Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,998
- 32,441
Ritz vipi FaisaFox pamoja na Malaria Sugu bado hawajarudi safari ya Uswisi mkuu???
Ndio wanarudi...
Ritz vipi FaisaFox pamoja na Malaria Sugu bado hawajarudi safari ya Uswisi mkuu???
Only fools like you can believe the differences you're claiming to be there!
Angalia vizuri hizo picha zote ni za jana kwenye mkutano wa Chadema Morogoro, picha hizi majukwaa yanafanana, tofauti ipo kwenye bendera picha moja ina bendera ingine aina, halafu angalia nyuma kabisa picha moja inaonyesha nyumba ingine aina nyumba.
JF daima....:clap2:
Ndio wanarudi...
Only fools like you can believe the differences you're claiming to be there!
Hizo unazosema tofauti siyo za kweli. Ukweli ni kwamba picha moja juu imechukuliwa kutoka umbali fulani while the 2nd picture imechukuliwa at close range. Kwa wapiga picha wanaelewa kwamba ukisimmama umbali zaidi na tukio una cover eneo kubwa na hivo kuingiza image nyingi zaidi lakini ukiwa karibu zaidi na kitu say watu wengi basi camera yako itachukua wachache zaidi.
Kwa hiyo swala la kuchakachua hapa halipo baali ni umbali au ukaribu wa uchukuaji wa picha.Kwa lugha ya mapaparaz wanaita zoom in/out.
View attachment 63117
View attachment 63118
Sio muda wa kudanganyana tena!!! angalia vizuri kwenye hiyo miduara utapata jibu la "upindishaji wako"
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Ndio wanarudi...
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
View attachment 63121
View attachment 63122
View attachment 63123
kaka acha uvivu, chadema haina upumbavu wa kukaa na kuanza kuchaka chua picha kama huamini picha za JF sijui uko hapa unafanya nini mbaya zaidi nimeingia hata michuzi nae picha hiyo unayodai chadema wameichaka chua wameiweka...
Unapomwambia aache uongo, unatakiwa wewe utoe ukweli dada yangu.Jamani acha uongo anko
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Kwanza hiki ni kipande tu cha umati kama 50%, nilikuwepo na ilikuwa vigumu kupiga picha umati wote kwa mara moja. Labda kama ungepata helikopta.