democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
naomba cdm ichukue mtu yeyote kutoka magamba lakini siyo el,chege,rosttam,rizone na baba yake
Lowasa siyo fisadi bali ccm yenyewe. Kama umesiliza michango ya wabunge jana utaligundua hilo. Kama angekuw fisadi nchi ingekuwa na maendeleo mskubwa baada ya kuondoka kwake madarakani.
Kwenye bold, sidhani kama EL ndiye alihusika. STIDE usisahau propaganda za CCM kuwalisha watu mchicha pori. CCM wanaweza kutumia mbinu yeyote kumfanya mtu aliye threat kwao aonekane mbaya. Umesikia juzi Nape na Mukama walivyosema juu ya kuondoka kwa Millya kuwa alikuwa mzigo the same might apply to EL.Feedback, kwa hili naona umepotoka mkuu wangu!! Kama unasema Lowasa alitajwa na Dr. Slaa kwenye list of shame inakuwaje leo hii umshawishi Dr kumkaribisha Lowasa!? Achana na kivuli cha "ktk siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu," fisadi ni fisadi tu!
Feedback mara hii tu umesahau Lowasa alivoshiriki kuuwa watu hapo Arusha? Umesahau mabomu ya juzi tu hapa NMC wakati Lema amewekwa ndani kwamba lilikuwa shinikizo lake? Umesahau kwamba kamanda Lema kuvuliwa ubunge ni mpango wake wa kuibaka demokrasia? Umesahau kwamba haya madudu ya uwizi serikarini yeye ndie muhasisi wake?
Feedback!! Umesahau kwamba CDM imepata credit kubwa kupitia huyu mwizi, na sasa unatetea akaribishwe CDM ili CCM wapate credit kuiangamiza CDM!!? Who is Lowasa by the way, hadi akikosa yeye CDM haiendelei!!? Kwanini CDM? Si aende UDP na TLP huko?
Naomba wote mnaotetea Lowasa kuja CDM mnijibu:
"NIKWANINI MNADHANI LOWASA AHAMIE CDM NA SIO CCK WALA NCCR-MAGEUZI?"
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoani Arusha, Samson Mwigamba, amesema kuwa yeye yuko tayari kumpokea hata Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, endapo ataamua kufanya uamuzi wa kubadilika na kujiunga na CHADEMA.
Lowassa akiamua kuondoka CCM ni lazima atakuwa na sababu za kufanya hivyo, lakini na sisi ni lazima atatueleza juu ya tuhuma mbalimbali za ufisadi zinazoelekezwa kwake, tutamsikiliza, tukimwelewa hatutakuwa na sababu ya kumnyima uanachama, alisema.
Source: Tanzania Daima
My take: Nimeanza kuamini kuwa inawezekana kabisa Lowassa anaandaliwa mazingira ya kusafishwa.
Umeelewa vizuri hiyo statement lakini?
lowassa kuamia cdm itakuwa jambo la maana sana maana ni mchapa kazi ,huwa blaa blaa hapendi na ushahidi upo.na chadema sio mtu ni chama ambapo wana simamia sera.
La pili jamaa mambo mengi anapandikiziwa kutokana na tamaa za uongozi ndani ya ccm.wamemjua kuwa ni threat kwao. Kama swala la utajiri lowassa alikuwa nao hata kabla ya uwaziri mkuu,issue ya richmond ni ya jk ila aliamua kutoa lowassa kafara ndio maana akina mwakyembe hakutaka kueleza yote.
cdm mpokee maana lowassa ni kiongozi anayetamani kuona mabadiliko .nasema hivyo kwasababu serekali ya awamu ya nne tangu jaamaa ajihuzuru hakuna kinachoendelea ni kama vile serekali iko likizo
Tunataka mabadiliko tuweke chama chenye sera za mabadiliko na ndani yake wawepo watu wanaopenda mabadiliko pia.
"Kumkaribisha Lowasa CDM ni sawa na kuiangamiza CDM!!"
Hivi wanachama wa kujiunga CDM watakuwa wameisha hadi kumkaribisha Lowasa!!??
Very pathetic!! Poor Mwigamba!!!
Hiyo ni kauli ya huyu TUNTEMEKE Mwigamba sio ya chama,mwigamba should steap aside,leave the region cdm chair pliz
lowassa kuamia cdm itakuwa jambo la maana sana maana ni mchapa kazi ,huwa blaa blaa hapendi na ushahidi upo.na chadema sio mtu ni chama ambapo wana simamia sera.
La pili jamaa mambo mengi anapandikiziwa kutokana na tamaa za uongozi ndani ya ccm.wamemjua kuwa ni threat kwao. Kama swala la utajiri lowassa alikuwa nao hata kabla ya uwaziri mkuu,issue ya richmond ni ya jk ila aliamua kutoa lowassa kafara ndio maana akina mwakyembe hakutaka kueleza yote.
cdm mpokee maana lowassa ni kiongozi anayetamani kuona mabadiliko .nasema hivyo kwasababu serekali ya awamu ya nne tangu jaamaa ajihuzuru hakuna kinachoendelea ni kama vile serekali iko likizo
Tunataka mabadiliko tuweke chama chenye sera za mabadiliko na ndani yake wawepo watu wanaopenda mabadiliko pia.
Kwenye bold, sidhani kama EL ndiye alihusika. STIDE usisahau propaganda za CCM kuwalisha watu mchicha pori. CCM wanaweza kutumia mbinu yeyote kumfanya mtu aliye threat kwao aonekane mbaya. Umesikia juzi Nape na Mukama walivyosema juu ya kuondoka kwa Millya kuwa alikuwa mzigo the same might apply to EL.