Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Kwa sasa huonekani JF....na kwa sasa ndiye mmiliki wa chadema ambayo wewe ni mwanachama...kwa sasa full aibu...performance ya chadema hadi bungeni imeshuka...kalagabaho!Sio kutubu tu bali pia atatakiwa kurudisha vyote alivyojipatia kwa njia ya haramu ndipo sasa tufikirie kumpatia uanachama.
Hata hivyo sisfikirii na sitegemei hata kidogo kumuona Lowasa akijiondoa ccm. Hawezi ku survive nje ya ccm na yeye hilo analitambua sana, hawezi kufanya kosa la ku cross borders.