Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Hii M4C ishukuru inalindwa na katiba, vinginevyo magamba wangeshaifutilia mbali
Mkuu kama vipi tupia ulizopga wewe zenye uhakika.Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu MasalaKulangwa source mjengwa
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Watanzania tuna ugonjwa mbaya sana wa kulalamika...
kwani hii picha imetolewa na chadema?? Au ni waandishi wa habari?
Mh! ... na madiwani, wabunge wa ccm na vibaraka wao wajiandae kuacha siasa!... Mziki wa CDM hautazimwa kwa risasi wala kuchakachua!...Nina uhakika mabadiliko yamekuja ni watu kusoma majira na nyakati vinginevyo mtakuja kutuambia hapahapa. Mwenye masikio na asikiye maneno haya ninayoandika hapa leo. Kama kuna mtu anataka kuwa mwanasiasa nampa ushauri wa bure aingie CDM mapema kabla ya milango haijafungwa.
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
I salute you Ben!!! Go go!!! Many are with you. Asante mkuu F kwa kuweka picha ya kamanda hapa.