa CCM wameshindwa Igunga na hii ni INDICATOR YA UCHAGUZI WA 2015 kuwa CCM hawatapata kitu:
- CCM wametumia NGUVU KUBWA sana kwa maana ya PESA about 10 Bilioni zimetumika Igunga peke yake! Je
Mandela alikuwa anapigania haki, CDM inapigani tumbo.nilisikia mahojiano jana ya nelson mandela na mwanaharakati mmoja kijana yule kijana alimwuuliza mandela wakati anapigania uhuru hali ilikuwa tete je haikufika wakati alijisikia kukata tamaa? mandela alijibu anayekata tamaa si mpiganaji .kwa matokeo ya nepi tu japokuwa kayakana yameonyesha wazi ccm iko dakika za mwisho mwisho kusema ukweli nilikuwa nafuatilia picha za wapiga kura hasa wakina mama huko igunga wako hoi sana ule ni umaskini uliokithiri .
na wewe unapigania masaburi?Mandela alikuwa anapigania haki, CDM inapigani tumbo.
kidumu chama cha milelewe unaishi katika makalio ya dunia ipi usijue katika umri huu?
Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa chadema wala ccm....but nikiwa kama mtanzania huru ambaye nafuatilia japo sio kwa undani saana siasa za nchi hii.....
Sasa niko convinced kabisa kuwa CHADEMA wanaelekea kuchukua uongozi wa nchi... na kwamba kifo cha CCM sasa ni uhakika.....tatizo langu ni hili .....
Je, CHADEMA wanajiandaa kweli kuendesha nchi?
Wasiwasi wangu ni kuwa wanatumia nguvu kuubwa kupambana na kuiondoa CCM na ikitokea kwa mfano huu uchaguzi wa Igunga CCM wametangazwa kushinda.....basi ni rahisi kwa viongozi wa CHADEMA kuamini kuwa KAZI BADO NI KUBWA MBELE... wakati kiukweli mimi naona CCM is done for good....
Tazama mfano wa Igunga....
Baada yaa kupeleka viongozi wa kitaifa na hila zoote wanatangazwa kushuinda kwa chini ya asilimia 50 kwa jimbo moja...
Je, ukifika wakati wa uchaguzi kwa majimbo yote? Wataweza kufanya fitina ya majimbo yoote?
Kama Igunga ilikuwa yao kwa miaka yote, leo hawapati hata asilimia 50, it's time kwa watanzania tukaanza na kujiandaa na LIFE AFTER CCM..... the sand is shifting beneath.....
Je, CHADEMA wataweza kujiepusha na mistakes za vyama vya upinzani vya Africa vinapopata madaraka?
SKufikiria kuwa CHADEMA wanaweza kuongoza kupata kuongoza nchi ni alinacha. Igunga kipimo tosha.
We mtoto, acha kabisa kuchafua jina la nyerere, Nyerere hakuwahi kuiba mke wa mtu, hakuhamasisha wavuta bangi kufanya fujo na team yake nzima ilikuwa inaheshimika sana kwenye hii jamii.Chadema wamejipanga kam Nyerere alivyoanza
Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa chadema wala ccm....but nikiwa kama mtanzania huru ambaye nafuatilia japo sio kwa undani saana siasa za nchi hii.....
Sasa niko convinced kabisa kuwa CHADEMA wanaelekea kuchukua uongozi wa nchi... na kwamba kifo cha CCM sasa ni uhakika.....tatizo langu ni hili .....
Je, CHADEMA wanajiandaa kweli kuendesha nchi?
Wasiwasi wangu ni kuwa wanatumia nguvu kuubwa kupambana na kuiondoa CCM na ikitokea kwa mfano huu uchaguzi wa Igunga CCM wametangazwa kushinda.....basi ni rahisi kwa viongozi wa CHADEMA kuamini kuwa KAZI BADO NI KUBWA MBELE... wakati kiukweli mimi naona CCM is done for good....
Tazama mfano wa Igunga....
Baada yaa kupeleka viongozi wa kitaifa na hila zoote wanatangazwa kushuinda kwa chini ya asilimia 50 kwa jimbo moja...
Je, ukifika wakati wa uchaguzi kwa majimbo yote? Wataweza kufanya fitina ya majimbo yoote?
Kama Igunga ilikuwa yao kwa miaka yote, leo hawapati hata asilimia 50, it's time kwa watanzania tukaanza na kujiandaa na LIFE AFTER CCM..... the sand is shifting beneath.....
Je, CHADEMA wataweza kujiepusha na mistakes za vyama vya upinzani vya Africa vinapopata madaraka?