"CHADEMA Wamechakachua Picha"!

Ritz vipi FaisaFox pamoja na Malaria Sugu bado hawajarudi safari ya Uswisi mkuu???

Ndio wanarudi...

406568_329480857104630_1908265363_n.jpg
 
Dk.+Willibrod+Slaa+kutubia..jpg





Angalia vizuri hizo picha zote ni za jana kwenye mkutano wa Chadema Morogoro, picha hizi majukwaa yanafanana, tofauti ipo kwenye bendera picha moja ina bendera ingine aina, halafu angalia nyuma kabisa picha moja inaonyesha nyumba ingine aina nyumba.

JF daima....:clap2:
Only fools like you can believe the differences you're claiming to be there!
Hizo unazosema tofauti siyo za kweli. Ukweli ni kwamba picha moja juu imechukuliwa kutoka umbali fulani while the 2nd picture imechukuliwa at close range. Kwa wapiga picha wanaelewa kwamba ukisimmama umbali zaidi na tukio una cover eneo kubwa na hivo kuingiza image nyingi zaidi lakini ukiwa karibu zaidi na kitu say watu wengi basi camera yako itachukua wachache zaidi.

Kwa hiyo swala la kuchakachua hapa halipo baali ni umbali au ukaribu wa uchukuaji wa picha.Kwa lugha ya mapaparaz wanaita zoom in/out.
 
Only fools like you can believe the differences you're claiming to be there!
Hizo unazosema tofauti siyo za kweli. Ukweli ni kwamba picha moja juu imechukuliwa kutoka umbali fulani while the 2nd picture imechukuliwa at close range. Kwa wapiga picha wanaelewa kwamba ukisimmama umbali zaidi na tukio una cover eneo kubwa na hivo kuingiza image nyingi zaidi lakini ukiwa karibu zaidi na kitu say watu wengi basi camera yako itachukua wachache zaidi.

Kwa hiyo swala la kuchakachua hapa halipo baali ni umbali au ukaribu wa uchukuaji wa picha.Kwa lugha ya mapaparaz wanaita zoom in/out.

Na hii vipi?

Kuchukua+chakula.JPG



Mbowe hataki wali wa maji anataka pilao....
 



Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa

source mjengwa



malizia kutamia,maana hapo ulipo unatamia wewe then nitakujibu ukishatotoa
 
Watu huwa symphathetic sana katika matukio kama haya. So, kifo chaweza kuwa kiliongeza nia na morali ya watu kuhudhuria mkutano huo. Ref Misri na Algeria, kila akiuwawa mtu ndo umati unaongezeka. Katika hatua hii akili hujaa hasira na maamuzi mazito ya kushangaza. The nature of aggression is revealed in this picture.
 



Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa

source mjengwa



Awali nilipoona heading inayoonyesha kuna attachment(s) nikadhani kuna picha mbili: halisi na iliyochakachuliwa.Kumbe ni hisia tu zako tu za kitoto kwamba "nani anaweza kuamini kuwa Chadema walipata umati wote huu..." Kwanini hujiulizi kuwa licha ya polisi kuendelea kuwauwa wafuasi wa Chadema bado wapenda mabadiliko hawaogopi kwenda kwenye mikutano/maandamano ya chama hicho?

Nadhani suala si kama picha imechakachuliwa au la bali ubongo wako ni mzima au umechakachuliwa
 
mkuu amini picha hii inafanana sana ile ya video iliyorushwa na ITV jana mimi nimekulia maeneo hayo nilithibitisha jana pale ni faya na mimi nilikuwa nakaa karibu na garage ya abood ivyo ndivyo ilivyokuwa amini mkuu
 

SAM_4817.JPG

Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa

source mjengwa


1.jpg
2.jpg
5.jpg
kaka acha uvivu, chadema haina upumbavu wa kukaa na kuanza kuchaka chua picha kama huamini picha za JF sijui uko hapa unafanya nini mbaya zaidi nimeingia hata michuzi nae picha hiyo unayodai chadema wameichaka chua wameiweka...
 
Msihangaike na huyu anajaribu kufanya mambo juu ya uwezo wake. Unprofessional. Kama JF ingekuwa inatafuta CV basi kuna wengi wangeshaundolewa kama thinkers. Yaani huwezi kutambua picha mbili zilizo chukuliwa kwa focus tofauti.
Sasa naanza kumuelewa vizuri zaidi huyu jamaa.

View attachment 63121
View attachment 63122
View attachment 63123
kaka acha uvivu, chadema haina upumbavu wa kukaa na kuanza kuchaka chua picha kama huamini picha za JF sijui uko hapa unafanya nini mbaya zaidi nimeingia hata michuzi nae picha hiyo unayodai chadema wameichaka chua wameiweka...
 

SAM_4817.JPG

Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa

source mjengwa



Na hii je?
 

SAM_4817.JPG

Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa

source mjengwa



kwa hiyo mliua yule kijana ili iwe demo kwa wengine wasiende kwenye mkutano? tumegundua janja yenu magamba. kusajiri chama kipya na nyie kufanyia mkutano ikulu haiathiri sensa ila mikutano ya chadema ndo inakwamisha zoezi la sensa. ujinga mtupu.
 
Fish eye camera ingeweza nyuzi 360 kitu kinachukua

Kwanza hiki ni kipande tu cha umati kama 50%, nilikuwepo na ilikuwa vigumu kupiga picha umati wote kwa mara moja. Labda kama ungepata helikopta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom