Chadema Wako Dilemma....

Chadema Wako Dilemma....

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Wana Chadema wamejipanga, wamejidhatiti kuhakikisha 2015 wanachukua nchi, na endapo watashindwa na CCM

Watatumia nguvu ya Umma kuiondoa CCM madarakani. Maandamano ya karibuni ya Waislamu yamewashtua sana

Chadema na wamekiweka chama chao njia panda...

Mimi sina Chama chochote cha siasa, lakini nimeona haya Maandamano ni tishio kubwa sana kwa Chadema.

Tuko na safari ndefu sana kuiondoa CCM madarakani
 
Nani sasa hapa yuko kwenye dilema kati ya wewe na cdm?q

haya maneno ya kuindoa ccm madarakani kwa maandamano kama cdm ikishindwa nadhani umetunga ili kuangalia upepo!

Mahusiano ya cdm na maandamano ya waislam yako wapi?

Wana Chadema wamejipanga, wamejidhatiti kuhakikisha 2015 wanachukua nchi, na endapo watashindwa na CCM

Watatumia nguvu ya Umma kuindoa CCM madarakani. Maandamano ya karibuni ya Waislamu yamewashtua sana

Chadema na wamekiweka chama chao njia panda...

Mimi sina Chama chochote cha siasa, lakini nimeona haya Maandamano ni tishio kubwa sana kwa Chadema.
 
Mkuu Boflo sijakuelewa, maandamano ya waislamu yanaiathiri vp CHADEMA??
 
Last edited by a moderator:
tishio kivipi?funguka zaidi.
By the way leo nimefurahi umeongelea siasa na kuweka ngono pembeni.

Nakupa mfano, Kuku(Chadema) anapigana na Mwewe(CCM) asichukue vifaranga vyake, at the same time wanatokea mapaka shume(Wanaharakati) na wao wanataka kumla Kuku...
 
wewe na siasa wapi na wapi ...bofloooooooooooo:A S angry:
 
Boflo, Mzee wa ndonga leo umekuja jukwaa la siasa ha haa ha.
 
Last edited by a moderator:
Boflo acha kuchengachenga, lengo lako ulitaka kumananisha kuwa endapo CDM isipochukua nchi basi wangeandamana nchi nzima sasa maandamano ya waislamu kwa jinsi yalivyothibitiwa CDM imewatia mashaka vinginevyo kanusha.
Boflo kwa uzi huu wako ambao nao uko dillema umejivunjia sana.
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa mbona punguani sana? Athari za kuchanganya siasa na dini.

Sichanganyi siasa na dini..huo ndio ukweli mkuu

usiogope ukweli, usiwe mnafiki, usifiche ukweli, mficha uchi hazai
 
Kwa jinsi Watanzania tulivyoliona Jeshi letu la Polisi lilivyojipanga na maandamano ya Waislam pamoja na JWTZ, Chadema ninavyowajua walivyokuwa waoga wakijaribu kufanya maandamano bila kibali watajuta hapo ndio watajua nidhamu ya vyombo vyetu vya ulinzi vinavyofanya kazi.
 
Kwa jinsi Watanzania tulivyoliona Jeshi letu la Polisi lilivyojipanga na maandamano ya Waislam pamoja na JWTZ, Chadema ninavyowajua walivyokuwa waoga wakijaribu kufanya maandamano bila kibali watajuta hapo ndio watajua nidhamu ya vyombo vyetu vya ulinzi vinavyofanya kazi.

Umeona eeeee
 
Ok jaribu kutetea hoja zako!

1. Ni vipi chadema wako kwenye dilema?

2. Mahusiano ya maandamano ya waislam na cdm!

3.je kwanini unasema cdm watatumia nguvu ya umma kuiondoa ccm madarakani? Je hiyo nguvu ya umma kwa nini isituingize madarakani?

Sichanganyi siasa na dini..huo ndio ukweli mkuu

usiogope ukweli, usiwe mnafiki, usifiche ukweli, mficha uchi hazai
 
Nakupa mfano, Kuku(Chadema) anapigana na Mwewe(CCM) asichukue vifaranga vyake, at the same time wanatokea mapaka shume(Wanaharakati) na wao wanataka kumla Kuku...
Is he okey in his head Huyu?i can't make any out of his statements!
 
Kwa jinsi Watanzania tulivyoliona Jeshi letu la Polisi lilivyojipanga na maandamano ya Waislam pamoja na JWTZ, Chadema ninavyowajua walivyokuwa waoga wakijaribu kufanya maandamano bila kibali watajuta hapo ndio watajua nidhamu ya vyombo vyetu vya ulinzi vinavyofanya kazi.
Huyu nae.
 
Sichanganyi siasa na dini..huo ndio ukweli mkuu

usiogope ukweli, usiwe mnafiki, usifiche ukweli, mficha uchi hazai

Boflo,
Hakuna kumungunya maneno Chadema wakifanya maandamano bila kibali lazima watandikwe virungu na mabomu kama wanavyotandikwa wengine nchi yetu ya amani hatuwezi kukubali wahuni wachache wavunje amani.
 
Last edited by a moderator:
Boflo, lini ulishawahi kuona maislamu yanapambana kukiwa na risasi? Now compare that with what happened baada ya uchaguzi wa meya Arusha!
 
@Bofloo.... maandamano ya Waislamu dhidi ya Serikali ya DHAIFU na chama chake twawala cha magamba, maandamano haya yanaiweka vipi CDM kwenye dilemma!? Magamba ndio inabidi waingie na wasiwasi maana kama vurumai hizi zikiendelea na waislam wengi kuamua kuachana na magamba kwa kutopiga kura 2015 au kupigia chama kingine basi magamba itakula kwao.

Wana Chadema wamejipanga, wamejidhatiti kuhakikisha 2015 wanachukua nchi, na endapo watashindwa na CCM

Watatumia nguvu ya Umma kuindoa CCM madarakani. Maandamano ya karibuni ya Waislamu yamewashtua sana

Chadema na wamekiweka chama chao njia panda...

Mimi sina Chama chochote cha siasa, lakini nimeona haya Maandamano ni tishio kubwa sana kwa Chadema.

Tuko na safari ndefu sana kuiondoa CCM madarakani
 
Back
Top Bottom