Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,383
- 4,412
Wana Chadema wamejipanga, wamejidhatiti kuhakikisha 2015 wanachukua nchi, na endapo watashindwa na CCM
Watatumia nguvu ya Umma kuiondoa CCM madarakani. Maandamano ya karibuni ya Waislamu yamewashtua sana
Chadema na wamekiweka chama chao njia panda...
Mimi sina Chama chochote cha siasa, lakini nimeona haya Maandamano ni tishio kubwa sana kwa Chadema.
Tuko na safari ndefu sana kuiondoa CCM madarakani
Watatumia nguvu ya Umma kuiondoa CCM madarakani. Maandamano ya karibuni ya Waislamu yamewashtua sana
Chadema na wamekiweka chama chao njia panda...
Mimi sina Chama chochote cha siasa, lakini nimeona haya Maandamano ni tishio kubwa sana kwa Chadema.
Tuko na safari ndefu sana kuiondoa CCM madarakani