Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
43-1Kumbe Lowasa alifukuzwa ccm.....
43-1Kumbe Lowasa alifukuzwa ccm.....
Labda baada ya 2025!Usiogope maana hata ukifa upinzani huu leo hii basi upinzani huo utakwenda kuzaliwa ndani ccm. Kwhyo ni suala la muda tu.
Chadema wako kimaslahi zaidi!tukubali kuwa CHADEMA kama chama kilichotegemewa kiliwasaliti wananchi
Chadema imepigwa 43-1 period!!
ACHENI ULOFA KAMA MLIJUA HIVYO MBONA MLIKUBALI KUSHIRIKI?Katika mechi ambayo
TFF (NEC) ni teule la CCM
Refa (DED) ni mteule wa CCM
Uwanja (katiba) ni mali ya CCM
Hapo hata hilo goli moja wapinzani wamejitahidi.
ACHENI ULOFA KAMA MLIJUA HIVYO MBONA MLIKUBALI KUSHIRIKI?